Naomba ushauri, wazazi wangu hawataki nisome ujuzi mwingine zaidi ya taaluma niliyosoma

Naomba ushauri, wazazi wangu hawataki nisome ujuzi mwingine zaidi ya taaluma niliyosoma

1. Nipate skills, chochote kinaweza kutokea, nina plan ya kufanya biashara ambapo ni vyema kujifunza gari

2. Upishi nitasoma tena baada ya kuwa dereva.

3. Nmesomea sheria.

Nashukuru kwa kujibu maswali yote.

Sasa tuanze.

1. Kwanini usijiendeleze kwenye sheria? Kwa pesa uliyo nayo kwann usiende Law school? Nasema hivi kwa sababu mtu aliueenda law school ni rahisi kupata p kujishikiza tofauti na mtu ambe hajaenda! Na kama ukiwa na akili basi hutalala njaa kama una muhuri!

Unless kama hupendi sheria basi unaweza fanya tofauti na huo ushauri!

2. Unasema unataka ujifunze gari ili ulitumie kwenye mishe zako je una hela ya kununua gari kwa sasa? Kama huna kwann hiyo ela ya ada ya udereva usifanyie kitu kingine?

3. Kwasababu umesema unapenda upishi kwann usifikirie kujiajiri kwenye upishi kuliko hiyo kulipia ada ya udereva wakati hata gari huna (wenda hata wazazi hawana)?

Ushauri... mwingine!

Kama una laptop pia unaweza fanya haya na yakakusaidia bila kutumia hiyo ela yako kwenye ada ya udereva..

1. Jifunze social media marketing ukafanya kazi za freelancing. Uzuri huu ujuzi utakusaidia hata kwenye biashara zako za ndani!

2. Jifunze copywritting... hii nayo unaweza fanya kazi watu wa ndan na nje (freelancing)! Uzuri ni kwamba umesoma law hivyo na assume lugha inapanda!

Yangu ni hayo kwa sasa! Ila wazo la udereva kwa sasa naona ni illogical decision!
 
Kwanza hiyo pesa uliokuwa una bana matumizi unatakiwa utubu kwa wazazi maana ni kosa kwa Mungu
Pili hayo maamuzi unayotaka kufanya wewe mwenyewe huwe makina wakati unayatekeleza . Waswahili wanasema “mwenye kulitafuta utalipata “ inawezekana ikawa positive au Negative inategemea njia utakazopita.
 
Wakuu habari,
Kama kichwa cha uzi kinavyosema hapo. Mtanisamehe mimi sio mwandishi mzuri ila nitajitahidi nieleweke.

Mimi nimebahatika kusoma systematically kama ilivyo mfumo wa elimu wa Tanzania, yani kuanzia std7, f4, f6 mwisho chuo kikuu.

Sasa kipindi nimemaliza f4 wakati nasubiri matokeo niliwaomba kuwa nikasome hotel management kwa sababu shule niliosoma tulikuwa tukisoma cookery ambayo naipenda na kwenye kupika mash'Allah si haba, nikaona vyema niende kupata ujuzi zaidi lakini nilipopeleka hili wazo nyumbani walinikatalia kwa kunipiga chenga mpaka muda ukaisha and mind you, kipindi hicho nipo tu nyumbani sina issue na ukiomba pesa hupewi.

Japokuwa nilikua najiwekea akiba zangu yani mfano nikipewa elfu 3 ya shule nlikua natoa buku yani hiyo buku ni nauli pamoja na kula shule then elf 2 ndo akiba yangu kwa hiyo kwa wiki nlikua natunza sh. elf 10 ambayo ilikua inanisaidia matumizi yangu. Nikiri kusema kuwa material things mbalimbali nilikua najinunulia mwenyewe .. sijawahi kuomba nyumbani pesa yoyote ya matumizi yangu ya kike zaidi wazazi wangu walikua wanajua kulipa tu ada pamoja matumizi ya shule!


Najaribu tu kufupisha, baadae nikawaomba niende nkasome certificate& diploma ndipo niende chuo kikuu walinikatalia tena wazi sio kwamba nilikua sijitambui lakini nature ya familia yangu ina tabia ya kudharau mawazo ya mtu bila kuyapima ..nkasema anyway kwa kuwa bado nipo chini yao na ninawategemea wacha tu niwaskilize, kwa hiyo nikaenda boarding school!


