Naomba ushauri, wazazi wangu hawataki nisome ujuzi mwingine zaidi ya taaluma niliyosoma

Naomba ushauri, wazazi wangu hawataki nisome ujuzi mwingine zaidi ya taaluma niliyosoma

Unachoweza kufanya sasa fanya usingoje maana aisee miaka inaenda kasi.
Mimi kuna muda natamani ningerudisha umri nyumba nikiona vijana wanacheza na muda walionao.
Asante. Kweli ni changamoto kusubiri kila kitu kitokee bila kujishughulisha au kupenda mteremko
 
Ni mtoto wa 5 kati ya 7 tuliozaliwa.
Nimesomea sheria.
Ni kawaida watoto wa katikati kudharauliwa,wakati mwingine kutopata ushirikiano wakaribu.Kama umeshahitimu digrii yako, we tayari ni mtu mzima; hatima ya maisha yako, yako mikononi mwako. Fanya kile kitu akili yako inataka kwa sasa ili kutimiza lengo lako. Wazazi wape heshima yao, ila hawatakiwi kukupangia maisha
 
Ni kawaida watoto wa katikati kudharauliwa,wakati mwingine kutopata ushirikiano wakaribu.Kama umeshahitimu digrii yako, we tayari ni mtu mzima; hatima ya maisha yako, yako mikononi mwako. Fanya kile kitu akili yako inataka kwa sasa ili kutimiza lengo lako. Wazazi wape heshima yao, ila hawatakiwi kukupangia maisha
Asante kwa mawazo yako mkuu.
 
Mtoto mjinga sana wewe...kaa nyumbani kula chakula ushibe na upumzike..unataka kwenda wapi ?..umefukuzwa....usituletee tabia za upigaji za tamisemi hapa
 
Sijawahi kuwasusia wazazi wangu. Sema tu ni ile type ya wazazi ambao ni wakali sana haswa mama yangu! Kiasi kwamba inakua ngum kuwa karibu .. na kuna hali flani ivi ya kutojiamini maana kila unachofanya unakosolewa bila kuambiwa nini cha kufanya!

Basi jaribu kuongea na baba yako bila kuwa na mama, na ikwezekana mwambie namna unavyojisikia kutokana na treatment yao kwako.
 
Asante ndugu yangu.

Nilishafanya utafiti wangu kwa eneo nililopo nimepata chuo kimoja ambacho ni affordable na wanafundisha magari aina yote yani manual na automatic.
Good ukijua manual utakuwa umejua kuendesha Gari zote nakushauri komaa na manual maana automatic hufundishwi unaelekezwa
 
We ni wakishua kama waliweza kukupa 3000 kila siku itakua wanayo plan kwaajili yako, tulia hapo uendelee kuwaskiliza nisije nikakupa ushauri mgumu kuliko uwezo wako yakakukuta magumu zaid alaf urudishe tena mpira kwa kipa
 
Hatma ya maisha yako Iko mikononi kwako. Wazazi tunawapenda na kuwaheshimi lakini sometimes maamuzi ya maisha Ni yako.

Mimi nlisoma chuo nje nlipomaliza mama Yangu alikuwa anipigia kelele rudirudi huko unafanya Nini wakati ushamaliza. Si nikasema ngoja nimsikilize, nikarejea bongo.

Nlichokutana nacho najuta sijawahi kumwambia najuta lakini nlijifunza maamuzi yangu binafsi mzazi Nampa tu Taarifa, akubali akatae me nitafanya maamuzi.
 
We ni wakishua kama waliweza kukupa 3000 kila siku itakua wanayo plan kwaajili yako, tulia hapo uendelee kuwaskiliza nisije nikakupa ushauri mgumu kuliko uwezo wako yakakukuta magumu zaid alaf urudishe tena mpira kwa kipa
Ingekuepo plan wasingesita kunishirikisha, na mtu mwenye plans huwa dalili zinaonekana
 
Hatma ya maisha yako Iko mikononi kwako. Wazazi tunawapenda na kuwaheshimi lakini sometimes maamuzi ya maisha Ni yako.

Mimi nlisoma chuo nje nlipomaliza mama Yangu alikuwa anipigia kelele rudirudi huko unafanya Nini wakati ushamaliza. Si nikasema ngoja nimsikilize, nikarejea bongo.

Nlichokutana nacho najuta sijawahi kumwambia najuta lakini nlijifunza maamuzi yangu binafsi mzazi Nampa tu Taarifa, akubali akatae me nitafanya maamuzi.
Pole pia .. kuna vingi vya kujifunza
 
Wakuu habari,
Kama kichwa cha uzi kinavyosema hapo. Mtanisamehe mimi sio mwandishi mzuri ila nitajitahidi nieleweke.

