Naombeni Dawa ya Kuisahau hii Kauli inayokataa kabisa kutoka Ubongoni mwangu ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa

Naombeni Dawa ya Kuisahau hii Kauli inayokataa kabisa kutoka Ubongoni mwangu ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa

Kwani ulikuwemo masjid wakati akimwagika & kuserereka na hiyo kauli
 
huwenda hata waziri hakuwa anajua kinacho endelea au hadi anatoa hilo tamko ni kweli magufuli alikuwa mzima. Nini kilitokea baadae? Wanajua wao
 
'Rais na Amiri Jeshi Mkuu Dk. John Pombe Joseph Magufuli yuko mzima wa Afya anachapa kabisa Kazi na nimetoka Kuzungumza nae'', Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Kassim.
Hivi hii kule kwenye kitabu cha waongo ipo mstari gani vilee??
 
'Rais na Amiri Jeshi Mkuu Dk. John Pombe Joseph Magufuli yuko mzima wa Afya anachapa kabisa Kazi na nimetoka Kuzungumza nae'', Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Kassim.
Tumuombee naye afe Ndio dawa inayoweza kukusaidia usahau.
 
huwenda hata waziri hakuwa anajua kinacho endelea au hadi anatoa hilo tamko ni kweli magufuli alikuwa mzima. Nini kilitokea baadae? Wanajua wao
Hao walikuwa wanajuwa hata kilichokea KABLA, achana na kile kilichotokea baadaye..!!
 
Back
Top Bottom