Nikafaulu tena kujiunga na chuo kimoja hapa Tanzania, niliomba mkopo ila sikupata kwa hiyo ada nikawa nategemea wazazi wangu pamoja na matumizi, wakati wote huo hakuna anaejali kuwa mimi ni mtotonwa kike nina mahitaji mengi.. nkasema fresh...

Nikaanza semester ya kwanza maisha magum, nikachekecha akili nilikua nna dada ambae tumesoma wote A level alikua anakaa nje ya hostel za chuo..
Nikamuomba niwe napikia jiko lake na gesi ikiisha mimi nitagharamia kuijaza akakubali..
Kwa hiyo nikawa natangaza menu ya chakula watu wanaweka oda mida ya kuanzia saa 9 mchana napika kwa ajili ya hizo oda maana nilifanya kwa jioni tu ili ratiba yangu ya darasani isiharibike kwa hiyo nikaanza taratibu kujitegemea completely..

Baada ya muda fulani nkatafuta chimbo la viatu nkapata nikawa nachukua viatu nazungusha hostel za chuo na nje ya chuo nikiwa na rafiki yangu wakati mwingine tunafanya biashara mseto yani hatujastick kwenye biashara moja.

At least maisha yakawa yanaenda, baadae tulitakiwa kuishi nje ya hostel za chuo, nikafanikiwa kununua godoro pamoja na kitanda, nikapata na chumba ambacho kipo affordable nkapanga.

Tukaanza semester nyingine, baba alikua akinipa ada nusu semester na kama kuna michango mingine atatoa yote. Basi hiyo semester nikatoa kiasi kidogo cha ada nikannua vitu muhim vya ndani nkawa napambana kuirudisha hivyo hivyo as usual mpaka nkamaliza chuo ndo yakiwa maisha yangu ya kujitafutia.

Sasa mwishoni nakaribia kumaliza, nilikua nmepanga kuwa nitimize baadhi ya malengo yangu ya kusoma ujuzi tofauti kidogo.
Kuna ndugu yetu yupo mkoa jirani na nilipokua tulikua tukiwasiliana aliposikia npo hapo jirani, kuna kipindi alinisaidia PC yake ya kazini baada ya kuibiwa ya kwangu ambapo pia sasa nimemaliza matumizi yake inabidi niirudishe. Kwa hiyo nilimuomba anisaidie nikienda nipate mafunzo ya udereva akakubali, nikawataarifu nyumbani kuhusu hilo jambo wakakubali pia.. lakini ajabu ilipokaribia kuondoka wakanizuia kuwa hakuna kwenda huko tena! Nikiwauliza sababu wanajiumauma! Nawajua vizuri! Niliumia ila sikua na jinsi zaidi ya kuwasikiliza.

Huyo ndugu yetu yupo kwenye system ambapo niliongea nae pia akaniahidi kuweza kupata sehem ya kujishikiza kulingana na taaluma yangu ya chuo, kwa hiyo hilo pia likayeyuka!

Yote kwa yote wazazi wangu hawafaham changamoto ninayopitia kwan nimekua mtu mkimya nisieongea nayopitia kutokana na kunionesha kutoguswa/kujali hivyo ni tabia yangu kunyamaza tangu nikiwa mdogo. Na nina siri nyingi sana sina mtu wa kumueleza.

Wakati mwingine nawashangaa watu wanasema wanapenda wazazi/mama zao au wapo nao karibu kiasi wanaweza kuwaambia kila kitu ila kwangu ni tofauti[emoji26] sijui kama kuna upendo wa namna hiyo kwangu[emoji31] kwa hiyo vutu vingi napitia kimya kimya mpaka natatua changamoto zangu peke yangu.



Anyway nisiwachoshe , ushauri naoomba ni huu.

Kwa sasa nina akiba kiasi ninayoweza kujisomesha udereva je niende? Maana nimerudi nyumbani sina nachofanya zaidi ya kusengenywa na wazazi wangu[emoji25]

Kingine kwa sababu ninavyo vitu vya kuanzia maisha na ramabi at least ninayo, je niondoke nyumbani nikapange niendelee kujitafutia? Maana nipo in the middle of 20's.. naona nyumbani pameanza kunilemaza kiaina.

