Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
Great... Mkuu!!!Heche ni muungwana sana. Jamaa atafika mbali sana. Anajua aseme nini, wakati gani na maneno gani ya kutumia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Great... Mkuu!!!Heche ni muungwana sana. Jamaa atafika mbali sana. Anajua aseme nini, wakati gani na maneno gani ya kutumia.
Tuambie hayo asiyo yachuja basi.Lisu hafai kuongoza chochote, labda familia yake. Binafsi sijapenda anavyoongea hovyo kila kitu, na hasa anapokuwa hana ushahidi wowote.
Anasukumwa na wahuni wa Clab house, anafanya wanavyo mwambia.
Mwanasheria, asiye chuja taarifa kujua ipi ya ukweli yapi matango.
Watuambie Team Lisu, tangu awe makamu mwenyekiti kafanikisha nini, na kipi hakufanikisha kwasababu hakuwa mwenyekiti, na kwanini wanadhani akiwa mwenyekiti atakuwa kiongozi mzuri?
Binafsi sijaona kafanya nini kwenye nafasi yake mpaka sasa, hivyo sioni kwanini awe mwenyekiti.
Ma Tumblr 😂😂Uchaga umetoka wapi, mimi ni mnyiramba.
Umeandika vinini!??Hiyo combination ni sahihi?
Lissu bado hajani-convince hawezi kuongoza chama kwa ufanisi, Wenje ni mission town hana bei.
Kwa hiyo hadi sasa hata ukiniamsha usingizini Mbowe bado ni mgombea sahihi Wenje hapana. Heche is fit even for chairmanship.
Lissu - Wenje it will be a worse combination ever.
Kabla ya kumjua vizuri Lissu safu yangu ilikuwa hivi.
Safu bora ya ushindi CHADEMA, Mkiti Lissu, Makamu Heche, Lema Mwenezi, Katibu Mnyika
Hii combination hata CCM wanaomba isitokee. Sina haja ya kuandika wasifu wao kwa kirefu maana sifa zao zinajulikana, Lissu hakopeshi, Heche jasiri, Lema mwanaharakati na hana bei, Mnyika anakijua chama tangu chuoni. Mbowe awe mlezi wa chama kama alivyo Mtei.www.jamiiforums.com
Ebu eleza kile ambacho Mbowe ameshindwa kukifanya kwa miaka 21, ambacho unaamini ataweza kukifanya ndani ya miaka 5. Na kwa nini alishindwa kukifanya kwa miaka 21 halafu aweze kukifanya ndani ya miaka 5.Lisu hafai kuongoza chochote, labda familia yake. Binafsi sijapenda anavyoongea hovyo kila kitu, na hasa anapokuwa hana ushahidi wowote.
Anasukumwa na wahuni wa Clab house, anafanya wanavyo mwambia.
Mwanasheria, asiye chuja taarifa kujua ipi ya ukweli yapi matango.
Watuambie Team Lisu, tangu awe makamu mwenyekiti kafanikisha nini, na kipi hakufanikisha kwasababu hakuwa mwenyekiti, na kwanini wanadhani akiwa mwenyekiti atakuwa kiongozi mzuri?
Binafsi sijaona kafanya nini kwenye nafasi yake mpaka sasa, hivyo sioni kwanini awe mwenyekiti.
Tukusaidie nini wewe chawa?Hiyo combination ni sahihi?
Lissu bado hajani-convince hawezi kuongoza chama kwa ufanisi, Wenje ni mission town hana bei.
Kwa hiyo hadi sasa hata ukiniamsha usingizini Mbowe bado ni mgombea sahihi Wenje hapana. Heche is fit even for chairmanship.
Lissu - Wenje it will be a worse combination ever.
Kabla ya kumjua vizuri Lissu safu yangu ilikuwa hivi.
Safu bora ya ushindi CHADEMA, Mkiti Lissu, Makamu Heche, Lema Mwenezi, Katibu Mnyika
Hii combination hata CCM wanaomba isitokee. Sina haja ya kuandika wasifu wao kwa kirefu maana sifa zao zinajulikana, Lissu hakopeshi, Heche jasiri, Lema mwanaharakati na hana bei, Mnyika anakijua chama tangu chuoni. Mbowe awe mlezi wa chama kama alivyo Mtei.www.jamiiforums.com
Hujajibu swali langu, ila umeliuliza na kuweka Mbowe palipokuwa na Lisu, hiyo ni plagiarism.Ebu eleza kile ambacho Mbowe ameshindwa kukifanya kwa miaka 21, ambacho unaamini ataweza kukifanya ndani ya miaka 5. Na kwa nini alishindwa kukifanya kwa miaka 21 halafu aweze kukifanya ndani ya miaka 5.
Huna cha kunisaidia.Tukusaidie nini wewe chawa?
Mbowe hawezi acha uenyekiti wa chama ndgu yangu otherwise ampate mrithi sahihi kutoka kwa familia yake au ndani ya too za waasisi.Ukimsikiliza vizur Heche ni kama kijana mwaminifu wa FAM..
Heche will make it, na atahusika ku iunganisha CDM...
Then after 5 years anakuwa boss wa chama...
Kaongea kwa tahadhari sana na ni kam ameburuza hiyo agenda ya kumsapot Lissu tofaut na wengi tulivyotarajia
Calculated move