Naomba ushauri, uenyekiti kura yangu kwa Mbowe, M/Mkiti kura yangu kwa Heche

Tuambie hayo asiyo yachuja basi.
 
Umeandika vinini!??
๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ
 
Ebu eleza kile ambacho Mbowe ameshindwa kukifanya kwa miaka 21, ambacho unaamini ataweza kukifanya ndani ya miaka 5. Na kwa nini alishindwa kukifanya kwa miaka 21 halafu aweze kukifanya ndani ya miaka 5.
 
Tukusaidie nini wewe chawa?
 
Ebu eleza kile ambacho Mbowe ameshindwa kukifanya kwa miaka 21, ambacho unaamini ataweza kukifanya ndani ya miaka 5. Na kwa nini alishindwa kukifanya kwa miaka 21 halafu aweze kukifanya ndani ya miaka 5.
Hujajibu swali langu, ila umeliuliza na kuweka Mbowe palipokuwa na Lisu, hiyo ni plagiarism.

Ukijibu nitakujibu swali langu kwa kueleza nafasi ya mbowe na alichokifanya kwa 20 years na kwanini aendelee kwa 5 years.
 
Mbowe hawezi acha uenyekiti wa chama ndgu yangu otherwise ampate mrithi sahihi kutoka kwa familia yake au ndani ya too za waasisi.
Hata ipite miaka 20 hawezi toka,nathubutu kusema yu radhi kuua mtu kuliko kuiacha CDM eti mtu mwngine aichukue.
BADO HAMJAMJUA FAM
 
Ushauri wa nini sasa?
Chawa mbona mnatapatapa sana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