Nawaheshimu wazazi wangu ila kwa baadhi ya maamuzi yangu watanisamehe. Nishaurini hapo. Nina mengi sana labda nitapata kuyasema wakati mwingine nipunguze uchungu wangu.

Wazazi watakulemaza, wewe chapa laba, ingia kitaa ukaanze kulipa Kodi na Tozo
 
Wakuu habari,
Kama kichwa cha uzi kinavyosema hapo. Mtanisamehe mimi sio mwandishi mzuri ila nitajitahidi nieleweke.

Mimi nimebahatika kusoma systematically kama ilivyo mfumo wa elimu wa Tanzania, yani kuanzia std7, f4, f6 mwisho chuo kikuu.

Sasa kipindi nimemaliza f4 wakati nasubiri matokeo niliwaomba kuwa nikasome hotel management kwa sababu shule niliosoma tulikuwa tukisoma cookery ambayo naipenda na kwenye kupika mash'Allah si haba, nikaona vyema niende kupata ujuzi zaidi lakini nilipopeleka hili wazo nyumbani walinikatalia kwa kunipiga chenga mpaka muda ukaisha and mind you, kipindi hicho nipo tu nyumbani sina issue na ukiomba pesa hupewi.

Japokuwa nilikua najiwekea akiba zangu yani mfano nikipewa elfu 3 ya shule nlikua natoa buku yani hiyo buku ni nauli pamoja na kula shule then elf 2 ndo akiba yangu kwa hiyo kwa wiki nlikua natunza sh. elf 10 ambayo ilikua inanisaidia matumizi yangu. Nikiri kusema kuwa material things mbalimbali nilikua najinunulia mwenyewe .. sijawahi kuomba nyumbani pesa yoyote ya matumizi yangu ya kike zaidi wazazi wangu walikua wanajua kulipa tu ada pamoja matumizi ya shule!


Najaribu tu kufupisha, baadae nikawaomba niende nkasome certificate& diploma ndipo niende chuo kikuu walinikatalia tena wazi sio kwamba nilikua sijitambui lakini nature ya familia yangu ina tabia ya kudharau mawazo ya mtu bila kuyapima ..nkasema anyway kwa kuwa bado nipo chini yao na ninawategemea wacha tu niwaskilize, kwa hiyo nikaenda boarding school!


Nikafaulu tena kujiunga na chuo kimoja hapa Tanzania, niliomba mkopo ila sikupata kwa hiyo ada nikawa nategemea wazazi wangu pamoja na matumizi, wakati wote huo hakuna anaejali kuwa mimi ni mtotonwa kike nina mahitaji mengi.. nkasema fresh...

Nikaanza semester ya kwanza maisha magum, nikachekecha akili nilikua nna dada ambae tumesoma wote A level alikua anakaa nje ya hostel za chuo..
Nikamuomba niwe napikia jiko lake na gesi ikiisha mimi nitagharamia kuijaza akakubali..
Kwa hiyo nikawa natangaza menu ya chakula watu wanaweka oda mida ya kuanzia saa 9 mchana napika kwa ajili ya hizo oda maana nilifanya kwa jioni tu ili ratiba yangu ya darasani isiharibike kwa hiyo nikaanza taratibu kujitegemea completely..

Baada ya muda fulani nkatafuta chimbo la viatu nkapata nikawa nachukua viatu nazungusha hostel za chuo na nje ya chuo nikiwa na rafiki yangu wakati mwingine tunafanya biashara mseto yani hatujastick kwenye biashara moja.

At least maisha yakawa yanaenda, baadae tulitakiwa kuishi nje ya hostel za chuo, nikafanikiwa kununua godoro pamoja na kitanda, nikapata na chumba ambacho kipo affordable nkapanga.

Tukaanza semester nyingine, baba alikua akinipa ada nusu semester na kama kuna michango mingine atatoa yote. Basi hiyo semester nikatoa kiasi kidogo cha ada nikannua vitu muhim vya ndani nkawa napambana kuirudisha hivyo hivyo as usual mpaka nkamaliza chuo ndo yakiwa maisha yangu ya kujitafutia.

Sasa mwishoni nakaribia kumaliza, nilikua nmepanga kuwa nitimize baadhi ya malengo yangu ya kusoma ujuzi tofauti kidogo.
Kuna ndugu yetu yupo mkoa jirani na nilipokua tulikua tukiwasiliana aliposikia npo hapo jirani, kuna kipindi alinisaidia PC yake ya kazini baada ya kuibiwa ya kwangu ambapo pia sasa nimemaliza matumizi yake inabidi niirudishe. Kwa hiyo nilimuomba anisaidie nikienda nipate mafunzo ya udereva akakubali, nikawataarifu nyumbani kuhusu hilo jambo wakakubali pia.. lakini ajabu ilipokaribia kuondoka wakanizuia kuwa hakuna kwenda huko tena! Nikiwauliza sababu wanajiumauma! Nawajua vizuri! Niliumia ila sikua na jinsi zaidi ya kuwasikiliza.

Huyo ndugu yetu yupo kwenye system ambapo niliongea nae pia akaniahidi kuweza kupata sehem ya kujishikiza kulingana na taaluma yangu ya chuo, kwa hiyo hilo pia likayeyuka!

Yote kwa yote wazazi wangu hawafaham changamoto ninayopitia kwan nimekua mtu mkimya nisieongea nayopitia kutokana na kunionesha kutoguswa/kujali hivyo ni tabia yangu kunyamaza tangu nikiwa mdogo. Na nina siri nyingi sana sina mtu wa kumueleza.

Wakati mwingine nawashangaa watu wanasema wanapenda wazazi/mama zao au wapo nao karibu kiasi wanaweza kuwaambia kila kitu ila kwangu ni tofauti[emoji26] sijui kama kuna upendo wa namna hiyo kwangu[emoji31] kwa hiyo vutu vingi napitia kimya kimya mpaka natatua changamoto zangu peke yangu.



Anyway nisiwachoshe , ushauri naoomba ni huu.

Kwa sasa nina akiba kiasi ninayoweza kujisomesha udereva je niende? Maana nimerudi nyumbani sina nachofanya zaidi ya kusengenywa na wazazi wangu[emoji25]

Kingine kwa sababu ninavyo vitu vya kuanzia maisha na ramabi at least ninayo, je niondoke nyumbani nikapange niendelee kujitafutia? Maana nipo in the middle of 20's.. naona nyumbani pameanza kunilemaza kiaina.

Nawaheshimu wazazi wangu ila kwa baadhi ya maamuzi yangu watanisamehe. Nishaurini hapo. Nina mengi sana labda nitapata kuyasema wakati mwingine nipunguze uchungu wangu.
Pole
 
Lakini pia wale ni wazazi wako acha kuwasusia eti kwakuwa hawaongei sijui, wanakupenda naamini, sema wanakuona bado mtoto. Jaribu kuwa karibu na kuongea nao, haswa mamako, pia baba wengi ukiongea nae atakusikiliza tu, mwambie challenge zako lazima atakusikiliza, hata kidogo siamini kuwa hawakupendi.
Ndo wazazi mjifunze kuwa karibu na watoto wenu. Usipomjengea mazingira mtoto ya kuzungumza nae inapotakiwa ndio matokeo yake haya. Inaumiza sana watoto basi tu!!

Na wazazi wetu wa kitanzania wanaona huo ukali na mtoto kukuogopa ndio kuwa mzazi bora[emoji2297]
 
Kama una mtaji wa kutosha!!!!! hapo nyumbani, unasubiri nini? changanya miguu, nenda mkoa wa mbali huko, kapambane na maisha. Ukiendelea kukaa hapo utalemaa afu utakuwa under rule, huwezi kuwa mtu mzima, wee utaendelea kuwa mtoto tu.

Na huko uendapo ukikubali kudanganywa na mwanaume/wanaume, ukaona unapendwa ukakubali shauri zako.

Au ukienda kujiingiza kwenye makundi ya ajabu shauri zako. Ukajisimamie mwenyewe na uwe na msimamo.
 
Nashukuru kwa kujibu maswali yote.

Sasa tuanze.

1. Kwanini usijiendeleze kwenye sheria? Kwa pesa uliyo nayo kwann usiende Law school? Nasema hivi kwa sababu mtu aliueenda law school ni rahisi kupata p kujishikiza tofauti na mtu ambe hajaenda! Na kama ukiwa na akili basi hutalala njaa kama una muhuri!

Unless kama hupendi sheria basi unaweza fanya tofauti na huo ushauri!

2. Unasema unataka ujifunze gari ili ulitumie kwenye mishe zako je una hela ya kununua gari kwa sasa? Kama huna kwann hiyo ela ya ada ya udereva usifanyie kitu kingine?

3. Kwasababu umesema unapenda upishi kwann usifikirie kujiajiri kwenye upishi kuliko hiyo kulipia ada ya udereva wakati hata gari huna (wenda hata wazazi hawana)?

Ushauri... mwingine!

Kama una laptop pia unaweza fanya haya na yakakusaidia bila kutumia hiyo ela yako kwenye ada ya udereva..

1. Jifunze social media marketing ukafanya kazi za freelancing. Uzuri huu ujuzi utakusaidia hata kwenye biashara zako za ndani!

2. Jifunze copywritting... hii nayo unaweza fanya kazi watu wa ndan na nje (freelancing)! Uzuri ni kwamba umesoma law hivyo na assume lugha inapanda!

Yangu ni hayo kwa sasa! Ila wazo la udereva kwa sasa naona ni illogical decision!
1. Sina plan ya kwenda law school kwa sasa.. bila kujua ramani kamili ya maisha yangu. Nitaenda baadae, naweza kufanya vitu tofauti na taaluma niliosomea.

2. Sina pesa ya kununua gari, ila kaka yangu anayo hana kazi nayo kwa sababu muda mwingi anautumia kazini, nimeshaongea nae.

3. Upishi ni plan yangu baada ya skill ya udereva ninayoweza kufanya kisomi zaidi.


Asante kwa ushauri wako ila hivyo ni vipaumbele vyangu kwanza kabla sijaingia kwenye fani nyinginezo.
 
Kwanza hiyo pesa uliokuwa una bana matumizi unatakiwa utubu kwa wazazi maana ni kosa kwa Mungu
Pili hayo maamuzi unayotaka kufanya wewe mwenyewe huwe makina wakati unayatekeleza . Waswahili wanasema “mwenye kulitafuta utalipata “ inawezekana ikawa positive au Negative inategemea njia utakazopita.
Sijakuelewa unachomaanisha
 
Ndo wazazi mjifunze kuwa karibu na watoto wenu. Usipomjengea mazingira mtoto ya kuzungumza nae inapotakiwa ndio matokeo yake haya. Inaumiza sana watoto basi tu!!

Na wazazi wetu wa kitanzania wanaona huo ukali na mtoto kukuogopa ndio kuwa mzazi bora[emoji2297]
Ni tatizo la saikolojia kwa malezi yetu kuwa hivyo.
 
Kama una mtaji wa kutosha!!!!! hapo nyumbani, unasubiri nini? changanya miguu, nenda mkoa wa mbali huko, kapambane na maisha. Ukiendelea kukaa hapo utalemaa afu utakuwa under rule, huwezi kuwa mtu mzima, wee utaendelea kuwa mtoto tu.

Na huko uendapo ukikubali kudanganywa na mwanaume/wanaume, ukaona unapendwa ukakubali shauri zako.

Au ukienda kujiingiza kwenye makundi ya ajabu shauri zako. Ukajisimamie mwenyewe na uwe na msimamo.
Asante, ila si vyema kumfikiria mtu negative.. sina michanganyo unayoizungumzia. Ni kati ya vitu vinavyokatisha tamaa na kumkosesha mtu amani!

Hapa wazazi wengine ndipo wanapokosea pia!
 
MY SISTER WHATEVER THE CASE NI MUDA WAKO WA KUTIMIZA NDOTO ZAKO... Uzuri ushakua mtu mzima unajitambua, nikutakie kila lakheri Mungu awe nawe...
USIOGOPE
 
1. Sina plan ya kwenda law school kwa sasa.. bila kujua ramani kamili ya maisha yangu. Nitaenda baadae, naweza kufanya vitu tofauti na taaluma niliosomea.

2. Sina pesa ya kununua gari, ila kaka yangu anayo hana kazi nayo kwa sababu muda mwingi anautumia kazini, nimeshaongea nae.

3. Upishi ni plan yangu baada ya skill ya udereva ninayoweza kufanya kisomi zaidi.


Asante kwa ushauri wako ila hivyo ni vipaumbele vyangu kwanza kabla sijaingia kwenye fani nyinginezo.

