Naomba ushauri wenu kuhusu biashara ya ufugaji wa kuku wa mayai

Naomba ushauri wenu kuhusu biashara ya ufugaji wa kuku wa mayai

Ndugu shukran sana umeongea mambo muhimu. Naomba niulize vitu
Hongera mkuu kwa uthubutu.

Najua huku kuna threads nyingi za ufugaji wa layers, lakini ngoja nitoe na mimi hints chache;

1. Initial capital investment lazima uwe nayo kwa angalau kuku mpaka waanze kutaga. Uwe na uhakika wa operating costs kama kununua vifaranga, chakula, chanjo, matibabu, usimamizi etc. Layers wanataga kuanzia miezi 5. So ukumbuke hapa hautaingiza hata shing kumi.
Ok. Maana kuna shughuli zingine nafanya so nilitaka kutengeneza kitega uchumi kingine hopefully nita vumilia. Muda huo labda nitaweka hata tumbuzi kadhaa
2. Anza kidogo kidogo (mfano vifaranga 100 tu), then uendelee ku expand kadri unavyo pata exprience ili kupunguza risk ya kupata hasara kwa mkupuo. Mambo ya pdf na Youtube utumie kama inspiration tu.
Nitafuata hili mkuu
3. Hata kama utamwachia mtu asimamie make sure mwanzoni unashiriki kwa 100% na baadae unakua unafuatilia on a daily basis. Never trust mtu yeyote.
Lazima nishiriki mwenyewe, ila sema inabidi nioe tu maana kuna mambo binafsi yataenda kufeli bila msaidiz 😎
4. At the same time unaweka nguvu kwenye uwekezaji, fanya utafiti na ufahamu wateja wako ni akina nani. Tengeneza connections kadri siku zinaenda. Hii ni muhimu sana.
Tafadhali naomba unipe mbinu ya kupata connection ya masoko. Nifanyeje

5. Kuwa na mshauri/mtaalam aliyebobea kwenye ufugaji ili kuwa mshauri hususani kuboresha uzalishaji na matibabu.
Kwa nitafanya hivyo
Je watakao niuzia vifaranga si wanaweza kua washauri?
6. Lazima ujue machimbo ya vyakula vya kuku bei nafuu maana gharama za ufugaji wa kuku wa mayai zaidi ya 80% ni chakula na virutubisho.
Ahsante
7. Take your time uongeze ujuzi katika mbinu za ufugaji hususani ulishaji, uchanganyaji wa chakula, magonjwa na dalili, chanjo zao etc. Hii itakusaidia wewe binafsi kama mwekezaji kwenye business hii.

Ngoja niishie hapa, wajuzi wengine waongeze.
Tafadhali kama kuna sehemu naweza pata hizo elimu, kama unazo docs shea nami or recommend me somewhere
 
Ahsante kwa maelezo yako. Kuku maybe 500 nianze nao au ww una shauri wangapi?
Kunamtu kashauri nguruwe kiukweli niliona sehemu wanafuga aisee wanalipa sana km wakiwa kwenye mazingira mazuri na hawasumbui sana kma kuku wa kisasa
Kuku niliwahi jaribu wa kienyeji wanalipa sana na ukiwafuga vizuri na chakula kikiwa Cha uhakika wanajua haraka pia japo sio km wa kisasa na hawana usumbufu
 
mkuu soma kwa makini comment no 09 amepiga mle mle

cha kuongezea hapo usitegemee chakula cha kununua pekee vyakula vingine tengeneza wewe mwenyewe maana katika ufugaji wa kuku chakula ndo mziki ulipo kwa eneo hilo ukiwa nalo hakikisha mchicha unao,chinise nk vilevile kama upatikanaji wa maji utakuwa mzuri fanya kuozesha kinyesi chao kwa ajiri ya funza wadudu hao wana protein za kutosha

hakikisha kiangazi unatengeneza hydroponic folder zitakupunguzia sana gharama.

usisahau kutupa mrejesho
Inabidi nipate elimu jinsi ya kuandaa hivyo vyakula aisee
 
Since eneo litakua kubwa nafikiria kuweka hata hao wajomba. Sema ubishoo inabidi niache sasa nijikite shambani
Kama ni eneo kubwa unafuga bila shida weka tu uzio tafuta na vijana wa kukusaidia wenye uzoefu hata ng'ombe wa maziwa kama ni sehemu yenye uhitaji wanalipa sana muhimu upate elimu ya kutosha ya ufugaji na ujitoe
 
Hongera mkuu kwa uthubutu.

Najua huku kuna threads nyingi za ufugaji wa layers, lakini ngoja nitoe na mimi hints chache;

1. Initial capital investment lazima uwe nayo kwa angalau kuku mpaka waanze kutaga. Uwe na uhakika wa operating costs kama kununua vifaranga, chakula, chanjo, matibabu, usimamizi etc. Layers wanataga kuanzia miezi 5. So ukumbuke hapa hautaingiza hata shing kumi.

2. Anza kidogo kidogo (mfano vifaranga 100 tu), then uendelee ku expand kadri unavyo pata exprience ili kupunguza risk ya kupata hasara kwa mkupuo. Mambo ya pdf na Youtube utumie kama inspiration tu.

3. Hata kama utamwachia mtu asimamie make sure mwanzoni unashiriki kwa 100% na baadae unakua unafuatilia on a daily basis. Never trust mtu yeyote.

4. At the same time unaweka nguvu kwenye uwekezaji, fanya utafiti na ufahamu wateja wako ni akina nani. Tengeneza connections kadri siku zinaenda. Hii ni muhimu sana.

5. Kuwa na mshauri/mtaalam aliyebobea kwenye ufugaji ili kuwa mshauri hususani kuboresha uzalishaji na matibabu.

6. Lazima ujue machimbo ya vyakula vya kuku bei nafuu maana gharama za ufugaji wa kuku wa mayai zaidi ya 80% ni chakula na virutubisho. Tengeneza chakula chako mwenyewe utakachowalisha, achana na kununua mifuko, utapata hasara

7. Take your time uongeze ujuzi katika mbinu za ufugaji hususani ulishaji, uchanganyaji wa chakula, magonjwa na dalili, chanjo zao etc. Hii itakusaidia wewe binafsi kama mwekezaji kwenye business hii.

Ngoja niishie hapa, wajuzi wengine waongeze.
mkuu gharama anazotumia mtu na bei atakayouza mayai, ivi faida ya kueleweka ipo kweli ?
 
mkuu gharama anazotumia mtu na bei atakayouza mayai, ivi faida ya kueleweka ipo kweli ?
Faida ipo tena kubwa sana ila tatizo wabongo hamna patience, mnataka uwekeze leo, after six month uanze kupata faida za kuanza kwenda Dubai for vacation, haha. Hizo story zitabaki kwa influencers na motivation speakers. Hela nyingi sana zipo mwishoni, mwanzoni hakuna hela but i guarantee wafanyakazi wa umma hawatakugusa kabisa maokoto unayogusa kwa mwezi out of kuku wa mayai.
 
Kama ni eneo kubwa unafuga bila shida weka tu uzio tafuta na vijana wa kukusaidia wenye uzoefu hata ng'ombe wa maziwa kama ni sehemu yenye uhitaji wanalipa sana muhimu upate elimu ya kutosha ya ufugaji na ujitoe
Ngoja nitafanya hivyo. Tungombe tuwili twa maziwa, kuku let say 200. Mbuzi 10 na wajomba oink oink oink hata 5
 
Inabidi nipate elimu jinsi ya kuandaa hivyo vyakula aisee
vyakula vinaendana na umri wa kuku cha kufanya nitakutimia pdf tu . vingine ni kuijiongeza kutokana na maeneo ulipo wewe mfanomimi kuna majani flani kuku wangu wanayapenda sana kulikomchina wala kabeji na hayapandwi ni kipindi cha mvua tu au sehemu zenye maji maji huwa nawapa hayo
 
Anza na 100 au 200. Prefarably 100. Mimi nitaandika ushauri vizuri kesho, saivi nipo sehemu siwezi ku type sana, ila i would like to know unafugia mjini sana au sehemu za ndani ndani kidogo..?
nakazia, hao 100 watamfundisha kufuga 200, 400 600 mpaka mabuku, **** mama alistaafu akaanza na 1500, aisee huwezi amini na sijui ni nn kilitokea, ile wanaanza kutaga walianza kufa kwa makundi, 20, 35 , 18 mpaka wakaisha wote. kwa sasa anataka kuanza kufuga wa nyama, anataka kuanza na mia 3, nimemshauri aanze na 100 anakuwa mbishi
 
mkuu gharama anazotumia mtu na bei atakayouza mayai, ivi faida ya kueleweka ipo kweli ?
Mkuu faida ipo kubwa. Ila lazima mentality yako iwe ni long-term business. Usiichukulie kama kibiashara kidogo cha pembeni, uichukulie kwa u serious na uingie kama biashara.

Pia usiwe na haraka ya kupata faida. Ndiyo maana inabidi uwe na initial capital ya kutosha, uwe na consistency kwenye usimamizi. Wakianza taga unaokota mayai mpaka wana 2 years or so, then una wauza kama kuku wa nyama.
 
Habari!

How much are u willingly to invest in this business.

Kama uko na hela ya kutosha hakuna sababu ya Kuanza na kuku 100 sijui 200, Unaweza anza na kuku hata 3000+ kwa ushauri wa Wataalamu n ww kuingia kitabuni.

Binafsi nina uzoefu mkubwa wa kusimamia mashamba ya kuku wa mayai/Broiller kama mtaalamu, so kua free kuuliza chochote.

Nimekuekea hapa budget ya kuku 260, Kwa kipindi cha day 1 - wanaanza kutaka unaweza ipitia kama muongozo
View attachment MCHANGANYIO KUKU 260.pdf
 
Habari!

How much are u willingly to invest in this business.

Kama uko na hela ya kutosha hakuna sababu ya Kuanza na kuku 100 sijui 200, Unaweza anza na kuku hata 3000+ kwa ushauri wa Wataalamu n ww kuingia kitabuni.

Binafsi nina uzoefu mkubwa wa kusimamia mashamba ya kuku wa mayai/Broiller kama mtaalamu, so kua free kuuliza chochote.

Nimekuekea hapa budget ya kuku 260, Kwa kipindi cha day 1 - wanaanza kutaka unaweza ipitia kama muongozo
View attachment 2942972
Ndugu ahsante sana kama. Una docs zingine ziweke hapa pia usiache kutoa elimu mbalimbali kutokana na uzoefu wako.
 
vyakula vinaendana na umri wa kuku cha kufanya nitakutimia pdf tu . vingine ni kuijiongeza kutokana na maeneo ulipo wewe mfanomimi kuna majani flani kuku wangu wanayapenda sana kulikomchina wala kabeji na hayapandwi ni kipindi cha mvua tu au sehemu zenye maji maji huwa nawapa hayo
Ahsante mkuu naomba nitumie hizo pdf since napenda kusoma. Itapendeza
 
Back
Top Bottom