Naomba wa ushauri njia bora ya kuendesha kampuni

Naomba wa ushauri njia bora ya kuendesha kampuni

Nyabiri

Member
Joined
Apr 15, 2017
Posts
58
Reaction score
38
Wakuu ni matumaini yangu kuwa hamjambo, nimeamua kuingia kwenye jukwaa hili nikiamini ya kwamba nitasaidia kimawazo.

Katika harakati za kutafuta maisha nilifanikiwa kusajili na kufungua kampuni ya ulinzi na kuanza kuiendesha kuanzia mwaka 2021 hadi 2023 mwishoni,nilikuwa na wateja wa kawaida. Kutokana na uendeshaji kuwa na changamoto nyingi niliamua niliamua kufunga ofisi tangu mwezi November 2023 hadi sasa, hali hii ilinikatisha tamaa saana nikaamua kurudi kijijini kulima, tafadhal NAOMBA muongozo sahihi ambao naweza kuutumia kufungua tena ofisi na kuiendesha.nina imani humu kuna watalaam na pengne wazoefu wa kazi hiyo hivyo nitapata mawazo chanya.

Natanguliza shukrani.
 
Uliwekeza kiasi gani kwenye marketing? Nikikngelea marketing simaanishi matangazo pekee (advertisement),

Je umepita door to door kwenye taasisi/nyumba/biashara ngapi kabla ya kuconclude biashara haiwezekani? (Njoo na hard figures nyumba kadhaa, taasisi kadhaa etc) usitegemee ubaki ofisini au umepita nyumba 100 tu ukasema kazi imekushinda. Dar es salaam pekee kuna malaki ya makazi zaidi, ukipita sehmu chache umechagua sample size ndogo mno.

Umejaribu kuangalia kwenye adjacent channels mfano ukaoffer option za kufunga security cameras, fencing, alarm systems n.k ??

Ofa gani unampa mteja wako isiyohusiana na bei, itauomfanya mtu aache other reputable security companies aje kwako??

Ukisha tafakari yote hayo kwa kina na kuwa mkweli utajua namna gani ya kuokoa biashara yako. Biashara si hela rahisi, kama unataka hela rahisi bora ukaaajiriwe maana hata huoo kwenye kilimo utakimbia
 
Uliwekeza kiasi gani kwenye marketing? Nikikngelea marketing simaanishi matangazo pekee (advertisement),

Je umepita door to door kwenye taasisi/nyumba/biashara ngapi kabla ya kuconclude biashara haiwezekani? (Njoo na hard figures nyumba kadhaa, taasisi kadhaa etc) usitegemee ubaki ofisini au umepita nyumba 100 tu ukasema kazi imekushinda. Dar es salaam pekee kuna malaki ya makazi zaidi, ukipita sehmu chache umechagua sample size ndogo mno.

Umejaribu kuangalia kwenye adjacent channels mfano ukaoffer option za kufunga security cameras, fencing, alarm systems n.k ??

Ofa gani unampa mteja wako isiyohusiana na bei, itauomfanya mtu aache other reputable security companies aje kwako??

Ukisha tafakari yote hayo kwa kina na kuwa mkweli utajua namna gani ya kuokoa biashara yako. Biashara si hela rahisi, kama unataka hela rahisi bora ukaaajiriwe maana hata huoo kwenye kilimo utakimbia
Jamaa ameomba model ya kuendesha kampuni. Wengi wetu ambao hatujawahi kuwa katika ngazi za utawala kwenye makampuni tukianazisha zetu tunaishia kuwa"micromanage" wafanyakazi wetu au kuendesha kama kibanda Cha simu...


Mtoa mada Ulishawahi kuwa mlinzi?
 
Jamaa ameomba model ya kuendesha kampuni. Wengi wetu ambao hatujawahi kuwa katika ngazi za utawala kwenye makampuni tukianazisha zetu tunaishia kuwa"micromanage" wafanyakazi wetu au kuendesha kama kibanda Cha simu...


Mtoa mada Ulishawahi kuwa mlinzi?
Mkuu nilishawahi kuwa mlinzi kwa muda mrefu nikapata experience ya mambo ya ulinzi. Na pia kuwa kiongozi mkubwa kwenye kampuni ya ulinzi.
 
Uliwekeza kiasi gani kwenye marketing? Nikikngelea marketing simaanishi matangazo pekee (advertisement),

Je umepita door to door kwenye taasisi/nyumba/biashara ngapi kabla ya kuconclude biashara haiwezekani? (Njoo na hard figures nyumba kadhaa, taasisi kadhaa etc) usitegemee ubaki ofisini au umepita nyumba 100 tu ukasema kazi imekushinda. Dar es salaam pekee kuna malaki ya makazi zaidi, ukipita sehmu chache umechagua sample size ndogo mno.

Umejaribu kuangalia kwenye adjacent channels mfano ukaoffer option za kufunga security cameras, fencing, alarm systems n.k ??

Ofa gani unampa mteja wako isiyohusiana na bei, itauomfanya mtu aache other reputable security companies aje kwako??

Ukisha tafakari yote hayo kwa kina na kuwa mkweli utajua namna gani ya kuokoa biashara yako. Biashara si hela rahisi, kama unataka hela rahisi bora ukaaajiriwe maana hata huoo kwenye kilimo utakimbia
Asante saana kiukweli kwa maswali haya kuna kitu nimejifunza.
 
Mkuu nilishawahi kuwa mlinzi kwa muda mrefu nikapata experience ya mambo ya ulinzi. Na pia kuwa kiongozi mkubwa kwenye kampuni ya ulinzi.
Unatumia organogram gani ile ya piramid au unatumia flat? Uendeshaji wa kampuni (ndani ya ofisi) hautegemei mahusiano na wateja. Wew unataka namna ya kukontrol/manage kampuni au unataka kufanya customer relation?
 
Makapuni ya ulinzi yako mengi sana , kwa kampuni ndogo kazi unapewa kwa kujuana yaan kama mtu unamfanyia kazi anaweza kukuunganisha na mtu mwngine au unaweza tafuta mtu wa marketing kwenye makampuni makubwa ili awe anakupigia pasi kwny kazi ambazo Dau lake ni dogo kwao wewe unapita nazo alaf malipo ya kwanza unampooza kiasi fulani
 
Pia sehemu nzuri nikwenda pembezon mwa miji kama kigambon , kisemvule ambapo kuna site nyngi
 
Wakuu ni matumaini yangu kuwa hamjambo, nimeamua kuingia kwenye jukwaa hili nikiamini ya kwamba nitasaidia kimawazo.

Katika harakati za kutafuta maisha nilifanikiwa kusajili na kufungua kampuni ya ulinzi na kuanza kuiendesha kuanzia mwaka 2021 hadi 2023 mwishoni,nilikuwa na wateja wa kawaida. Kutokana na uendeshaji kuwa na changamoto nyingi niliamua niliamua kufunga ofisi tangu mwezi November 2023 hadi sasa, hali hii ilinikatisha tamaa saana nikaamua kurudi kijijini kulima, tafadhal NAOMBA muongozo sahihi ambao naweza kuutumia kufungua tena ofisi na kuiendesha.nina imani humu kuna watalaam na pengne wazoefu wa kazi hiyo hivyo nitapata mawazo chanya.

Natanguliza shukrani.
labda ungetueleza ni changamoto ipi na ipi ulokutana nayo ili tujue jinsi ya kukushauri
 
Back
Top Bottom