Kwa sababu ulikuja kwa kuomba ushauri basi nikakupa ushauri. Ila kwa hali uliyopo bado sijaona logic ya kutumia pesa yako kwenye ada ya udereva kwa sasa!

Anyway muda ni ukuta, fanya maamuzi mema.

Kila la heri.
 
Kwa sababu ulikuja kwa kuomba ushauri basi nikakupa ushauri. Ila kwa hali uliyopo bado sijaona logic ya kutumia pesa yako kwenye ada ya udereva kwa sasa!

Anyway muda ni ukuta, fanya maamuzi mema.

Kila la heri.
Nashkuru kwa ushauri wako ndugu.
 
Wakuu habari,
Kama kichwa cha uzi kinavyosema hapo. Mtanisamehe mimi sio mwandishi mzuri ila nitajitahidi nieleweke.

Mimi nimebahatika kusoma systematically kama ilivyo mfumo wa elimu wa Tanzania, yani kuanzia std7, f4, f6 mwisho chuo kikuu.

Sasa kipindi nimemaliza f4 wakati nasubiri matokeo niliwaomba kuwa nikasome hotel management kwa sababu shule niliosoma tulikuwa tukisoma cookery ambayo naipenda na kwenye kupika mash'Allah si haba, nikaona vyema niende kupata ujuzi zaidi lakini nilipopeleka hili wazo nyumbani walinikatalia kwa kunipiga chenga mpaka muda ukaisha and mind you, kipindi hicho nipo tu nyumbani sina issue na ukiomba pesa hupewi.

Japokuwa nilikua najiwekea akiba zangu yani mfano nikipewa elfu 3 ya shule nlikua natoa buku yani hiyo buku ni nauli pamoja na kula shule then elf 2 ndo akiba yangu kwa hiyo kwa wiki nlikua natunza sh. elf 10 ambayo ilikua inanisaidia matumizi yangu. Nikiri kusema kuwa material things mbalimbali nilikua najinunulia mwenyewe .. sijawahi kuomba nyumbani pesa yoyote ya matumizi yangu ya kike zaidi wazazi wangu walikua wanajua kulipa tu ada pamoja matumizi ya shule!


Najaribu tu kufupisha, baadae nikawaomba niende nkasome certificate& diploma ndipo niende chuo kikuu walinikatalia tena wazi sio kwamba nilikua sijitambui lakini nature ya familia yangu ina tabia ya kudharau mawazo ya mtu bila kuyapima ..nkasema anyway kwa kuwa bado nipo chini yao na ninawategemea wacha tu niwaskilize, kwa hiyo nikaenda boarding school!


Nikafaulu tena kujiunga na chuo kimoja hapa Tanzania, niliomba mkopo ila sikupata kwa hiyo ada nikawa nategemea wazazi wangu pamoja na matumizi, wakati wote huo hakuna anaejali kuwa mimi ni mtotonwa kike nina mahitaji mengi.. nkasema fresh...

Nikaanza semester ya kwanza maisha magum, nikachekecha akili nilikua nna dada ambae tumesoma wote A level alikua anakaa nje ya hostel za chuo..
Nikamuomba niwe napikia jiko lake na gesi ikiisha mimi nitagharamia kuijaza akakubali..
Kwa hiyo nikawa natangaza menu ya chakula watu wanaweka oda mida ya kuanzia saa 9 mchana napika kwa ajili ya hizo oda maana nilifanya kwa jioni tu ili ratiba yangu ya darasani isiharibike kwa hiyo nikaanza taratibu kujitegemea completely..

Baada ya muda fulani nkatafuta chimbo la viatu nkapata nikawa nachukua viatu nazungusha hostel za chuo na nje ya chuo nikiwa na rafiki yangu wakati mwingine tunafanya biashara mseto yani hatujastick kwenye biashara moja.

At least maisha yakawa yanaenda, baadae tulitakiwa kuishi nje ya hostel za chuo, nikafanikiwa kununua godoro pamoja na kitanda, nikapata na chumba ambacho kipo affordable nkapanga.

Tukaanza semester nyingine, baba alikua akinipa ada nusu semester na kama kuna michango mingine atatoa yote. Basi hiyo semester nikatoa kiasi kidogo cha ada nikannua vitu muhim vya ndani nkawa napambana kuirudisha hivyo hivyo as usual mpaka nkamaliza chuo ndo yakiwa maisha yangu ya kujitafutia.

