Naomba ushauri wenu kuhusu biashara ya ufugaji wa kuku wa mayai

Naomba ushauri wenu kuhusu biashara ya ufugaji wa kuku wa mayai

Ntajitahidi kufupisha maelezo.

1.Zingatia mazingira ya Joto. Hapa watanzania wengi hutumia vyungu vya joto kulea vifaranga kwa week 2 - 3 kutegeme na msimu wa joto au baridi. Kawaida chungu kimoja kinalea kuku mpaka 100. Lakini pia kuna taa maalumu za joto zinauzwa kwenye maduka ya Mifugo.

2.Zingatia chanjo, Siku ya kuchanja kwa kawaida siku ya 7 tunachanja chanjo ya ugonjwa wa kideri, siku ya 14 tunachanja chanjo ya ugonywa wa Gumboro, siku ya 21 unarudia kideri, na siku ya 28 unarudia gumboro, siku ya 35-42 unapiga ndui/Fowlpox siku ya 60 unawapa dawa ya minyoo. Baada ya hapo utakua unarudia Chanjo ya kideri na Dawa ya Minyoo kila baada ya miezi 2.5 - 3 kutoka kwenye tarehe ya mwisho ya kuchanja

3.Zingatia chakula bora, katika kipindi cha miezi 2 ya kwanza kifaranga anagakiwa apewe chakula bila kupimiwa, angalia kampuni nzuri ya chakula cha kuku wa mayai inayo patikana mahali ulipo. Aina ya chakula wanachokula ni Chick starter kwa miezi 2 ya kwanza, Grower mash mwa miezi 2.5 inayofuata, then Layer mash wakiaanza kutaga kwa asilimia 5

4.Zingatia usafi wa banda na vyombo vya maji chakula.

5.Zingatia Biosecurity, hapa nimekosa kiswahili kizuri, hakikisha unazui kuingia hovyo kwa watu shambani kwako, hakikisha unabadirisha viatu unapoingia bandani kwako, hakikisha unakua na makoti special ya kuvaa bandani.

Maelezo mengine, unaweza angia pdf nimeshare hapo juu kuhusu ufugaji wa kuku wa mayai. Kuna no. zangu za simu kama ungependa maelezo zaidi
Safi sana uko vizuri.
 
Ntajitahidi kufupisha maelezo.

1.Zingatia mazingira ya Joto. Hapa watanzania wengi hutumia vyungu vya joto kulea vifaranga kwa week 2 - 3 kutegeme na msimu wa joto au baridi. Kawaida chungu kimoja kinalea kuku mpaka 100. Lakini pia kuna taa maalumu za joto zinauzwa kwenye maduka ya Mifugo.

2.Zingatia chanjo, Siku ya kuchanja kwa kawaida siku ya 7 tunachanja chanjo ya ugonjwa wa kideri, siku ya 14 tunachanja chanjo ya ugonywa wa Gumboro, siku ya 21 unarudia kideri, na siku ya 28 unarudia gumboro, siku ya 35-42 unapiga ndui/Fowlpox siku ya 60 unawapa dawa ya minyoo. Baada ya hapo utakua unarudia Chanjo ya kideri na Dawa ya Minyoo kila baada ya miezi 2.5 - 3 kutoka kwenye tarehe ya mwisho ya kuchanja

3.Zingatia chakula bora, katika kipindi cha miezi 2 ya kwanza kifaranga anagakiwa apewe chakula bila kupimiwa, angalia kampuni nzuri ya chakula cha kuku wa mayai inayo patikana mahali ulipo. Aina ya chakula wanachokula ni Chick starter kwa miezi 2 ya kwanza, Grower mash mwa miezi 2.5 inayofuata, then Layer mash wakiaanza kutaga kwa asilimia 5

4.Zingatia usafi wa banda na vyombo vya maji chakula.

5.Zingatia Biosecurity, hapa nimekosa kiswahili kizuri, hakikisha unazui kuingia hovyo kwa watu shambani kwako, hakikisha unabadirisha viatu unapoingia bandani kwako, hakikisha unakua na makoti special ya kuvaa bandani.

Maelezo mengine, unaweza angia pdf nimeshare hapo juu kuhusu ufugaji wa kuku wa mayai. Kuna no. zangu za simu kama ungependa maelezo zaidi
Vip mfumo wa kutumia cage
 
Inategemea na nguvu yako, fanya a well calculated business, kulisha kuku 500 miezi 6 inataka msuli kidogo
Umenena vyema, lazima awe na mtaji kwa kuwalisha angalau kwa wiki 20-22 watakapokuwa wamechanganyia kutaga. Layers kutoka Silverland wanakula chakula gram 130-150 kwa siku. Hawa kuku hawana changamoto kubwa kwenye matunzo kama una mtaji na umepata abc za kutosha. Ili kuona faida yake angalau uwe na kuku 500 na kuendelea. Mabanda yakiwa yamejengwa kisasa na ukizingatia usafi, chanjo, na madawa hawatakupa shida kabisa.
 
Vip mfumo wa kutumia cage
Cage ni gharama sana mkuu, kama una eneo la kutosha hakuna ulazima. Cha msingi anawawekea viota vya kutagia na anaviwekea pumba haswa za mchele ambazo sisi huku tunabeba bure, gharama yako ni usafiri na watu wa kupakia tu. Nitashare picha ya hicho kiota, kinatengenezwa kwa mbao na kuwekewa partition, hii itazuia sana mayai kupasuka.
 
Inabidi nipate elimu jinsi ya kuandaa hivyo vyakula aisee
Ninazo formula, ila itabidi nipekue nishee nawe. Ila hata wenye mashine za kusaga wanazo hizo formula. Cha msingi ni muhimu mtu awepo mashineni wakati wanasaga hicho chakula ili uhakikishe vitu vyote muhimu vimewekwa. Kuna mashine wale vijana ni wezi kwelikweli, watapita na hizo vitamin, minerals wakapigie smart Gin, nk.
 
Cage ni gharama sana mkuu, kama una eneo la kutosha hakuna ulazima. Cha msingi anawawekea viota vya kutagia na anaviwekea pumba haswa za mchele ambazo sisi huku tunabeba bure, gharama yako ni usafiri na watu wa kupakia tu. Nitashare picha ya hicho kiota, kinatengenezwa kwa mbao na kuwekewa partition, hii itazuia sana mayai kupasuka.
Gharama kwenye kuzinunua au kuzitumia kuhudumia kuku?
 
Ntajitahidi kufupisha maelezo.

1.Zingatia mazingira ya Joto. Hapa watanzania wengi hutumia vyungu vya joto kulea vifaranga kwa week 2 - 3 kutegeme na msimu wa joto au baridi. Kawaida chungu kimoja kinalea kuku mpaka 100. Lakini pia kuna taa maalumu za joto zinauzwa kwenye maduka ya Mifugo.

2.Zingatia chanjo, Siku ya kuchanja kwa kawaida siku ya 7 tunachanja chanjo ya ugonjwa wa kideri, siku ya 14 tunachanja chanjo ya ugonywa wa Gumboro, siku ya 21 unarudia kideri, na siku ya 28 unarudia gumboro, siku ya 35-42 unapiga ndui/Fowlpox siku ya 60 unawapa dawa ya minyoo. Baada ya hapo utakua unarudia Chanjo ya kideri na Dawa ya Minyoo kila baada ya miezi 2.5 - 3 kutoka kwenye tarehe ya mwisho ya kuchanja

3.Zingatia chakula bora, katika kipindi cha miezi 2 ya kwanza kifaranga anagakiwa apewe chakula bila kupimiwa, angalia kampuni nzuri ya chakula cha kuku wa mayai inayo patikana mahali ulipo. Aina ya chakula wanachokula ni Chick starter kwa miezi 2 ya kwanza, Grower mash mwa miezi 2.5 inayofuata, then Layer mash wakiaanza kutaga kwa asilimia 5

4.Zingatia usafi wa banda na vyombo vya maji chakula.

5.Zingatia Biosecurity, hapa nimekosa kiswahili kizuri, hakikisha unazui kuingia hovyo kwa watu shambani kwako, hakikisha unabadirisha viatu unapoingia bandani kwako, hakikisha unakua na makoti special ya kuvaa bandani.

Maelezo mengine, unaweza angia pdf nimeshare hapo juu kuhusu ufugaji wa kuku wa mayai. Kuna no. zangu za simu kama ungependa maelezo zaidi
Nimekumbuka newcastle na gomboro
 
Cage ni gharama sana mkuu, kama una eneo la kutosha hakuna ulazima. Cha msingi anawawekea viota vya kutagia na anaviwekea pumba haswa za mchele ambazo sisi huku tunabeba bure, gharama yako ni usafiri na watu wa kupakia tu. Nitashare picha ya hicho kiota, kinatengenezwa kwa mbao na kuwekewa partition, hii itazuia sana mayai kupasuka.
Naomba ushee nami hizo picha tafadhali
 
Habari!

How much are u willingly to invest in this business.

Kama uko na hela ya kutosha hakuna sababu ya Kuanza na kuku 100 sijui 200, Unaweza anza na kuku hata 3000+ kwa ushauri wa Wataalamu n ww kuingia kitabuni.

Binafsi nina uzoefu mkubwa wa kusimamia mashamba ya kuku wa mayai/Broiller kama mtaalamu, so kua free kuuliza chochote.

Nimekuekea hapa budget ya kuku 260, Kwa kipindi cha day 1 - wanaanza kutaka unaweza ipitia kama muongozo
View attachment 2942972
Kwenye mchanganuo wa gharama haujaweka gharama za maji, umeme na kibarua/msimamizi.
 
Back
Top Bottom