Naombeni mawazo yenu kwa adhabu anayo staili Mwanamke msaliti iwe fundisho

Naombeni mawazo yenu kwa adhabu anayo staili Mwanamke msaliti iwe fundisho

Hata hivo mshukuru alikuvumilia miaka 8 unaichakaza mbususu bila posa wala mahari huyo ni mvumilivu, halafu wewe hiyo pesa inayokuuma huku ulikua bado mwanafunzi ni ipi au ulizopata za matumizi ndio hizohizo ulikua unampa kidogo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pesa inayokuuma huku ulikuwa bado mwanafunzi ni ipi[emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sikatai, ila naitaji nimpe suprise ya jambo mkuu kwa upande wangu sijawahi msaliti kabisa, nahitaji kumpa zawadi yake
Haina haja ya kuhangaika kulipa kisasi sababu ya usaliti, labda kama umemfuma kitandani live kwakeli mwache, ila kama umesoma meseji za simu hizo zinatokea kwa wengi kimya kimya ,cha msingi ungejipima wapi kuna udhaifu uboreshe ukiona moyo hautaki tafuta mchumba bikra uoe maana ndo atakuwa hana wa kukusaliti nae kwa kipindi flani mpaka apate mashoga wa kumjaza sumu za kutafuta madanga.
 
miaka 8 unamla tu.....we ni hatari sana....umewekeza kwake sababu ni KITEGA UCHUMI? acha hizo dogo....jifunze na NYETO...no investiment needed..
 
Habari za asubuhi wakuu, poleni na pilikapilika na kutafuta liziki ya hapa na pale, sitaki kuongea mengi naomba nieleze kwa ufupi sana na naamini kwa walio pitia kadhia kama yangu watakuwa wanaelewa, nimekuwa kwenye mapenzi na binti kwa miaka 8 (nilianza nae mahusiano nikiwa o-level, advance, chuo, na baada ya kuingia kazini baada ya masomo nikaanza taratibu za kutaka kumuoa). na nia na madhumuni yangu nilitaka kumuoa mwaka huu huu. uyu binti nimesha poteza pesa, muda na ata kuatalisha maisha yangu kwaajili yake,

uyu binti nilimkamata na ushaidi usio na shaka kuwa anatoka na mtu mwingine (ninaposema usio na shaka namaanisha sijamsingizia mungu shaidi), cha ajabu akawa anajihami wala ajaangaika kuomba msamaa wowote ule (sijamaanisha kuwa aombe msamaa turudiane hapa, ni ule msamaa wa kuonyesha tu amekosa ingawaje kila mtu anaweza kuendelea na maisha yake) ndugu zangu siku ile ile nili-stop kuwasilina nae. sikuwahi kumtafuta kwenye maisha yangu yote (namaanisha tangu siku ya fumanizi), nikili ndugu zangu nime-inverst sana kwake yule dada nimepoteza sana muda wangu, sikuwahi kuwaza kuoa au kuwa na mwanamke mwingine ukiachana na yeye, amenisaliti amenionyesha kiburi.

nina cha kumlipa uyu bi-dada, nimekaa nimetafakari sana kuhusu uyu dada kuna kitu anastahili akipate, kalma is bitch, kuna maneno wanasema "move on na uendelee na maisha yako wanawake wapo wengi" ni kweli ila kwangu nahisi uyu bi-dada kuna kitu anastahili nimuachie ili asije nisahau kwenye maisha yake, nae pia ajifunze kitu hapa ulimwenguni, naombeni ushauri wenu wakuu kipi nimpatie ili iwe kumbukumbu pekee ambayo itabaki kwenye maisha yake yote.

Nilisha mwambia mapema sana kuwa awe makini asije akajaribu kuni cheat kama anaona hana malengo na mimi aondoke mapema tu kwenye maisha yangu (ilikuwa mwaka wa 1, 2,3... kwenye mahusino yetu).
Sipendi kumpotezea mtu muda kama sina malengo naye, ila ili la mimi kupotezewa muda nahisi limeniuma mnoo, kupoteza gharama zangu kwake limeniuma mnoo, binti kunidharau limenisikitisha sana.

NOTE: KUAMBIWA MOVE ON, UKIACHA ACHIKA, WANAWAKE WAPO WENGI AYO YOTE NAYATAMBUA ILA KWENYE ILI NAITAJI KUPATA KITU CHA KU-APPLY KWA UYU BI DADA, ILI UKO ATAKAPO KWENDA AWE NA ADABU.