Mimi nimebahatika kusoma systematically kama ilivyo mfumo wa elimu wa Tanzania, yani kuanzia std7, f4, f6 mwisho chuo kikuu.

Sasa kipindi nimemaliza f4 wakati nasubiri matokeo niliwaomba kuwa nikasome hotel management kwa sababu shule niliosoma tulikuwa tukisoma cookery ambayo naipenda na kwenye kupika mash'Allah si haba, nikaona vyema niende kupata ujuzi zaidi lakini nilipopeleka hili wazo nyumbani walinikatalia kwa kunipiga chenga mpaka muda ukaisha and mind you, kipindi hicho nipo tu nyumbani sina issue na ukiomba pesa hupewi.

Japokuwa nilikua najiwekea akiba zangu yani mfano nikipewa elfu 3 ya shule nlikua natoa buku yani hiyo buku ni nauli pamoja na kula shule then elf 2 ndo akiba yangu kwa hiyo kwa wiki nlikua natunza sh. elf 10 ambayo ilikua inanisaidia matumizi yangu. Nikiri kusema kuwa material things mbalimbali nilikua najinunulia mwenyewe .. sijawahi kuomba nyumbani pesa yoyote ya matumizi yangu ya kike zaidi wazazi wangu walikua wanajua kulipa tu ada pamoja matumizi ya shule!


Najaribu tu kufupisha, baadae nikawaomba niende nkasome certificate& diploma ndipo niende chuo kikuu walinikatalia tena wazi sio kwamba nilikua sijitambui lakini nature ya familia yangu ina tabia ya kudharau mawazo ya mtu bila kuyapima ..nkasema anyway kwa kuwa bado nipo chini yao na ninawategemea wacha tu niwaskilize, kwa hiyo nikaenda boarding school!


Nikafaulu tena kujiunga na chuo kimoja hapa Tanzania, niliomba mkopo ila sikupata kwa hiyo ada nikawa nategemea wazazi wangu pamoja na matumizi, wakati wote huo hakuna anaejali kuwa mimi ni mtotonwa kike nina mahitaji mengi.. nkasema fresh...

Nikaanza semester ya kwanza maisha magum, nikachekecha akili nilikua nna dada ambae tumesoma wote A level alikua anakaa nje ya hostel za chuo..
Nikamuomba niwe napikia jiko lake na gesi ikiisha mimi nitagharamia kuijaza akakubali..
Kwa hiyo nikawa natangaza menu ya chakula watu wanaweka oda mida ya kuanzia saa 9 mchana napika kwa ajili ya hizo oda maana nilifanya kwa jioni tu ili ratiba yangu ya darasani isiharibike kwa hiyo nikaanza taratibu kujitegemea completely..

Baada ya muda fulani nkatafuta chimbo la viatu nkapata nikawa nachukua viatu nazungusha hostel za chuo na nje ya chuo nikiwa na rafiki yangu wakati mwingine tunafanya biashara mseto yani hatujastick kwenye biashara moja.

At least maisha yakawa yanaenda, baadae tulitakiwa kuishi nje ya hostel za chuo, nikafanikiwa kununua godoro pamoja na kitanda, nikapata na chumba ambacho kipo affordable nkapanga.

Tukaanza semester nyingine, baba alikua akinipa ada nusu semester na kama kuna michango mingine atatoa yote. Basi hiyo semester nikatoa kiasi kidogo cha ada nikannua vitu muhim vya ndani nkawa napambana kuirudisha hivyo hivyo as usual mpaka nkamaliza chuo ndo yakiwa maisha yangu ya kujitafutia.

Sasa mwishoni nakaribia kumaliza, nilikua nmepanga kuwa nitimize baadhi ya malengo yangu ya kusoma ujuzi tofauti kidogo.
Kuna ndugu yetu yupo mkoa jirani na nilipokua tulikua tukiwasiliana aliposikia npo hapo jirani, kuna kipindi alinisaidia PC yake ya kazini baada ya kuibiwa ya kwangu ambapo pia sasa nimemaliza matumizi yake inabidi niirudishe. Kwa hiyo nilimuomba anisaidie nikienda nipate mafunzo ya udereva akakubali, nikawataarifu nyumbani kuhusu hilo jambo wakakubali pia.. lakini ajabu ilipokaribia kuondoka wakanizuia kuwa hakuna kwenda huko tena! Nikiwauliza sababu wanajiumauma! Nawajua vizuri! Niliumia ila sikua na jinsi zaidi ya kuwasikiliza.

Huyo ndugu yetu yupo kwenye system ambapo niliongea nae pia akaniahidi kuweza kupata sehem ya kujishikiza kulingana na taaluma yangu ya chuo, kwa hiyo hilo pia likayeyuka!

