The Eric
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 6,446
- 10,976
- Thread starter
- #21
Mbinu mbovu hii.Simfahamu hata mbinu za vijana kuhitaji namba Za simu.
Warembo naombeni namba niwatwangie?
Hapo vipi mleta uzi?nimepatia?
Copa Cabana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbinu mbovu hii.Simfahamu hata mbinu za vijana kuhitaji namba Za simu.
Warembo naombeni namba niwatwangie?
Hapo vipi mleta uzi?nimepatia?
Copa Cabana
Karibu chakula kwaza umekula?Okay ni wanawake.
Niko hapa kuhitaji msaada wenu ili niwe mbobezi kama vijana wa mjini.Mbinu mbovu hii.
Ahahahh sisi huwa tunatoa simu unampa mdada na yeye anajua kifwatacho anaandika namba tena anajibipu au anasev kabisa jina lake wengine wanajisev loveNiko hapa kuhitaji msaada wenu ili niwe mbobezi kama vijana wa mjini.
Nimescroll haraka Nije nione hizo mbinu nakuta ola.
Tittle na content haviendani
Mbinu ziko wapi?
Mbinu bora ni kujiamini na kujifunza kuongea bila kuinamisha kichwa chini, ukiongea na mwanamke mwangalie machoni wala usipepese macho chini au pembeni au upate kigugumizi cha ghafla huo ni udhaifu.Niko hapa kuhitaji msaada wenu ili niwe mbobezi kama vijana wa mjini.
Sio unampatia pesa na baada ya hapo anajiongeza mwenyewe ?Ahahahh sisi huwa tunatoa simu unampa mdada na yeye anajua kifwatacho anaandika namba tena anajibipu au anasev kabisa jina lake wengine wanajisev love
Nimekupa hapo chini mkuuNipe mbinu mdogo wangu maana niko kama mzee mwenye zaidi ya miaka 90 Mwachiluwi
Hapana usitoe pesa ww toa simu aandike nambaSio unampatia pesa na baada ya hapo anajiongeza mwenyewe ?
Asante mwalimu,hakika uzee sasa kwaheriMbinu bora ni kujiamini na kujifunza kuongea bila kuinamisha kichwa chini, ukiongea na mwanamke mwangalie machoni wala usipepese macho chini au pembeni au upate kigugumizi cha ghafla huo ni udhaifu.
Kingine vaa vizuri na ongea point tu. Kamwe usiongee sana.
Hiyo ni wewe ushindwe sasa.
Asante sana mdogo wangu,Nimekupa hapo chini mkuu
Mimi sina demu kaka nipo single boy ata nikikupa ex wangu utakufa kwa stressAsante sana mdogo wangu,
Sasa yule mwanamke(DEMU wako) vijana wa mjini mnaita wenyewe..ninaweza kujifunzia kwake? Kizuri Kula na kaka yako😅
Kumbe! Sio tusilazimishe tamaa?mrembo ukimuomba namba akakwambia umpe yako alafu akawa hajakutafuta achana nae uyo usilazimishe mapenzi
Acha kuvaa suruali za draft kama nyavu za dirisha mzeeAsante mwalimu,hakika uzee sasa kwaheri
Ngoja nivae kama kijana nikawatupie mistari na kuongea Kwa kujiamini.
Ana wowo?Mimi sina demu kaka nipo single boy ata nikikupa ex wangu utakufa kwa stress
🤣🤣Acha kuvaa suruali za draft kama nyavu za dirisha mzee