Naomba uzoefu na wadada wanaofanya kazi Benki, wanaona kama maisha wameyapatia

Naomba uzoefu na wadada wanaofanya kazi Benki, wanaona kama maisha wameyapatia

Kwema ndugu zangu?

Nipo kwenye mahusiano na mdada mmoja anafanya kazi bank.

Hawa wadada wanaona maisha washayapatia sanaa najiuliza sana nataka kujua kama kuna mtu humu kaoa mdada wa bank wanaishije huko makwao?

Wanaolewa kweli hawa wadada?
Hawana pesa kama ni bank tellers sema wanaambulia mikopo. Madada wenye pesa ni wa NSSF maana wanakula mshahara si haba ni mikopo ya maana kweli. Bado zile training zao wanazoendaga fanya moro.
Bank hawana pesa njaa njaa tu labda wanaambulia vitip
 
Kuna siku aliniagizia Ununio, nikaenda kuhesabiwa USD 22,000. Yeye yupo Hotel moja hivi Executive Suite nikampelekea... Kwa dharau akapokea kwenye Lift ilivyofunguka tu kisha nikashuka nayo akaniambia niende Reception ameniachia nauli.

Nikawa na Mshawasho kufika Reception Dada anazingua mara aniulize sijui Mzigo uko wapi? Nikamwambia mpigie nimeshampa Mzigo wake mwenyewe ... Kampigia naona wameongea kidogo ananipa 'Msimbazi'.

Aisee katika Milioni 50 ananipa Msimbazi!!?? Hiyo kitu iliniuma nikajiambia ataingia 18... Sasahivi anajuta na hatokuja kunisahau katika maisha yake. Mbuzi kabisa.
Duh mkuu siyo vizuri hivyo.

Mimi katika vitu huwa sitaki kufanya maishani basi ni kuiba.
Katika Hilo shetani amenikosa..

Ila nikiona dalili yoyote yaa kudharauliwa na kuendeshwa kijinga basi najiweka pembeni.
 
Unakanusha kwa maneno matupu, mimi nimeweka range: yaani kati ya 350K mpaka 700K, sijataja kiasi halisi 'actual', onyesha weledi katika kukosoa, bainisha unachokifahamu
Ok nmb bank teller kabla ya dec 2021 ndo walikuwa wanalipwa salary ndogo kuliko bank zingine walikuwa wanaanza na 800k after tax now wapo 1.2m crdb Wana 1.1m tpb Wana 1m tunachokiongea tuna uhakika nacho
 
mkuu nimestuka

ujue kuna km wa tano hivi hasa NMB yaani ukisha zaa tu taratibu unaanza kusukumizwa vijijini mwisho wa siku huna kazi. uku umri ukiwa baaado una,nguvu kbs.

Labda hao wengine, ila wangu wapo mjini kama kuhama ni branches za town tu
 
Ok nmb bank teller kabla ya dec 2021 ndo walikuwa wanalipwa salary ndogo kuliko bank zingine walikuwa wanaanza na 800k after tax now wapo 1.2m crdb Wana 1.1m tpb Wana 1m tunachokiongea tuna uhakika nacho
Umetisha, nimemuuliza rafiki yangu yupo CRDB Dodoma - Kondoa ameniambia inafika 1M+ na desimali, ahsante kwa kunihuisha, nilikuwa out-dated

Na hapo ukijumlisha na posho na stahiki si haba, wanakusanya parefu kiasi chake
 
Yaani bank wanaokula rushwa ni managers na afisa mikopo wale mateller wao wamejichokea tu na afisa mikopo kwa kua rushwa ni nyingi sana
Kweli, ila wakikunyaka tu huna kazi, hawacheleweshi
 
Hivi kwani hairuhusiwi kujiteka au kujikaba na kujiibia? [emoji23]
Nimeokoka mkuu
Nampenda Yesu😂
Ningekuwa wa kuiba basi ningeiba sana maana mtu mwenyewe hata kumbukumbu alikuwa hana.
 
Bora wa benki maringo ya wanawake wanaofanya kazi kwenye vituo vya mafuta unayafahamu kweli
Wauza mafuta kwenye Filling Station wanawake kwa wanaume sikuhizi wanaiba kiugumu kila mteja kabla na baada ya kuweka Wese mimacho kodo kwenye Pump
 
Ok nmb bank teller kabla ya dec 2021 ndo walikuwa wanalipwa salary ndogo kuliko bank zingine walikuwa wanaanza na 800k after tax now wapo 1.2m crdb Wana 1.1m tpb Wana 1m tunachokiongea tuna uhakika nacho
Kuna jamaa tulisoma nae Yuko benki fulani analipwa 1.3M kabla ya makato, msidharau benki msidhani benki ni Kama Halmashauri wanalipwa 700,000/-
 
Kuna jamaa tulisoma nae Yuko benki fulani analipwa 1.3M kabla ya makato, msidharau benki msidhani benki ni Kama Halmashauri wanalipwa 700,000/-
Sawa, binafsi sijadharau, naheshimu sana hali na vipato vya watu, baada ya makato anapoteza sifuri moja na chenchi kadhaa

TGS D! kikubwa uhai tu, hivi unajua Mchumi II wa Wizara ya Fedha mshahara wake unakaribia kulingana na Mchumi II wa LGAs?

Tofauti ipo kwenye posho tu, Wizarani wana bajeti kubwa na shughuli zao ni nyingi "madokezo": na si wote wanapata posho ndefu Wizarani, inategemea na kitengo/idara
 
Back
Top Bottom