Kuna mdau nilisoma uzi wake unasema: Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Uyo mdau nilielewa kwanini alifanya ivyo, kuna ile feeling naipata kwa maumivu alio achiwa moyoni, nami naitaji kufanya kitu, najua wadau mliopo humu mtanipa mbinu mikakati mizuri ikawe fundisho kwa binti ambaye ni msaliti.

WATU WANAULIZA IWEJE NIMEKAA NAE MIAKA YOTE IYO NANE (8) UFAFANUZI WANGU NI HUU:

nimeanza nae mausiano tangu nikiwa kidato cha pili mkuu (2 years olvel), je ningemuoa baada ya kumaliza form four ili hali wote tulikuwa kwenye miangaiko ya kuisaka elimu, nikaenda advanvace (2 years), je ningemuoa wakati namaliza advance ambayo kwenye mahusino tulikuwa ni 4 years, jibu ni hapa, nimeenda chuo 3 years, jumla miaka 7 nipo nae, mwaka wa 8 nikaingia kwenye ajira na kutangaza nia ya kumuoa, hapo kosa langu ni lipi, maana naona nahukumiwa kwa kukaa nae miaka nane.
Achana naye hakupendi ndiyo maana hata hakukuomba msamaha. Kama uliacha kumtafta endelea hivyo hivyo
 
Shida ni kuwa bado unampenda huyo dada so hata ukimlipizia wewe ndo utaumia zaidi,
Ni ngumu ila mpotezee tu ukimya wako utamtesa zaidi
 
Shida ni kuwa bado unampenda huyo dada so hata ukimlipizia wewe ndo utaumia zaidi,
Ni ngumu ila mpotezee tu ukimya wako utamtesa zaidi
mambo ya ukimya wangu utamtesa ni mambo ambayo siitaji kuyasikia ata, nahitaji na yeye apite kwenye kimbunga pia
 
mambo ya ukimya wangu utamtesa ni mambo ambayo siitaji kuyasikia ata, nahitaji na yeye apite kwenye kimbunga pia
Na asipopita je?huon utateseka zaidi?ni rahisi kudhan unaweza muumiza mtu but that is not always the case,unaweza kuta huyo mwanamke wala hajawahi kukupenda bali alikua anatafuta unafuu wa maisha kupitia wewe so hata umfanyeje mtu wa hivi hutamuumiza as hana hisia nawe
 
Na asipopita je?huon utateseka zaidi?ni rahisi kudhan unaweza muumiza mtu but that is not always the case,unaweza kuta huyo mwanamke wala hajawahi kukupenda bali alikua anatafuta unafuu wa maisha kupitia wewe so hata umfanyeje mtu wa hivi hutamuumiza as hana hisia nawe
ishu hapa sio yeye kuwa na hisia na mimi au kutokuwa, the main issue hapa nataka kumpitisha kwenye tanuru lenye doruba kali, haijalishi ataumia kiasi gani i dont care, ila hapa dhumuni kuu ni yeye lazima apate malipo ya usaliti
 
Mapenziiii kaka tatizo uliweka mayai yako yote kwenye kapu moja sasa yamevunjika lazima uumie.
Hawa wanaadamu huwa hawana huruma utatenda mema weeee malipo ni maumivu. Next time usiwekeze sana hisia zako KWA mtu.... Muweke mtu kama kipoza mhemko tu then wekeeza kwenye maendeleo. Hutakaa uumie.
 
Mapenziiii kaka tatizo uliweka mayai yako yote kwenye kapu moja sasa yamevunjika lazima uumie.
Hawa wanaadamu huwa hawana huruma utatenda mema weeee malipo ni maumivu. Next time usiwekeze sana hisia zako KWA mtu.... Muweke mtu kama kipoza mhemko tu then wekeeza kwenye maendeleo. Hutakaa uumie.
nimekuelewa sana ndugu, ila kwa ili lazima nilipe, lazima nimalizane nae hapa hapa duniani
 
Mnaokomalia sijui miaka nane mna matatizo ya akili sijui… mshaambiwa toka form 2 mlitaka amuoe wakiwa form 3???? mkuu hilo lishakengeuka na kama hujapata mchongo bado bhasi kuanza upya sio ujinga..
 
ishu hapa sio yeye kuwa na hisia na mimi au kutokuwa, the main issue hapa nataka kumpitisha kwenye tanuru lenye doruba kali, haijalishi ataumia kiasi gani i dont care, ila hapa dhumuni kuu ni yeye lazima apate malipo ya usaliti
Fanya utakachoamua kufanya ila maumivu yatakurudia. Revenge ni kutafuta dem mwingine kisu zaidi yake. Utulie na maisha yako
 
