Naomba ushauri: Punyeto, Wivu na Uoga vinanitesa. Naona maisha yangu yapo hatarini

Naomba ushauri: Punyeto, Wivu na Uoga vinanitesa. Naona maisha yangu yapo hatarini

Kati yangu Mimi na wewe na hayupo sawa kisaikolojia? Wewe ndiyo mwenye shida unapata wapi mda ku'search thread ya 2 years ago? Hii inaonyesha ni namna gani akili yako umeathirika. Pole sana. Na nadhani bila shaka kabsa wewe ni SINGLE MOTHER . Nakupa pole juu ya hilo.

Ukipenda shauri, usipo penda pita. Na ulisoma ukaona litakuathiri it's better kuachana nalo na kuangalia mengine.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom