Naomba ushauri: Punyeto, Wivu na Uoga vinanitesa. Naona maisha yangu yapo hatarini

Naomba ushauri: Punyeto, Wivu na Uoga vinanitesa. Naona maisha yangu yapo hatarini

Sasa hapa nakupa dawa niliyotumia mimi, huwezi kufeli. Tongoza demu mzuri kupitia facebook, usitumie ile mitandao ya dating...,maana huna uzoefu, facebook una a good chance ya kutongoza bila aibu, na utapata mtu decent wa kufanyia majaribio.., na ondoa woga kabisa, hakuna aliyezaliwa anajua kufanya..

Mshawishi aje ghetto kwako, usiende nae gesti, maana hiyo itakuongezea anxiety, na mwisho wa siku akikuvulia kwa pupa mapigo ya moyo yanaweza kuongezeka yakaenda mbio, na hutaweza kufanya kitu.., ila ghetto una nafasi ya kum-tune taratibu hadi unakaa nae sawa...,ukishafanya tu mara moja, utapata bonge la confidence, na tatizo litakuwa limeisha hapo
Nashukuru sana kiongozi Ubarikiwe
 
Miaka 20 Nyeto ndio umri wake usiogope. Sema kama upo Dar mdogo mdogo anza kuflirt na wale wadada wa Riverside kama una hela. Utapata experience.
Kwamba mpka miaka 20 bado hana experience dah mambo yanaenda slow duniani eehh
 
Miaka 20 Nyeto ndio umri wake usiogope. Sema kama upo Dar mdogo mdogo anza kuflirt na wale wadada wa Riverside kama una hela. Utapata experience.
Hao Malaya ataishia kupata magonjwa tu na mikosi akae Kwa kukutulia atafutute mwanamke apo mtaani wapo kibao tu omba namba kama unaogopa kuongea nao anakwa ana
 
Shida ni kutokua na mwanamke,
Tafuta rafiki wa kiume mwenye mazoea sana na wanawake, mwisho wa siku utajikuta na wewe umewazoea tu.
 
Fanya Kazi kwa bidii, wekeza fedha zako kwenye biashara, jiamini.
 
Habari ya uzima wakubwa kwa wadogo, natumaini uzima upo lakini wale ambao Wana shida ya Afya basi Mwenyezi Mungu awajalie uzima.

Niende kwenye shida yangu, mm ni kijana nina Miaka 20, shida yangu nimeathirika na masterbation (Punyeto), yaani naona hichi kitendo kama nimeshindwa kuacha kabisa Kila nikaijaribu kuacha nashindwa 🥲😪,naweza Kaa hata mwezi bila masterbation, ghafla najikuta nimerudi tena.

Naombeni mnisaidie maana naona Kila mbinu kwangu imegonga mwamba, maybe ambao waliwa pitia hii situation waliwezaje kushinda.

Pia nina shida ya kujifananisha maisha na watu wengine nakuwa na Wivu pale ninapo ona wenzagu wanafanikiwa, kiufupi siitaki hii hali lakini nashangaa kwanini nashindwa kuizuia.

Pia mimi ni muoga sana wa mademu nisaidieni mdogo wenu pia kama mtoto wenu nateseka sanaa na haya matatizo, Kuna muda nakosa kabisa hata ujasiri wa KUJIKUBALI nateketea na hii hali😢😢

Nisaidieni kwa ushauri.
tafuta shughuli ya kufanya. kama ni mwanafunzi jikite zaidi ktk issue za shule
 
Pole, pole, pole sana

Tafuta madem wa level zako ikiwezekana wa chini ya level yako, utamudu gharama zao,,utawatomba na hutajali tena kutomba mkono mzee man,

Bado una miaka 20 kama hukufeli form 4 unatakiwa uendelee na elimu, ila kama ulifeli sasa, tafuta kitu cha kukuweka busy
 
Upo kwenye muda sahihi wa kupiga nyeto kijana piga mpaka ufikishe 30yrs ndo ufikirie kuacha
 
Pole, pole, pole sana

Tafuta madem wa level zako ikiwezekana wa chini ya level yako, utamudu gharama zao,,utawatomba na hutajali tena kutomba mkono mzee man,

Bado una miaka 20 kama hukufeli form 4 unatakiwa uendelee na elimu, ila kama ulifeli sasa, tafuta kitu cha kukuweka busy
muunganishe na mwanafunz wako wa tuishen kijana aache kumwagia mkono