Fanya utakachoamua kufanya ila maumivu yatakurudia. Revenge ni kutafuta dem mwingine kisu zaidi yake. Utulie na maisha yako
ntatafuta demu kisu zaidi yake, na nitatulia na maisha yangu, ila lazima joto la jiwe alionje lazima nimpitishe kwenye kipupwe taabu aijalishi ni ndongo au kubwa, kwa asilimia 100 moyo wangu utapata faraja mnoo
 
Mnaokomalia sijui miaka nane mna matatizo ya akili sijui… mshaambiwa toka form 2 mlitaka amuoe wakiwa form 3???? mkuu hilo lishakengeuka na kama hujapata mchongo bado bhasi kuanza upya sio ujinga..
asante kiongozi kwa kunielewa.
 
Habari za asubuhi wakuu, poleni na pilikapilika na kutafuta liziki ya hapa na pale, sitaki kuongea mengi naomba nieleze kwa ufupi sana na naamini kwa walio pitia kadhia kama yangu watakuwa wanaelewa, nimekuwa kwenye mapenzi na binti kwa miaka 8 (nilianza nae mahusiano nikiwa o-level, advance, chuo, na baada ya kuingia kazini baada ya masomo nikaanza taratibu za kutaka kumuoa). na nia na madhumuni yangu nilitaka kumuoa mwaka huu huu. uyu binti nimesha poteza pesa, muda na ata kuatalisha maisha yangu kwaajili yake,

uyu binti nilimkamata na ushaidi usio na shaka kuwa anatoka na mtu mwingine (ninaposema usio na shaka namaanisha sijamsingizia mungu shaidi), cha ajabu akawa anajihami wala ajaangaika kuomba msamaa wowote ule (sijamaanisha kuwa aombe msamaa turudiane hapa, ni ule msamaa wa kuonyesha tu amekosa ingawaje kila mtu anaweza kuendelea na maisha yake) ndugu zangu siku ile ile nili-stop kuwasilina nae. sikuwahi kumtafuta kwenye maisha yangu yote (namaanisha tangu siku ya fumanizi), nikili ndugu zangu nime-inverst sana kwake yule dada nimepoteza sana muda wangu, sikuwahi kuwaza kuoa au kuwa na mwanamke mwingine ukiachana na yeye, amenisaliti amenionyesha kiburi.

nina cha kumlipa uyu bi-dada, nimekaa nimetafakari sana kuhusu uyu dada kuna kitu anastahili akipate, kalma is bitch, kuna maneno wanasema "move on na uendelee na maisha yako wanawake wapo wengi" ni kweli ila kwangu nahisi uyu bi-dada kuna kitu anastahili nimuachie ili asije nisahau kwenye maisha yake, nae pia ajifunze kitu hapa ulimwenguni, naombeni ushauri wenu wakuu kipi nimpatie ili iwe kumbukumbu pekee ambayo itabaki kwenye maisha yake yote.

Nilisha mwambia mapema sana kuwa awe makini asije akajaribu kuni cheat kama anaona hana malengo na mimi aondoke mapema tu kwenye maisha yangu (ilikuwa mwaka wa 1, 2,3... kwenye mahusino yetu).
Sipendi kumpotezea mtu muda kama sina malengo naye, ila ili la mimi kupotezewa muda nahisi limeniuma mnoo, kupoteza gharama zangu kwake limeniuma mnoo, binti kunidharau limenisikitisha sana.

NOTE: KUAMBIWA MOVE ON, UKIACHA ACHIKA, WANAWAKE WAPO WENGI AYO YOTE NAYATAMBUA ILA KWENYE ILI NAITAJI KUPATA KITU CHA KU-APPLY KWA UYU BI DADA, ILI UKO ATAKAPO KWENDA AWE NA ADABU.

Kuna mdau nilisoma uzi wake unasema: Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Uyo mdau nilielewa kwanini alifanya ivyo, kuna ile feeling naipata kwa maumivu alio achiwa moyoni, nami naitaji kufanya kitu, najua wadau mliopo humu mtanipa mbinu mikakati mizuri ikawe fundisho kwa binti ambaye ni msaliti.

