Augustine Genius
JF-Expert Member
- Apr 14, 2016
- 1,216
- 1,486
Aache amepata pesa za kuhudumia mademu?[emoji1][emoji1]Nyeto bado unapiga au umeacha?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aache amepata pesa za kuhudumia mademu?[emoji1][emoji1]Nyeto bado unapiga au umeacha?
Sasa kusaidia akiwa mtoto isiwe kigezo cha kumuumiza mtoto. Hiyo sio sawa.Huyo ni Mama yako,mueleweshe tu ila hata asipokuelewa wewe mvumilie tu na uondoke hapo home ukapambane ila usimsahau Mama yako wala usimfanye kua ni adui yako,
Kumbuka huyo Mama yeye alikuvumilia mambo mangapi toka ukiwa mchanga mpaka leo hii umekua mtu mzima?
Alivumila mengi sana na kama usemavyo Baba yako alifariki toka wewe ukiwa bado mtoto mchanga,
Achana na fikra za kumkomoa Mama yako,tumia hizo lawama zake kwako kua hasira ya kutafuta hela na sio kumjengea chuki,
Good luck Bro.
Mkuu usiuze shamba aisee muachie mama yako awe anajilimia anapata chochote kitu we kaanze upyaaaa, Shamba hilo ni assetHuu ushauri umenigusa[emoji3449][emoji1545]
Wazazi sio poa mkuu, yaani mimi nakumbuka nilipata tenda kwenye mgodi x na mshahara ulivyokuwa ukitoka nawatumia sometimes hadi mshahara wote, na hao nilio kuwa nawatumia ni babu na bibi maana ndio wamenilea mwisho wa siku tenda iliisha nikarudi kukaa kilicho fata nimasimango balaa.Pole sana mkuu, wakati mwingine wazazi wanazingua sana ikiwa umeshatimiza wajibu wako songa mbele, mama ni mama hata kama ana mapungufu ndio mama huyo, piga kazi na tengeneza pesa, heshima itakuja tu.
Hilo nalo ni neno, maana hawa wazazi wetu bhana alafu nahv unakuwa huna uhakika [emoji1787][emoji1787]Kuwa makini asije akawa mwanga, anakukalia usitoke kimaisha......machawi ni majitu ya hovyo sana, hakuna cha mzazi wala mtu baki.
Huna adabuMpige miti aweke heshima.
Sawa ni mama yako ila haina namna!
Una laana wewe!!!Mpige miti aweke heshima.
Sawa ni mama yako ila haina namna!
Unajijengea security kwamba ni mzazi wako, kumbe yeye anatumika kwenye ulimwengu tofauti kabisa na wewe........anakufanya asset tu ya kufanikisha mambo yake ya giza na huenda akakutoa kafara kabisa kwa wachawi wenzie. Ndo maana wenzetu majuu ukishafika miaka 18 upo huru kuondoka kabisa kwa wazazi unakuwa independent hata namna unavyofikiri na kuchukulia mambo ikiwemo na mambo ya kiimani bila wazazi kukulazimisha kwa namna yoyote ile.Hilo nalo ni neno, maana hawa wazazi wetu bhana alafu nahv unakuwa huna uhakika [emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji1787]Pole mkuu. Kuna aina ya wazazi hawajui kusimama na watoto wao bega kwa bega utadhani uliwaandikia barua kuwaomba wakuzae.
Hamjui mama yake huyo ni moja ya wale wanaoitwa machokoraa, amekulia mtaani hajui hata mama ni kitu ganiKampige mamaako
Naona umefungua kamlango ka kutiririsha LAANA....! Vyema ufute uzi na uombe msamaha rohoni wa jinsi unavyomuwazia kumtenda vibaya mama..hutakaa ufanikiwe asilani...! Utabak kushika hela ndogo ndogo tu za kula...! Just an advice!.
Laana ipo...