Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,101
- 18,051
Nikajua mama Samia!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha kumshawishi kishetani ili amfanyie ubaya mama yake. Kama ni mchawi angemuua tokea hapo awali, leo amekuwa mkubwa ndiyo unamwambia ujinga huo wa ati mama yake mchawi?Huenda mama yako ni mchawi sugu na ndio alishiriki kumuua baba yako sasa anakutafutia sababu ya kukula nyama ukizingatia mahindi umelima mwenyewe
Asipouza yeye nyumba siku akirudi atakuta imeuzwaUsiuze nyumba... pambana ukasake maishanje yahapo
Kausha mwambaWacha kumshawishi kishetani ili amfanyie ubaya mama yake. Kama ni mchawi angemuua tokea hapo awali, leo amekuwa mkubwa ndiyo unamwambia ujinga huo wa ati mama yake mchawi?
Mpige miti aweke heshima.
Sawa ni mama yako ila haina namna!
Jibu Safi Sana.Kampige mamaako
[emoji1][emoji1]wewe una sura ya kike au yeye ana sura ya kiume?
una laanaMpige miti aweke heshima.
Sawa ni mama yako ila haina namna!
Unajua maneno mengine unaweza kuwa unazungumza kama utani tu lakini jamaa akachukulia serious kabisa.Kausha mwamba
umeniwahi.......hili ndio swali la msingi......hii hapaswi kuacha...asubui-mchana-jioni.....kama ameacha ndio kosa lake...Nyeto bado unapiga au umeacha?
Hasa Kama Kuna rafiki yako anakuja kwenu kukusalimia yupo njema utajuta utatolrwa mifano wewe mpaka uone hiki nini. ila wamama wa Karne hii ni mtihani wallahIt pain njoo dsm tupambane hapa kukaa na wazazi kwa umri wako utakufa kwa stress na hizi Familiya za Kia-Africa most of them they know nothing about hard moment yaani they love u Kama hupo na pesa na si kitu kingine .