Naombeni msaada wa haraka, NMB wamenikalia kooni

chamsingi acha kazi...wao si wanalingia huo mshahala tuone kama wataendelea kuung'ang'ania
 
Hupendi kuulizwa kwanini ulitumia pesa zote [emoji15]

Basi na sisi hatutaki kusikiliza hadithi yako

Kamalizane na NMB maana wakati ubakopeshwa hukutushirikisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwajiri anapokudhamini, ukifukuzwa kazi inakuaje?

Au tuseme bongo hamna suala la kufukuzana kazi, okay, ukifa inakuaje? Mwajiri analipa deni?
Pension yako italipia boss..
 
Niwewe tu Mkuu ndio hujasoma vizuri mbona nimeeleweka kabisa
 
Na kumbuka nimewafuata tufanye negotiation wamegoma,
Nashukuru Mkuu kwasasa nipo naongea na mwanasheria hivi Kuna vielelezo kadhaa nimpe tukutane mahakamani sasa,
Maana Kama Mimi nilifanya makosa kutoa pesa yote na wao wanafanya Yale Yale kushikilia mshahara wote
 
Nisaidieni wakubwa maana nimewaomba walau wakate kidogo kidogo pia wanagoma na sasa wanashikilia mshahara wote mpaka deni liishe ni zaidi ya miezi 8 na wote tunajua maisha ya mfanyakazi bila salary. Nisaidieni nifanyeje.
Wewe si umekula pesa isio yako?unalia Nini?
Jikaze tu litaisha,tatizo mnakimbilia sana kujenga bila kupanga,haya kale hicho kibanda Basi,so umetumia pesa yote kujenga
 
Mshahara ni wako kwanini upate shida nenda CRDB fungua account andika barua kwenda kwa afisa utumishi wako kuwa unaomba kubadilisha account ya mshahara ipige chini hiyo account ya NMB weka ya CRDB ili muonyeshane makali kidogo wakiona pesa haiji watakutafuta mtakaa chini mtaseti ulipaje kwisha habari.
 
Credit bureau ipo Tanzania.
Na inafanya kazi.
Bank zote hawatoi mkopo mpaka wakucheck huko crb ndo process zinaanza.
Sounds good manake dah, zamani ilikuwa uhuni mtupu, na kuna issue moja sijui kama wameshaifanyia kazi! Hii issue ilinifanya niache kazi mahali nikiwa nimefanya chini ya miezi 2... ilikuwa ni Business Consultacy Firm, and I loved the job!

Baada ya jamaa kuanza kuniamini, siku ya siku nikaletewa project ya mteja aliyekuwa anataka mkopo wa 200M. Baada ya mteja kumtaka aniletee docs, akaleta zote including BOQ pamoja na NMB Statement ambayo baada ya kuifanyia valuation, jamaa alistahili kupata mkopo wa around 60M na sio hiyo 200M aliyotaka!

Nikapiga chini!

Heee! Saa chache baadae Bosi wa Kitengo si anakuja na forged bank statement yenye turnover ya kutosha inayompa the same jamaa sifa ya kukopa hata 300M!! Baada ya kuchunguza, nikagundua ndiyo michezo yao, na mbaya zaidi, lending banks zilikuwa wala hazifanyi due dilligence ya kutosha ku-verify bank statements zinazopelekwa kwao kutoka benki nyingine ni credible!!

Yaani walichokuwa wanafanya, wakiona Bank Stamp na "signature", tayari!!

Nikaona hapanifai... nikapiga chini mzigo, nikarudi zangu kijiweni!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…