Sasa mwishoni nakaribia kumaliza, nilikua nmepanga kuwa nitimize baadhi ya malengo yangu ya kusoma ujuzi tofauti kidogo.
Kuna ndugu yetu yupo mkoa jirani na nilipokua tulikua tukiwasiliana aliposikia npo hapo jirani, kuna kipindi alinisaidia PC yake ya kazini baada ya kuibiwa ya kwangu ambapo pia sasa nimemaliza matumizi yake inabidi niirudishe. Kwa hiyo nilimuomba anisaidie nikienda nipate mafunzo ya udereva akakubali, nikawataarifu nyumbani kuhusu hilo jambo wakakubali pia.. lakini ajabu ilipokaribia kuondoka wakanizuia kuwa hakuna kwenda huko tena! Nikiwauliza sababu wanajiumauma! Nawajua vizuri! Niliumia ila sikua na jinsi zaidi ya kuwasikiliza.

Huyo ndugu yetu yupo kwenye system ambapo niliongea nae pia akaniahidi kuweza kupata sehem ya kujishikiza kulingana na taaluma yangu ya chuo, kwa hiyo hilo pia likayeyuka!

Yote kwa yote wazazi wangu hawafaham changamoto ninayopitia kwan nimekua mtu mkimya nisieongea nayopitia kutokana na kunionesha kutoguswa/kujali hivyo ni tabia yangu kunyamaza tangu nikiwa mdogo. Na nina siri nyingi sana sina mtu wa kumueleza.

Wakati mwingine nawashangaa watu wanasema wanapenda wazazi/mama zao au wapo nao karibu kiasi wanaweza kuwaambia kila kitu ila kwangu ni tofauti[emoji26] sijui kama kuna upendo wa namna hiyo kwangu[emoji31] kwa hiyo vutu vingi napitia kimya kimya mpaka natatua changamoto zangu peke yangu.



Anyway nisiwachoshe , ushauri naoomba ni huu.

Kwa sasa nina akiba kiasi ninayoweza kujisomesha udereva je niende? Maana nimerudi nyumbani sina nachofanya zaidi ya kusengenywa na wazazi wangu[emoji25]

Kingine kwa sababu ninavyo vitu vya kuanzia maisha na ramabi at least ninayo, je niondoke nyumbani nikapange niendelee kujitafutia? Maana nipo in the middle of 20's.. naona nyumbani pameanza kunilemaza kiaina.

Nawaheshimu wazazi wangu ila kwa baadhi ya maamuzi yangu watanisamehe. Nishaurini hapo. Nina mengi sana labda nitapata kuyasema wakati mwingine nipunguze uchungu wangu.
I'd suggest usisomee kwanza driving, au kama huna shida ya cheti nicheki nitakufundisha...sema utaweka mafuta tu.
Na kuhusu leseni utapata kwa 95k

Mawazo yangu ilikua hio hela ambayo ungeitumia kwa driving ndo ungeenda kujifunza mambo ya upishi ili uweze kua well na skills nyingi za upishi.

Maana umesema kuna shughuli utakuja kuzifanya za kutumia gari, its well known kwa sasa huwezi kununua gari, ko labda utaishia tu kukodisha ambayo inakua cost nyingine zaidi plus ile hela ambayo uliendea driving inakua imeenda bure maana gari umekodisha.

Maybe kama una uwezo wa kupata gari baada ya kua umejifunza then you can go for driving.
 
I'd suggest usisomee kwanza driving, au kama huna shida ya cheti nicheki nitakufundisha...sema utaweka mafuta tu.
Na kuhusu leseni utapata kwa 95k

Mawazo yangu ilikua hio hela ambayo ungeitumia kwa driving ndo ungeenda kujifunza mambo ya upishi ili uweze kua well na skills nyingi za upishi.

Maana umesema kuna shughuli utakuja kuzifanya za kutumia gari, its well known kwa sasa huwezi kununua gari, ko labda utaishia tu kukodisha ambayo inakua cost nyingine zaidi plus ile hela ambayo uliendea driving inakua imeenda bure maana gari umekodisha.

Maybe kama una uwezo wa kupata gari baada ya kua umejifunza then you can go for driving.
Nashkuru mkuu
 
Back
Top Bottom