Naomba ushauri: Simuelewi mama. Nina hasira sana

Naomba ushauri: Simuelewi mama. Nina hasira sana

Nillelewa na mama baada ya baba kufariki nikiwa mtoto mchanga. Kwa hali hiyo Nilisomeshwa na wasamaria wema.

Nilipokuwa nasoma college nilikuwa nanjibana sana namtumia mama yangu 35% ya kila mkopo wa kujikimu, yaani boom. Nilifanya kazi za zege ili pesa nitakayolipwa nichanganye na kiasi cha boom nimjengee mama kijumba cha bati na choo. nilifanikiwa kwa hilo hadi umeme nimevuta. Wenzangu walijibana wakanunua pikipiki ambazo sasaivi wanazifanyia hiashara ila mimi nilichangua kujenga nyumbani. Nilipanga ghetto la hali ya chini kuliko wanafunzi wote pale chuoni. Sikubadili nguo kama wenzangu. Nilivaa nguo moja hadi ikapauka, nilipiga nyeto kukwepa kuhudumia dem, kwa kifupi niliishi maisha very identical ili tu kubana boom kwaajili ya kumuwekea mama mazingira yanayoeleweka.

Nililipomaliza college kumekuwa na changamoto ya ajira hivyo nipo nyumbani muda mrefu. Mama amethubutu kunigombeza kwamba mimi ni mzembe na huwenda nilikuwa malaya chuoni ndiyo maana sikuweka akiba ya boom ambalo lingenisaidia kuanzisha biashara kama wenzangu! Yaani amesahau?! Naona amefikia hatua ya kunisimangia chakula, tena ambacho nimelima kwa nguvu zangu.

Hasira ziliniwaka na hapa nataka nimdanganyie safari ya kwenda kuwatembelea ndugu zake Iringa ili nibaki mwenyewe niuze nyumba na shamba na kutokomea town. Wakati mwingine waza kumzika

- Ni mkoa gani mzuri kwa kuanzia maisha from Zero?
Sorry kwa ushauri wangu ila ushike huu

Tunajua kila mtu anamheshimu mama, ila kama Mama yako ni bado ni Binti na ana maisha haya ya kisasa, elewa tu kwamba mama ni guberi na haijalishi ni mama alikuzaa, anaweza kua ni wa mjini mjini sana, ila pia kama ni mtu tu anayejiheshimu basi ana mapungufu ya kibinadamu, na kama hiyo nyumba Ina hati za kwako uza sepa, ukifanikiwa huko mbele utakua unamlea Kwa vitu vidogo vidogo
 
Usiuze shamba wala nyumba, chakufanya hapo tokomea kusikojulikana kapambane na maisha, ukipata chochote kitu wekeza kwenye miradi mingi mingi. Ila usimsahau , huyo ni mama yako mkuu ukipata pesa mtumie wala usimuwekee kinyongo, kapambane kwa hasira zote maana unapo simangwa ndio na akili ya utafutaji inakuja.
Ndugu, kumbuka wadada wa mjini sana na wahuni tu na anaweza akawa mama wa kijana ambaye amemaliza chuo, anaweza kutumia udhaifu wa huyu ni mtoto na kufanya mambo yake ya ajabu ajabu, wapo watoto waliomjengea mama yao na bado mama akaleta mwanaume ambaye hakuzaa nae na Kisha akaanza kumpa huyo mwanaume vile ambavyo walitafuta watoto, mkisikia mama maishani wote ni wamama wenye busara na ni watu wazima hapana
 
Usiuze shamba wala nyumba, chakufanya hapo tokomea kusikojulikana kapambane na maisha, ukipata chochote kitu wekeza kwenye miradi mingi mingi. Ila usimsahau , huyo ni mama yako mkuu ukipata pesa mtumie wala usimuwekee kinyongo, kapambane kwa hasira zote maana unapo simangwa ndio na akili ya utafutaji inakuja.
Ushauri huu hapa,mia kwa mia
 
Nillelewa na mama baada ya baba kufariki nikiwa mtoto mchanga. Kwa hali hiyo Nilisomeshwa na wasamaria wema.

Nilipokuwa nasoma college nilikuwa nanjibana sana namtumia mama yangu 35% ya kila mkopo wa kujikimu, yaani boom. Nilifanya kazi za zege ili pesa nitakayolipwa nichanganye na kiasi cha boom nimjengee mama kijumba cha bati na choo. nilifanikiwa kwa hilo hadi umeme nimevuta. Wenzangu walijibana wakanunua pikipiki ambazo sasaivi wanazifanyia hiashara ila mimi nilichangua kujenga nyumbani. Nilipanga ghetto la hali ya chini kuliko wanafunzi wote pale chuoni. Sikubadili nguo kama wenzangu. Nilivaa nguo moja hadi ikapauka, nilipiga nyeto kukwepa kuhudumia dem, kwa kifupi niliishi maisha very identical ili tu kubana boom kwaajili ya kumuwekea mama mazingira yanayoeleweka.

Nililipomaliza college kumekuwa na changamoto ya ajira hivyo nipo nyumbani muda mrefu. Mama amethubutu kunigombeza kwamba mimi ni mzembe na huwenda nilikuwa malaya chuoni ndiyo maana sikuweka akiba ya boom ambalo lingenisaidia kuanzisha biashara kama wenzangu! Yaani amesahau?! Naona amefikia hatua ya kunisimangia chakula, tena ambacho nimelima kwa nguvu zangu.

Hasira ziliniwaka na hapa nataka nimdanganyie safari ya kwenda kuwatembelea ndugu zake Iringa ili nibaki mwenyewe niuze nyumba na shamba na kutokomea town. Wakati mwingine waza kumzika

- Ni mkoa gani mzuri kwa kuanzia maisha from Zero?
Pole sana,ila ukitaka kufanikiwa katika maisha,endelea kumheshimu mama yako.Tafuta namna yoyote
ondoka hapo nyumbani, kama una marafiki uliosoma nao wameishajitegemea kwa kupanga au kujenga waombe
wakufadhili kwa muda uishi nao huku ukiendelea kupambana hata kama ni kazi za zege,Mungu hatakuacha.
 
Japo ipo tofauti kidogo na yako, ila nakumbuka Kuna Mwamba mmoja alikuwa anazinguana na babaake hvyohvyo...uzuri babaake tulikuwa tunapiga nae story, wazee wa mjini, anasema hawezi kuamka Asubuhi anataka kwenda bafuni alafu anapishana na mkwe wake maana jamaa alikuwa anaishi na mke wake hapo kwao, mzee alishajaribu kila njia kumuondoa jamaa nyumbani ila mchizi aligoma, kuna Siku alitoa dirisha jamaa akaweka wavu.Mwisho wa Siku mzee aliwavizia hawapo akabomoa ukuta wa chuma chao...jamaa ikabidi asepe. Huwezi amini jamaa baada kama miezi sita alijenga nyumba yake na alikuwa na project nyngn Kigamboni huko ya nyumba zakupanga ameianza..kiufupi mshkaji baada ya kufukuzwa home alibahatika kupata kazi sehemu ambayo ilikuwa inamuingizia mpunga mrefu sana ukiachana na mshahara wake ambao ulikuwa mdogo.
 
Back
Top Bottom