Yote kwa yote wazazi wangu hawafaham changamoto ninayopitia kwan nimekua mtu mkimya nisieongea nayopitia kutokana na kunionesha kutoguswa/kujali hivyo ni tabia yangu kunyamaza tangu nikiwa mdogo. Na nina siri nyingi sana sina mtu wa kumueleza.

Wakati mwingine nawashangaa watu wanasema wanapenda wazazi/mama zao au wapo nao karibu kiasi wanaweza kuwaambia kila kitu ila kwangu ni tofauti😥 sijui kama kuna upendo wa namna hiyo kwangu😫 kwa hiyo vutu vingi napitia kimya kimya mpaka natatua changamoto zangu peke yangu.



Anyway nisiwachoshe , ushauri naoomba ni huu.

Kwa sasa nina akiba kiasi ninayoweza kujisomesha udereva je niende? Maana nimerudi nyumbani sina nachofanya zaidi ya kusengenywa na wazazi wangu😪

Kingine kwa sababu ninavyo vitu vya kuanzia maisha na ramabi at least ninayo, je niondoke nyumbani nikapange niendelee kujitafutia? Maana nipo in the middle of 20's.. naona nyumbani pameanza kunilemaza kiaina.

Nawaheshimu wazazi wangu ila kwa baadhi ya maamuzi yangu watanisamehe. Nishaurini hapo. Nina mengi sana labda nitapata kuyasema wakati mwingine nipunguze uchungu wangu.
Nadhan ukimya wako haukuwa suluhisho,ungejenga utaratibu wa kuzungumza na wazazi wako kuhusu changamoto unazopitia,kama wamelipa ada basi wanakujali sana.Pia inaonekana wazazi wako ni protective sana pia ni wakoloni,sioni kama wana nia mbaya na wewe ni hilo tu.Nachokushauri tafuta namna nzuri ya kujenga hoja zako na kuziuza kwao,tumia namna yenye ushawishi mzuri,wafanye waone umuhimu wa unachotaka kufanya...wataelewa,kama hawaelewi,sababu ni ndoto zako na unataka kuzisimamia WAFANYE WAELEWE na simamia unachoamini...Mwisho kabisa kuwa makini na wanaume wa humu.
 
Wakuu habari,
Kama kichwa cha uzi kinavyosema hapo. Mtanisamehe mimi sio mwandishi mzuri ila nitajitahidi nieleweke.

Mimi nimebahatika kusoma systematically kama ilivyo mfumo wa elimu wa Tanzania, yani kuanzia std7, f4, f6 mwisho chuo kikuu.

Sasa kipindi nimemaliza f4 wakati nasubiri matokeo niliwaomba kuwa nikasome hotel management kwa sababu shule niliosoma tulikuwa tukisoma cookery ambayo naipenda na kwenye kupika mash'Allah si haba, nikaona vyema niende kupata ujuzi zaidi lakini nilipopeleka hili wazo nyumbani walinikatalia kwa kunipiga chenga mpaka muda ukaisha and mind you, kipindi hicho nipo tu nyumbani sina issue na ukiomba pesa hupewi.

Japokuwa nilikua najiwekea akiba zangu yani mfano nikipewa elfu 3 ya shule nlikua natoa buku yani hiyo buku ni nauli pamoja na kula shule then elf 2 ndo akiba yangu kwa hiyo kwa wiki nlikua natunza sh. elf 10 ambayo ilikua inanisaidia matumizi yangu. Nikiri kusema kuwa material things mbalimbali nilikua najinunulia mwenyewe .. sijawahi kuomba nyumbani pesa yoyote ya matumizi yangu ya kike zaidi wazazi wangu walikua wanajua kulipa tu ada pamoja matumizi ya shule!


Najaribu tu kufupisha, baadae nikawaomba niende nkasome certificate& diploma ndipo niende chuo kikuu walinikatalia tena wazi sio kwamba nilikua sijitambui lakini nature ya familia yangu ina tabia ya kudharau mawazo ya mtu bila kuyapima ..nkasema anyway kwa kuwa bado nipo chini yao na ninawategemea wacha tu niwaskilize, kwa hiyo nikaenda boarding school!


Nikafaulu tena kujiunga na chuo kimoja hapa Tanzania, niliomba mkopo ila sikupata kwa hiyo ada nikawa nategemea wazazi wangu pamoja na matumizi, wakati wote huo hakuna anaejali kuwa mimi ni mtotonwa kike nina mahitaji mengi.. nkasema fresh...

