Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
njoo pmAhsante mkuu naomba nitumie hizo pdf since napenda kusoma. Itapendeza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
njoo pmAhsante mkuu naomba nitumie hizo pdf since napenda kusoma. Itapendeza
njoo pmAhsante mkuu naomba nitumie hizo pdf since napenda kusoma. Itapendeza
poaMkuu pm yangu haifanyi kazi since December. Nipm
Hujajibu swali la kwanza. Uko tayari kuweka mtaji kiasi gani kwenye hii biashara?Ndugu ahsante sana kama. Una docs zingine ziweke hapa pia usiache kutoa elimu mbalimbali kutokana na uzoefu wako.
Mkuu niumepanga katika hili zoezi nishiriki mwenyewe pia kwa asilimia 120% sitaki ufugaji wa kupiga simu. Pia nilitaka nipate japo heka 2-5 ambapo humo naweza kufanya shughuli zingine za kilimo.
Japo sijui kulima ila nitajulia huko huko. Huko nilitamani niwekw mbuzi na mifugo mingine kama. Oink oink
Naomba mtuelekeze namna ya kuandaa chakula cha kuku tafadharimkuu soma kwa makini comment no 09 amepiga mle mle
cha kuongezea hapo usitegemee chakula cha kununua pekee vyakula vingine tengeneza wewe mwenyewe maana katika ufugaji wa kuku chakula ndo mziki ulipo kwa eneo hilo ukiwa nalo hakikisha mchicha unao,chinise nk vilevile kama upatikanaji wa maji utakuwa mzuri fanya kuozesha kinyesi chao kwa ajiri ya funza wadudu hao wana protein za kutosha
hakikisha kiangazi unatengeneza hydroponic folder zitakupunguzia sana gharama.
usisahau kutupa mrejesho
Habari!
How much are u willingly to invest in this business.
Kama uko na hela ya kutosha hakuna sababu ya Kuanza na kuku 100 sijui 200, Unaweza anza na kuku hata 3000+ kwa ushauri wa Wataalamu n ww kuingia kitabuni.
Binafsi nina uzoefu mkubwa wa kusimamia mashamba ya kuku wa mayai/Broiller kama mtaalamu, so kua free kuuliza chochote.
Nimekuekea hapa budget ya kuku 260, Kwa kipindi cha day 1 - wanaanza kutaka unaweza ipitia kama muongozo
View attachment 2942972
Kuku wa umri gani?? maana feed ration zinatofautianaNaomba mtuelekeze namna ya kuandaa chakula cha kuku tafadhari
📌📌📌📌.Kama ni eneo kubwa unafuga bila shida weka tu uzio tafuta na vijana wa kukusaidia wenye uzoefu hata ng'ombe wa maziwa kama ni sehemu yenye uhitaji wanalipa sana muhimu upate elimu ya kutosha ya ufugaji na ujitoe
hydroponic fodder ni project inayohitaji fedha kwanzia green house, seeds ,wheat.... nk ,nutrients,trey za kupandia,maji,usimamizi so mi ningemshauri afocus kwanza na ufugaji wa kuku kwa kutumia home made ration...mkuu soma kwa makini comment no 09 amepiga mle mle
cha kuongezea hapo usitegemee chakula cha kununua pekee vyakula vingine tengeneza wewe mwenyewe maana katika ufugaji wa kuku chakula ndo mziki ulipo kwa eneo hilo ukiwa nalo hakikisha mchicha unao,chinise nk vilevile kama upatikanaji wa maji utakuwa mzuri fanya kuozesha kinyesi chao kwa ajiri ya funza wadudu hao wana protein za kutosha
hakikisha kiangazi unatengeneza hydroponic folder zitakupunguzia sana gharama.
usisahau kutupa mrejesho
Nje ya banda/Eneo la kufugia?2-5M.
Nipe mchanganuo sasa
Ntajitahidi kufupisha maelezo.Oh yeah!!
Umesema umesimamia mashamba mengi ya ufugaji wa kuku wewe ukiwa kama mtaalamu..
okay swali langu kwako ni liko hapa kwenye management of one day chick up to laying time.
Kesho nita share iko kwenye excel mkuu mtwa mkuluNaomba mtuelekeze namna ya kuandaa chakula cha kuku tafadhari