Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Sio lazima barabara ya lami mkuu, hata kijijini ili mradi panafikika tuHofu yangu barabarani naweza pata eneo lenye ukubwa wa heka 2 kweli na ghalam itakua sh ngap?? Hapo ndo nahofia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio lazima barabara ya lami mkuu, hata kijijini ili mradi panafikika tuHofu yangu barabarani naweza pata eneo lenye ukubwa wa heka 2 kweli na ghalam itakua sh ngap?? Hapo ndo nahofia
Hakikisha una nunua vifaranga kutoka makampuni makubwa. Tulinunua kwny kampuni ya kichina kuku walikua vzr na kuanza kutaga vzr but tulipofika trei 38 per day ghafla ikashuka mpaka 28.Habari, wataalam na wenye uzoefu wa jambo hili naombeni muongozo katika jambo langu hili.
Ili kujikwamua na ufukara uliokithiri Nilitaman kufanya biashara ya ufagaji.. Nilionelea nifanye ufagaji wa kuku wa mayai. But sijawah kufanya hii kitu uzoefu nilionao ni wa kuhudumia kuku wetu wale tunaofuga nyumbani so kwa kiasi naelewa kuku wanavyotia stress.
Nilitaka ninunue eneo kuanzia 1 hector and above kisha ndio nifanyie hapo shughuli hizo za ufugaji.....
So maelezo yenu ndio yatanipelekea kufanya Viability and feasibility analysis yangu.
- So Ningependa kujuzwa vitu vya kuzingatia katika kuchagua eneo la kufanya ufugaji huo.
- Je biashara hii inalipa au ndio pasua kichwa?
Karibu wajuzi wa mambo mnipe mawazo. Yaani naanza from scratch naweza sema sijui lolote kwenye biashara hii.
Nimesoma soma threads humu, kutazama video YouTube na kufuatilia fb swala hili. Natumaini GT wa JF mtanijuza zaid.
Nilienda safari msimamizi akawa mzembe kuku 6 wamekufa kumbe maji alikuwa anaweka kidogo yaani hadi mda huu nami bado namsimanga tu bila kuchoka na nimempa last chance to prove her ability next time no excuse.Hakikisha una nunua vifaranga kutoka makampuni makubwa. Tulinunua kwny kampuni ya kichina kuku walikua vzr na kuanza kutaga vzr but tulipofika trei 38 per day ghafla ikashuka mpaka 28.
Tulipofatilia kumbe ni marek's. so tukashauriwa tule kuku wote almost 2,000 coz not bad 4human.
Bahati mbaya kituo kikubwa kinachoweza kuhakikisha kama ni mareks ni pale vetenari Dsm so nilisafiri from Arusha.
Wakaniuliza nilinunua wapi vifaranga, nikawatajia kumbe lilikua kosa sbb yule mchina NA AMINI KWA NGUVU ILIYO KUU ALIWAONGA WOTE PALE sbb walinizungusha kunipa majibu kwa zaidi ya wiki 3 au 4 badala ya siku 3 mpaka 5 walizosema.
Bahati nzuri nikastukia gem na mimi nikapiga simu nakokujua siku hiyo hiyo wakanitumia majibu mareks +ve.
Wkt nafatilia majibu nikaja gundua watu wengi tumeumizwa mbaya zaidi hawakupewa majibu sahihi ili wafanye maamuzi sahihi ili kukwepa gharama zaidi.
Nimepata shida kuandika hii kitu sbb bado inaniuma tangu 2020 mpaka leo. Kawaida kuku kwangu afi wale haugui lkn hao wachina na vetenari waliniweza. Sijui ni wangapi ambao tuliumizwa na kutiwa umasikini na awa wapuuzi.
NARUDIA TENA NUNUA VIFARANGA KWNY KAMPUNI KUBWA. Na ili kuku wako wasife wala kuugua mara kwa mara USAFI UWE BIBLIA/QURAAN yako banda likiwa chafu chukulia kama mtu kakutukania mama ako mbele yako na mbele ya mama ako.
Mimi wanajua heri uibe mayai au kuku mwenyewe ila sio banda kua chafu ntakukata mshahara alaf nakusimanga mwez mzima sichoki.
Habari, wataalam na wenye uzoefu wa jambo hili naombeni muongozo katika jambo langu hili.
Ili kujikwamua na ufukara uliokithiri Nilitaman kufanya biashara ya ufagaji.. Nilionelea nifanye ufagaji wa kuku wa mayai. But sijawah kufanya hii kitu uzoefu nilionao ni wa kuhudumia kuku wetu wale tunaofuga nyumbani so kwa kiasi naelewa kuku wanavyotia stress.
Nilitaka ninunue eneo kuanzia 1 hector and above kisha ndio nifanyie hapo shughuli hizo za ufugaji.....
So maelezo yenu ndio yatanipelekea kufanya Viability and feasibility analysis yangu.
- So Ningependa kujuzwa vitu vya kuzingatia katika kuchagua eneo la kufanya ufugaji huo.
- Je biashara hii inalipa au ndio pasua kichwa?
Karibu wajuzi wa mambo mnipe mawazo. Yaani naanza from scratch naweza sema sijui lolote kwenye biashara hii.
Nimesoma soma threads humu, kutazama video YouTube na kufuatilia fb swala hili. Natumaini GT wa JF mtanijuza zaid.
Ooh, kama ni hivyo inalipa.. hata hivyo niliandika tu sikua na uhakikaNilipo trei ni 9000 mpaka 10k
Kuku wa mayai wanalipa sana kwa kiasi Fulani ila unahitaji kumeteini kwenye chanjo na chakula . Kuku wa Malawi ni wazuri sana kwenye kutanga mayai na hawahitaji umakini sana kwenye kuwatuza ila chanjo ni lazima wanaanza kutanga mayai wakiwa na miez mitano , mitano na nusu, mpk 6
Wanataga mayai Kila kuku sio chini ya 300, kwa mwaka
Jongoo kufika kg 3.5 mpk 5 kama atakula vizuri
Ila kuku hawa wanahitaji chakula cha kutosha Ili kukutangia mayai ya kutosha chakula kizuri layera , layer mash , chotara .
Mteja yupi bila kuwa na bidhaa, jambo la msingi anza kidogo dogo. Mambo yakusema kwamba uanzie sokon sio kwa bongo hii.Katika biashara cha kwanza ni mteja pili ndio uwanze kufanya biashara.
Sidhani kama kafanikiwa.Umefanikiwa
Nadhani hujanieleaa.. hivi unajua unaweza ukawa na wateja hata kama haujafungua biashara yako..Mteja yupi bila kuwa na bidhaa, jambo la msingi anza kidogo dogo. Mambo yakusema kwamba uanzie sokon sio kwa bongo hii.
Utakua winga sasa au dalali. Jambo la msingi mtu afanye uwekezaji mdogo mdogo huku akiendelea kutafuta wateja.Nadhani hujanieleaa.. hivi unajua unaweza ukawa na wateja hata kama haujafungua biashara yako..
liko wapi hili mkuu?Ukitaka shamba la kununua nicheki