Nikaanza semester ya kwanza maisha magum, nikachekecha akili nilikua nna dada ambae tumesoma wote A level alikua anakaa nje ya hostel za chuo..
Nikamuomba niwe napikia jiko lake na gesi ikiisha mimi nitagharamia kuijaza akakubali..
Kwa hiyo nikawa natangaza menu ya chakula watu wanaweka oda mida ya kuanzia saa 9 mchana napika kwa ajili ya hizo oda maana nilifanya kwa jioni tu ili ratiba yangu ya darasani isiharibike kwa hiyo nikaanza taratibu kujitegemea completely..

Baada ya muda fulani nkatafuta chimbo la viatu nkapata nikawa nachukua viatu nazungusha hostel za chuo na nje ya chuo nikiwa na rafiki yangu wakati mwingine tunafanya biashara mseto yani hatujastick kwenye biashara moja.

At least maisha yakawa yanaenda, baadae tulitakiwa kuishi nje ya hostel za chuo, nikafanikiwa kununua godoro pamoja na kitanda, nikapata na chumba ambacho kipo affordable nkapanga.

Tukaanza semester nyingine, baba alikua akinipa ada nusu semester na kama kuna michango mingine atatoa yote. Basi hiyo semester nikatoa kiasi kidogo cha ada nikannua vitu muhim vya ndani nkawa napambana kuirudisha hivyo hivyo as usual mpaka nkamaliza chuo ndo yakiwa maisha yangu ya kujitafutia.

Sasa mwishoni nakaribia kumaliza, nilikua nmepanga kuwa nitimize baadhi ya malengo yangu ya kusoma ujuzi tofauti kidogo.
Kuna ndugu yetu yupo mkoa jirani na nilipokua tulikua tukiwasiliana aliposikia npo hapo jirani, kuna kipindi alinisaidia PC yake ya kazini baada ya kuibiwa ya kwangu ambapo pia sasa nimemaliza matumizi yake inabidi niirudishe. Kwa hiyo nilimuomba anisaidie nikienda nipate mafunzo ya udereva akakubali, nikawataarifu nyumbani kuhusu hilo jambo wakakubali pia.. lakini ajabu ilipokaribia kuondoka wakanizuia kuwa hakuna kwenda huko tena! Nikiwauliza sababu wanajiumauma! Nawajua vizuri! Niliumia ila sikua na jinsi zaidi ya kuwasikiliza.

Huyo ndugu yetu yupo kwenye system ambapo niliongea nae pia akaniahidi kuweza kupata sehem ya kujishikiza kulingana na taaluma yangu ya chuo, kwa hiyo hilo pia likayeyuka!

Yote kwa yote wazazi wangu hawafaham changamoto ninayopitia kwan nimekua mtu mkimya nisieongea nayopitia kutokana na kunionesha kutoguswa/kujali hivyo ni tabia yangu kunyamaza tangu nikiwa mdogo. Na nina siri nyingi sana sina mtu wa kumueleza.

Wakati mwingine nawashangaa watu wanasema wanapenda wazazi/mama zao au wapo nao karibu kiasi wanaweza kuwaambia kila kitu ila kwangu ni tofauti[emoji26] sijui kama kuna upendo wa namna hiyo kwangu[emoji31] kwa hiyo vutu vingi napitia kimya kimya mpaka natatua changamoto zangu peke yangu.



Anyway nisiwachoshe , ushauri naoomba ni huu.

Kwa sasa nina akiba kiasi ninayoweza kujisomesha udereva je niende? Maana nimerudi nyumbani sina nachofanya zaidi ya kusengenywa na wazazi wangu[emoji25]

Kingine kwa sababu ninavyo vitu vya kuanzia maisha na ramabi at least ninayo, je niondoke nyumbani nikapange niendelee kujitafutia? Maana nipo in the middle of 20's.. naona nyumbani pameanza kunilemaza kiaina.

Nawaheshimu wazazi wangu ila kwa baadhi ya maamuzi yangu watanisamehe. Nishaurini hapo. Nina mengi sana labda nitapata kuyasema wakati mwingine nipunguze uchungu wangu.
Weka kapicha tuone inawezekana wazazi wako sahihi
 
Nadhan ukimya wako haukuwa suluhisho,ungejenga utaratibu wa kuzungumza na wazazi wako kuhusu changamoto unazopitia,kama wamelipa ada basi wanakujali sana.Pia inaonekana wazazi wako ni protective sana pia ni wakoloni,sioni kama wana nia mbaya na wewe ni hilo tu.Nachokushauri tafuta namna nzuri ya kujenga hoja zako na kuziuza kwao,tumia namna yenye ushawishi mzuri,wafanye waone umuhimu wa unachotaka kufanya...wataelewa,kama hawaelewi,sababu ni ndoto zako na unataka kuzisimamia WAFANYE WAELEWE na simamia unachoamini...Mwisho kabisa kuwa makini na wanaume wa humu.
Asante sana. Nmekuelewa.
 
Back
Top Bottom