mlima wa mizeituni
JF-Expert Member
- Sep 7, 2019
- 1,387
- 2,444
Gari zote zinaharibika beyond economic repair huoni ambavyo haukuwa serious na mali zako?Ndio imesha wezekana!
Beyond economic repair...
Ulete sasa na mrejesho kama hiyo tela ya kukodi ina manufaa au miyeyusho..Nimeamua kwenye trailer hapo nianze na ya kukodi nione kwanza pesa inavyoingia. Ahsante Mkuu
Mktaba wenuNimeamua kwenye trailer hapo nianze na ya kukodi nione kwanza pesa inavyoingia. Ahsante Mkuu
Mimi nimempa ushauri kutokana na uzoefu wangu!Gari zote zinaharibika beyond economic repair huoni ambavyo haukuwa serious na mali zako?
Wenzako wametengeneza kuaminika kwa wauza vipuli, anakopeshwa anarekebisha tatizo!
gari ikirudi deni linalipwa maisha yanaendelea..
Kama huna mapenzi na magari, hizo harakati zote utaona ni usumbufu mkubwa na lazima uyatelekeze tu!!
Nisikulaumu mkuu, na imani unafanya vizuri kwenye nyanja nyinginezo..
Ahsante sana kwa kunifungua macho pia, nilikuwa nikiwaza hivyo kabla ila baada ya kupokea ushauri wa wengi nadhani double tyre itakuwa nzuri kwangu. Naendelea kupokea mapendekezo na kuyadadavua zaidi. ahsante sana kwa ushauri mwamba!!Mktaba wenu
1. Niliona umetaman trailer ya super single, je airbag ikipasuka gari inaingia mizan nani analipa?
2. Tyres iki burst nan analipa, kawaida kwa super single
3. Service ya trailer , imekatika sehemu inahitaji kuchomw nan analipa?
Ukiona hayo maswali majibu yana ukakasi
Unga unga trailer upate yako.
S unarud ulipo nunulia unamkamata unapeleka mahakamanMimi nimempa ushauri kutokana na uzoefu wangu!
Nashangaa unamshambulia mshenga!
Na ww mpe ushauri wako! mf; pale brake shoes zimeisha unaenda nunua mpya na kufunga ukiamini ni mpya!; baada ya dereva kuendesha gari 12.km anashika brake haishiki!; kuja kucheck brake shoes zote zimeungua zilikuwa fake!
Mungu Amenusuru hakukuwa na Ajali!
Nakuomba mpe ushauri hapo!
Mimi nimesha inua mikono kugombana na mavyuma!
Ingekuwa rahisi kihivyo kumshika simba ndevu!S unarud ulipo nunulia unamkamata unapeleka mahakaman
Kama tungeendelea na huu mjadala, ungegundua udhaifu ulipo..Mimi nimempa ushauri kutokana na uzoefu wangu!
Nashangaa unamshambulia mshenga!
Na ww mpe ushauri wako! mf; pale brake shoes zimeisha unaenda nunua mpya na kufunga ukiamini ni mpya!; baada ya dereva kuendesha gari 12.km anashika brake haishiki!; kuja kucheck brake shoes zote zimeungua zilikuwa fake!
Mungu Amenusuru hakukuwa na Ajali!
Nakuomba mpe ushauri hapo!
Mimi nimesha inua mikono kugombana na mavyuma!
Pole sana mkuuIngekuwa rahisi kihivyo kumshika simba ndevu!
Mkuu ww uko bongo??
Unaujua shina la mtandao wao[emoji24][emoji24][emoji24]
Huyo jamaa itakua mtoto wa mwisho alafu akapewa mali ya urithi akiwa hajui ChochoteKama tungeendelea na huu mjadala, ungegundua udhaifu ulipo..
But samahani pia kama umekwazika mkuu!
Didn't intend to do so!
All the best..
Hapana mkuu, super single haibebi mzigo zaidi ya double Tyre. Nimekuwekea hapa sheria ya mizigo ya east Africa ambayo ndo sheria mama hapa Tanzania linapoluja suala la weight.Nimedadisi sana kuhusu hili, super single kwa maana ya trailer nimeambiwa inabeba mzigo mwingi kwa sababu trailer inakuwa nyepesi kulinganisha na trailer yenye double tires
Cummins ni engine za kimarekani kwa sasa nyingi zipo kwenye mabus ya kichina na gari za muitaliano kama IvecoSamahani Mkuu, cummis ni nini?
Halafu hiyo R500 unayomshauri jamaa hazifiki hata tano nchi nzima!
Superstar & world oil ni miongoni mwa wenye mbavu za kununua hii gari lakini hawana..
Muache jamaa atulize roho yake kwenye 124!!
Hizi Trailer za kukodi zipo wapi? Natafuta semi trailer ya box bodyMkuu mm Sina utaalamu Sana wa hayo magari japo na watu wangu wengi wanayo Kuna mmoja alinunua horse pekee Ila trailer akakodisha Ila safari zake nyingi Ni za trip town Hapa Hapa Ila chakushauri tafute Gari nzuri na imara japo ulivosema Gari hii Ni ya kwanza BC uhakikishe Una Nunua yenye hali nzuri Sana na tafuta dereva mwaminifu mzuri sio haya janja janja Mara aibe mafuta na spare zingne, ikiwezkana funga camera kabsa Kama wanavofanya superdoll, siku zote kwenye hizi biashara hakikisha Una Kama 1-5mil hio weka pembeni kwaajili ya emergency na let's say kwa siku umelaza 300k faida BC nusu weka kwa ajili ya Gari matengenezo n.k all in all nakutakia mafanikio mema
Hizo ni ramli unazo piga!Pole sana mkuu
Tajiri wa kwanza wa hovyo kuwah kukutana nae..itakua mali ya urithi
Nashukuru nina Amani na sijatenda dhambi!Kama tungeendelea na huu mjadala, ungegundua udhaifu ulipo..
But samahani pia kama umekwazika mkuu!
Didn't intend to do so!
All the best..
Unakubalije mtu akutie hasara? Alafu unamwacha tu, huna uchungu na mali yako au pengine ulisha ridhikaHizo ni ramli unazo piga!
Mimi nimeweka ukweli wa changamoto nilizo pitia!
Ndio sababu hata mleya uzi nilimshauri kama Atazimudu hizo changamoto atashinda!
Ooh Mali ya urithi sijui mzuwanda huyo...
Ninaamini msemo wa wahenga kwamba mhadithia mvua imemnyea.
Nimetulia nachezea Ardhi Ambayo Haimtupi Mtu!Unakubalije mtu akutie hasara? Alafu unamwacha tu, huna uchungu na mali yako au pengine ulisha ridhika
Kwa tafsiri yeyote yule mtu yeyote atakae fanya upuuzi huo kwenye mishe zangu apotee tu mazima, nitakula nae sahan moja
Mtu anakurudisha nyuma unamwangalia tu? Hata gari zako inawezekana kabisa watu walikusaidia kuziua kwa kukuuzia vipuli fake
SawaNimetulia nachezea Ardhi Ambayo Haimtupi Mtu!
Kuliko kupambana na upepo kwenye maisha haya mafupi!
Niwekee link...Sawa
Kuna swali kwenye uzi mwingine kule , lile linahisu mawe kutoka ruvuma