Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasahauri ukasome:-Naomba ushauri vip kuhusu hizi course veta ipi soko lake liko vizuri
1.Electrical installation
2.Auto Electrical
3.motor vehicle mechanic
Shukran mkuu kwa ushauri naendelea kusikiliza ushauri kwa wadauNasahauri ukasome:-
1. Electrical & Instrumentation (EI)
2. Mechanical Tools and Maintenance (MTM)
Kwamujibu wangu mimi, hizo zitakusaidia kwenye soko la ajira Mtaani, Viwanda, Serikalini na Hata kujiajiri.
Kasome drivingNaomba ushauri vip kuhusu hizi course veta ipi soko lake liko vizuri
1. Electrical installation
2. Auto Electrical
3. Motor vehicle mechanic
Auto elecrical ni umeme wa magari? If yes nenda kasome.Nasahauri ukasome:-
1. Electrical & Instrumentation (EI)
2. Mechanical Tools and Maintenance (MTM)
Kwamujibu wangu mimi, hizo zitakusaidia kwenye soko la ajira Mtaani, Viwanda, Serikalini na Hata kujiajiri.
Sikiliza ushauri wangu mimi kijana, tena usije ukaniudhi nikakufokea right naw...☹️Shukran mkuu kwa ushauri naendelea kusikiliza ushauri kwa wadau
Unaangalia kipato chake kwa engo ipi mkuu....🤔Auto elecrical ni umeme wa magari? If yes nenda kasome.
Nasahauri ukasome:-
1. Electrical & Instrumentation (EI)
2. Mechanical Tools and Maintenance (MTM)
Kwamujibu wangu mimi, hizo zitakusaidia kwenye soko la ajira Mtaani, Viwanda, Serikalini na Hata kujiajiri.
Bro vp kuhusu vyuo kwenye izo course mbili apo ambavyo viko vizuri,learning & practicalNasahauri ukasome:-
1. Electrical & Instrumentation (EI)
2. Mechanical Tools and Maintenance (MTM)
Kwamujibu wangu mimi, hizo zitakusaidia kwenye soko la ajira Mtaani, Viwanda, Serikalini na Hata kujiajiri.
Nirahisi sana kijana.Bro vp kuhusu vyuo kwenye izo course mbili apo ambavyo viko vizuri,learning & practical