Elias K
JF-Expert Member
- Oct 9, 2021
- 213
- 607
Nillelewa na mama baada ya baba kufariki nikiwa mtoto mchanga. Kwa hali hiyo Nilisomeshwa na wasamaria wema.
Nilipokuwa nasoma college nilikuwa nanjibana sana namtumia mama yangu 35% ya kila mkopo wa kujikimu, yaani boom. Nilifanya kazi za zege ili pesa nitakayolipwa nichanganye na kiasi cha boom nimjengee mama kijumba cha bati na choo. nilifanikiwa kwa hilo hadi umeme nimevuta. Wenzangu walijibana wakanunua pikipiki ambazo sasaivi wanazifanyia hiashara ila mimi nilichangua kujenga nyumbani. Nilipanga ghetto la hali ya chini kuliko wanafunzi wote pale chuoni. Sikubadili nguo kama wenzangu. Nilivaa nguo moja hadi ikapauka, nilipiga nyeto kukwepa kuhudumia dem, kwa kifupi niliishi maisha very identical ili tu kubana boom kwaajili ya kumuwekea mama mazingira yanayoeleweka.
Nililipomaliza college kumekuwa na changamoto ya ajira hivyo nipo nyumbani muda mrefu. Mama amethubutu kunigombeza kwamba mimi ni mzembe na huwenda nilikuwa malaya chuoni ndiyo maana sikuweka akiba ya boom ambalo lingenisaidia kuanzisha biashara kama wenzangu! Yaani amesahau?! Naona amefikia hatua ya kunisimangia chakula, tena ambacho nimelima kwa nguvu zangu.
Hasira ziliniwaka na hapa nataka nimdanganyie safari ya kwenda kuwatembelea ndugu zake Iringa ili nibaki mwenyewe niuze nyumba na shamba na kutokomea town. Wakati mwingine waza kumzika
- Ni mkoa gani mzuri kwa kuanzia maisha from Zero?
Nilipokuwa nasoma college nilikuwa nanjibana sana namtumia mama yangu 35% ya kila mkopo wa kujikimu, yaani boom. Nilifanya kazi za zege ili pesa nitakayolipwa nichanganye na kiasi cha boom nimjengee mama kijumba cha bati na choo. nilifanikiwa kwa hilo hadi umeme nimevuta. Wenzangu walijibana wakanunua pikipiki ambazo sasaivi wanazifanyia hiashara ila mimi nilichangua kujenga nyumbani. Nilipanga ghetto la hali ya chini kuliko wanafunzi wote pale chuoni. Sikubadili nguo kama wenzangu. Nilivaa nguo moja hadi ikapauka, nilipiga nyeto kukwepa kuhudumia dem, kwa kifupi niliishi maisha very identical ili tu kubana boom kwaajili ya kumuwekea mama mazingira yanayoeleweka.
Nililipomaliza college kumekuwa na changamoto ya ajira hivyo nipo nyumbani muda mrefu. Mama amethubutu kunigombeza kwamba mimi ni mzembe na huwenda nilikuwa malaya chuoni ndiyo maana sikuweka akiba ya boom ambalo lingenisaidia kuanzisha biashara kama wenzangu! Yaani amesahau?! Naona amefikia hatua ya kunisimangia chakula, tena ambacho nimelima kwa nguvu zangu.
Hasira ziliniwaka na hapa nataka nimdanganyie safari ya kwenda kuwatembelea ndugu zake Iringa ili nibaki mwenyewe niuze nyumba na shamba na kutokomea town. Wakati mwingine waza kumzika
- Ni mkoa gani mzuri kwa kuanzia maisha from Zero?