WATU WANAULIZA IWEJE NIMEKAA NAE MIAKA YOTE IYO NANE (8) UFAFANUZI WANGU NI HUU:

nimeanza nae mausiano tangu nikiwa kidato cha pili mkuu (2 years olvel), je ningemuoa baada ya kumaliza form four ili hali wote tulikuwa kwenye miangaiko ya kuisaka elimu, nikaenda advanvace (2 years), je ningemuoa wakati namaliza advance ambayo kwenye mahusino tulikuwa ni 4 years, jibu ni hapa, nimeenda chuo 3 years, jumla miaka 7 nipo nae, mwaka wa 8 nikaingia kwenye ajira na kutangaza nia ya kumuoa, hapo kosa langu ni lipi, maana naona nahukumiwa kwa kukaa nae miaka nane.
Msamehe
 
Habari za asubuhi wakuu, poleni na pilikapilika na kutafuta liziki ya hapa na pale, sitaki kuongea mengi naomba nieleze kwa ufupi sana na naamini kwa walio pitia kadhia kama yangu watakuwa wanaelewa, nimekuwa kwenye mapenzi na binti kwa miaka 8 (nilianza nae mahusiano nikiwa o-level, advance, chuo, na baada ya kuingia kazini baada ya masomo nikaanza taratibu za kutaka kumuoa). na nia na madhumuni yangu nilitaka kumuoa mwaka huu huu. uyu binti nimesha poteza pesa, muda na ata kuatalisha maisha yangu kwaajili yake,

uyu binti nilimkamata na ushaidi usio na shaka kuwa anatoka na mtu mwingine (ninaposema usio na shaka namaanisha sijamsingizia mungu shaidi), cha ajabu akawa anajihami wala ajaangaika kuomba msamaa wowote ule (sijamaanisha kuwa aombe msamaa turudiane hapa, ni ule msamaa wa kuonyesha tu amekosa ingawaje kila mtu anaweza kuendelea na maisha yake) ndugu zangu siku ile ile nili-stop kuwasilina nae. sikuwahi kumtafuta kwenye maisha yangu yote (namaanisha tangu siku ya fumanizi), nikili ndugu zangu nime-inverst sana kwake yule dada nimepoteza sana muda wangu, sikuwahi kuwaza kuoa au kuwa na mwanamke mwingine ukiachana na yeye, amenisaliti amenionyesha kiburi.

nina cha kumlipa uyu bi-dada, nimekaa nimetafakari sana kuhusu uyu dada kuna kitu anastahili akipate, kalma is bitch, kuna maneno wanasema "move on na uendelee na maisha yako wanawake wapo wengi" ni kweli ila kwangu nahisi uyu bi-dada kuna kitu anastahili nimuachie ili asije nisahau kwenye maisha yake, nae pia ajifunze kitu hapa ulimwenguni, naombeni ushauri wenu wakuu kipi nimpatie ili iwe kumbukumbu pekee ambayo itabaki kwenye maisha yake yote.

Nilisha mwambia mapema sana kuwa awe makini asije akajaribu kuni cheat kama anaona hana malengo na mimi aondoke mapema tu kwenye maisha yangu (ilikuwa mwaka wa 1, 2,3... kwenye mahusino yetu).
Sipendi kumpotezea mtu muda kama sina malengo naye, ila ili la mimi kupotezewa muda nahisi limeniuma mnoo, kupoteza gharama zangu kwake limeniuma mnoo, binti kunidharau limenisikitisha sana.

NOTE: KUAMBIWA MOVE ON, UKIACHA ACHIKA, WANAWAKE WAPO WENGI AYO YOTE NAYATAMBUA ILA KWENYE ILI NAITAJI KUPATA KITU CHA KU-APPLY KWA UYU BI DADA, ILI UKO ATAKAPO KWENDA AWE NA ADABU.

Kuna mdau nilisoma uzi wake unasema: Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Uyo mdau nilielewa kwanini alifanya ivyo, kuna ile feeling naipata kwa maumivu alio achiwa moyoni, nami naitaji kufanya kitu, najua wadau mliopo humu mtanipa mbinu mikakati mizuri ikawe fundisho kwa binti ambaye ni msaliti.

WATU WANAULIZA IWEJE NIMEKAA NAE MIAKA YOTE IYO NANE (8) UFAFANUZI WANGU NI HUU:

nimeanza nae mausiano tangu nikiwa kidato cha pili mkuu (2 years olvel), je ningemuoa baada ya kumaliza form four ili hali wote tulikuwa kwenye miangaiko ya kuisaka elimu, nikaenda advanvace (2 years), je ningemuoa wakati namaliza advance ambayo kwenye mahusino tulikuwa ni 4 years, jibu ni hapa, nimeenda chuo 3 years, jumla miaka 7 nipo nae, mwaka wa 8 nikaingia kwenye ajira na kutangaza nia ya kumuoa, hapo kosa langu ni lipi, maana naona nahukumiwa kwa kukaa nae miaka nane.
Acha uchawi mkuu we move on tu

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom