Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Noma ondoka hapo dharau zitazidi kuna mwana alianza kugombana na mama ake ivyo ivyo 😅😅😅😅Kama mke mwenzie kila siku kusemwa na ni wakiune kashatoka mwaka uuishe huu anauza viatu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amejisahaulisha kwamba nilipambana kwaajili yakeNoma ondoka hapo dharau zitazidi kuna nwana alianza kugombana na mana ake ivyo ivyo 😅😅😅😅Kama mke mwenzie kila siku kusemwa na ni wakiune kashatoka mwaka uuishe huu anauza viatu
Usingefanana nae??Ni mama mzazi kwa sababu tumefanana
Huu ni moja ya ushauri wa HOVYO kabisa kutolewa; Unamshauri auze shamba kwani la kwake?Kama mama yako mzazi anakuambia ayo maneno uza shamba muachie nyumba fanya kuondoka hapo
Wewe ni mwanaume ela uitumie vizuri
Upo sawa kweli wewe!?Mpige miti aweke heshima.
Sawa ni mama yako ila haina namna!
Take it as an inspiration and not a hate..Itakusaidia siku usiuze chochote baraka zako ziko chini ya miguu ya Mama...be humble and God will make a way for you bro..Nillelewa na mama baada ya baba kufariki nikiwa mtoto mchanga. Kwa hali hiyo Nilisomeshwa na wasamaria wema.
Nilipokuwa nasoma college nilikuwa nanjibana sana namtumia mama yangu 35% ya kila mkopo wa kujikimu, yaani boom. Nilifanya kazi za zege ili pesa nitakayolipwa nichanganye na kiasi cha boom nimjengee mama kijumba cha bati na choo. nilifanikiwa kwa hilo hadi umeme nimevuta. Wenzangu walijibana wakanunua pikipiki ambazo sasaivi wanazifanyia hiashara ila mimi nilichangua kujenga nyumbani. Nilipanga ghetto la hali ya chini kuliko wanafunzi wote pale chuoni. Sikubadili nguo kama wenzangu. Nilivaa nguo moja hadi ikapauka, nilipiga nyeto kukwepa kuhudumia dem, kwa kifupi niliishi maisha very identical ili tu kubana boom kwaajili ya kumuwekea mama mazingira yanayoeleweka.
Nililipomaliza college kumekuwa na changamoto ya ajira hivyo nipo nyumbani muda mrefu. Mama amethubutu kunigombeza kwamba mimi ni mzembe na huwenda nilikuwa malaya chuoni ndiyo maana sikuweka akiba ya boom ambalo lingenisaidia kuanzisha biashara kama wenzangu! Yaani amesahau?! Naona amefikia hatua ya kunisimangia chakula, tena ambacho nimelima kwa nguvu zangu.
Hasira ziliniwaka na hapa nataka nimdanganyie safari ya kwenda kuwatembelea ndugu zake Iringa ili nibaki mwenyewe niuze nyumba na shamba na kutokomea town. Wakati mwingine waza kumzika
Ni mkoa gani mzuri kwa kuanzia maisha from Zero?
Wakuu habari za muda huu! Baada ya kukaa nyumbani muda mrefu nikifanya kilimo cha kutegemea mvua, mwaka huu kilimo kimeniangusha sana na hata miaka iliyopita mara zote mavuno yalikuwa tofauti na matarajio hivyo nimeamua kuachana na kilimo kwani sioni hatima ya maisha yangu ikiwa tofauti na ya...www.jamiiforums.com
wewe una sura ya kike au yeye ana sura ya kiume?Ni mama mzazi kwa sababu tumefanana