Naomba ushauri: Punyeto, Wivu na Uoga vinanitesa. Naona maisha yangu yapo hatarini

Naomba ushauri: Punyeto, Wivu na Uoga vinanitesa. Naona maisha yangu yapo hatarini

Mzee unachokiogopa sio wanawake bali hofu ya kukataliwa... take your cance kama mwanaume ukimuona mwanamke unamuelewa nenda mwambie akichomoa achana nae pia always kuwa na multiple choice...

Omba namba za madem hata kumi approach mmoja baada ya mwngne akichomoa unapga chini
Kwenye Kuomba namba hapo ndo Kuna shida Kiongoz nashindwa aisee nisaidie
 
Punyeto inaondoa uwezo wa kujiamini na sio kwa mademu tu kama utaizidisha kwa muda mrefu utaanza hata kushindwa kujiamini mbele ya wanaume wenzako na kuingia kwenye msongo wa mawazo.. Inawezekana kujitoa kabisa ousisubiri ufikishe miaka 30 bila kua na demu ndo ushtuke itakua umepoteza vingi sana… Pigana uachane na huo ujinga dogo
Nishauri nifanyeje niache
 
Miaka 20 Nyeto ndio umri wake usiogope. Sema kama upo Dar mdogo mdogo anza kuflirt na wale wadada wa Riverside kama una hela. Utapata experience.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mzee unachokiogopa sio wanawake bali hofu ya kukataliwa... take your cance kama mwanaume ukimuona mwanamke unamuelewa nenda mwambie akichomoa achana nae pia always kuwa na multiple choice...

Omba namba za madem hata kumi approach mmoja baada ya mwngne akichomoa unapga chini
Shida ni ile aibu ya kukataliwa ndio inamsumbua, kukataliwa kunauma sana, yaani mtu anajipinda anakupiga sound weeeee, halafu unampa za uso, inaumiza sana
 
Kwenye Kuomba namba hapo ndo Kuna shida Kiongoz nashindwa aisee nisaidie
Sasa hapa nakupa dawa niliyotumia mimi, huwezi kufeli. Tongoza demu mzuri kupitia facebook, usitumie ile mitandao ya dating...,maana huna uzoefu, facebook una a good chance ya kutongoza bila aibu, na utapata mtu decent wa kufanyia majaribio.., na ondoa woga kabisa, hakuna aliyezaliwa anajua kufanya..

Mshawishi aje ghetto kwako, usiende nae gesti, maana hiyo itakuongezea anxiety, na mwisho wa siku akikuvulia kwa pupa mapigo ya moyo yanaweza kuongezeka yakaenda mbio, na hutaweza kufanya kitu.., ila ghetto una nafasi ya kum-tune taratibu hadi unakaa nae sawa...,ukishafanya tu mara moja, utapata bonge la confidence, na tatizo litakuwa limeisha hapo
 
anaesema punyeto ina madhara ni muongo mimi nina umri wa miaka 50 na tangu ujana wangu napiga punyeto na pia nimeoa na na watoto na bado napiga punyeto na wala hainifanyi kuogopa wanawake bado nawatongoza kila ninaekutana nae na nguvu hazijapungua punyeto inapunguza stress ya mademu na inapunguzamatumizi na inakuepusha na ugonjwa ya maabukizi
 
Unazidi kumuongezea stress kijana wa watu...

Don't overstress him na kumfanya ajione sio chochote au amekosea maisha....

Katika vitu ambavyo sitakaa nivifanye ni kuignore someone who needs help kisa kwangu inaonekana kidogo...na hii ndo inasababisha vijana wawaogope wazazi, kaka zao nk katika kuwaelezea ukweli na wanayopotia..
Imagine huyu mtoto kaacha ndugu zake na wote wanaomzunguka na naamini tatizo ni hili hili anajaribu kutafuta msaada wanamuignore...

Haya ndo yamesababisha kiwango cha depression, anxiety nk kuwa kubwa kwa vijana
Anaonekana anaijua punyeto kwa undani sana hivyo huyu hashauriki labda ajishauri mwenyewe.
 
Back
Top Bottom