Mtu Alie Nyikani
Pole Kijana I can feel your pain..nakushauri yafuatayo yazingatie kwa makini..
Nimekusoma una Lack of Self Control and you Cant control your emotions na ata mawazo yako huwezi kuyacontrol..ni hatari sana kwa Kijana wa Kiume🤦🤦🤦naomba futa video porns zote ulizonazo kwenye simu yako..and even nude pictures..Acha kujifungia room alone toka nenda Sebleni jichanganye na Familia epuka kujifungia peke ako mda mwingi room kwasababu hujaweza kujicontrol bado🤗
About Masturbation/Punyeto:-
Je umeshawahi kufikiri kujua ni nini tatizo na kupelekea sababu ya kushindwa kuacha?
Aina ya tabia hizi zinatokana na deeper issues..like high stress levels or past traumatic events😔
Jaribu kuangalia ivyo then try to fix them..and the problem will eventually stop by itself..If you can try checking in with a therapist..it could help to really get rid of your addiction🧕
Solution / Suluhu:-
Tatizo lako ni internal problem/yaan liko ndani ya wewe/Ndani yako but you’re trying to solve it with external solutions..meditate 10 minutes a day for 30 days and it’ll change your life🧕
Solution to Lack of Confidence and Fear:
1 - Katika kufanikiwa unapaswa
kufahamu kwamba haya maisha ni yako..Wivu unapoona wenzio wamefanikiwa sio mbaya..ila Wivu wako uwe ni Positive wenye kukupa ari/chachu ya mapambano🧕
Nasio Wivu wa
Kichawi wa Kuwaombea waanguke kwenye mafanikio yao HAPANA🙅🙅🙅
Zingatia akilini mwako kua..Nobody is against you and if they are..they can't defeat you unless you let them 🧕
2 - Kujiamini kunatoka ndani yako🤗.. not from outsiders..Stop caring what they think..just be you and say / do what you want 🧕
3 - You don't need permission to exist..stop seeking permission from other people who aren't perfect (nobody is)🧕
4 - Acha kuwapa watu wa nje nguvu juu yako Jiamini 💪 (they have no real power..it's all in your mind) badili fikra zako na mitazamo yako jaribu kua positive mda wote 🧕
5 - Be your own superhero🧕
6 Punguza na epuka vyenye kukupa mawazo..just be you in the moment🧕
Good Luck to you and Your Journey Brotha
🤗🤗🤗🤗🤗
🤝🤝🤝🤝🤝
🧕