Naombeni kujua mtu akikwambia nimeenda sehemu maalamu kufanya kazi maalumu ina maana gani?

kuna mtu wangu wa karibu kuna muda anasafiri ukimuuliza ulikua wapi anasema kufanya kazi maalumu na sehemu maalumu hapo ndo sielewagi kabisa..natamani anaeelewa haya mambo anielezee
Pokea tu

Sio lazima uelewe kila kitu
 
Huyo mtu wako atakuwa ni mchawi aliekubuhu ama ni jambazi sugu mwisho kabisa ni freemason!.. achananae ipo siku atakufanyia wewe hiyo kazi maalum!.. kama ni jambazi atakukatakata akunyonye damu!! Kimbia haraka sana!
Mchawi aagi akienda kazini,ufreemasoni ni Siri yake, jambazi aui mtu asiye na pesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…