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Haihitaji nguvu kubwa kuacha au kufanya chochote zaidi ya kuamua Brother " ..
Unaweza kuanza au kuacha tabia YOYOTE ile ukiamua tu.
Fanya yafuatayo utakuja kumshukuru Mungu siyo Mimi
1. Usikubali kuamini kuwa wewe ni muoga sana. Kila mtu ni muoga kaka, tunatofautiana kwenye uwezo wa kuamua na kutawala hisia tu.
2. Kubali kuwa wewe ndiye msimamizi wa maisha yako "master of your destiny"..wewe umeshikilia sterling unaweza kuipeleka gari unapotaka na siyo gari likupeleke linakotaka.
3. Usijione hufai au ni dhaifu sana, kumbuka Kila mtu ana udhaifu wake tena unawezekanana wewe ni shujaa uliyeamua kuonesha tatizo lilipo.
4. Kuigundua shida yako mwenyewe " self criticism" ni hatua inayochukuliwa na watu wachache sana wenye nia ya kupiga hatua. Wewe ni bonge la shujaa Brother.
It is always possible...
Kuamua tu kuandika uliyoyaandika Mimi naona umeshazishinda hizo tabia
HONGERA SANA KAKA
 
Mtu Alie Nyikani

Pole Kijana I can feel your pain..nakushauri yafuatayo yazingatie kwa makini..Nimekusoma una Lack of Self Control and you Cant control your emotions na ata mawazo yako huwezi kuyacontrol..ni hatari sana kwa Kijana wa Kiume🤦🤦🤦naomba futa video porns zote ulizonazo kwenye simu yako..and even nude pictures..Acha kujifungia room alone toka nenda Sebleni jichanganye na Familia epuka kujifungia peke ako mda mwingi room kwasababu hujaweza kujicontrol bado🤗

About Masturbation/Punyeto:-

Je umeshawahi kufikiri kujua ni nini tatizo na kupelekea sababu ya kushindwa kuacha?

Aina ya tabia hizi zinatokana na deeper issues..like high stress levels or past traumatic events😔

Jaribu kuangalia ivyo then try to fix them..and the problem will eventually stop by itself..If you can try checking in with a therapist..it could help to really get rid of your addiction🧕

Solution / Suluhu:-

Tatizo lako ni internal problem/yaan liko ndani ya wewe/Ndani yako but you’re trying to solve it with external solutions..meditate 10 minutes a day for 30 days and it’ll change your life🧕

Solution to Lack of Confidence and Fear:

1 - Katika kufanikiwa unapaswa
kufahamu kwamba haya maisha ni yako..Wivu unapoona wenzio wamefanikiwa sio mbaya..ila Wivu wako uwe ni Positive wenye kukupa ari/chachu ya mapambano🧕

Nasio Wivu wa Kichawi wa Kuwaombea waanguke kwenye mafanikio yao HAPANA🙅🙅🙅

Zingatia akilini mwako kua..Nobody is against you and if they are..they can't defeat you unless you let them 🧕


2 - Kujiamini kunatoka ndani yako🤗.. not from outsiders..Stop caring what they think..just be you and say / do what you want 🧕

3 - You don't need permission to exist..stop seeking permission from other people who aren't perfect (nobody is)🧕

4 - Acha kuwapa watu wa nje nguvu juu yako Jiamini 💪 (they have no real power..it's all in your mind) badili fikra zako na mitazamo yako jaribu kua positive mda wote 🧕

5 - Be your own superhero🧕

6 Punguza na epuka vyenye kukupa mawazo..just be you in the moment🧕

Good Luck to you and Your Journey Brotha
🤗🤗🤗🤗🤗
🤝🤝🤝🤝🤝
🧕
 
"Haihitaji nguvu kubwa kuacha au kufanya chochote zaidi ya kuamua Brother " ..
Unaweza kuanza au kuacha tabia YOYOTE ile ukiamua tu.
Fanya yafuatayo utakuja kumshukuru Mungu siyo Mimi
1. Usikubali kuamini kuwa wewe kuwa wewe ni muoga sana. Kila mtu ni muoga kaka, tunatofautiana kwenye uwezo wa kuamua na kutawala hisia tu.
2. Kubali kuwa wewe ndiye msimamizi wa maisha yako "master of your destiny"..wewe umeshikilia sterling unaweza kuipeleka gari unapotaka na siyo gari likupeleke linakotaka.
3. Usijione hufai au ni dhaifu sana, kumbuka Kila mtu ana udhaifu wake tena unawezekanana wewe ni shujaa uliyeamua kuonesha tatizo lilipo.
4. Kuigundua shida yako mwenyewe " self criticism" ni hatua inayochukuliwa na watu wachache sana wenye nia ya kupiga hatua. Wewe ni bonge la shujaa Brother.
It is always possible...
Kuamua tu kuandika uliyoyaandika Mimi naona umeshazishinda hizo tabia
HONGERA SANA KAKA
Mbona mi nashindwa kuacha kununua malaya, kuna wakati natamani ikifika weekend hata nijifumge minyororo kwenye mti na funguo ya kufuli nimpe mtu akae nayo kwa muda
 
Back
Top Bottom