Nani kakwambia Mshahara wao ni huo? Umewahi kujaribu kufanya hizo kazi?Mkuu kwanini usiende kujishikiza security companies kama GARDAWORLD, INSITE, G4S na nyinginezo mshahara kwa mwezi 370,000 hadi 430,000 kwa normal guard
Wewe jamaa ni muongo sana, usiwapoteze watu maboya watu wapo serious na maisha ikiwezekana hata kuzamia Canada US France na kwingine Ila simshauri mtu awe Mbwa kamweulichokiandika unakielewa lakini? Hizi sio local company hizo tajwa ni company zinazojiweza kabla ya ongezeko la mshahara normal guard alikua analipwa 250,000 hadi 300,000 baada ya ongezeko la mshahara 370,000 hadi 430,000 mimi nimefanya kazi kwenye kampuni mojawapo kati ya hizo tajwa
Quote Reply
Upo sahihi, simshauri mtu awe MbwaWengi kwenye haya makampuni wanalipa 120, au 150 kupata 300k au 400k ni bahati sana lkn pia bado ni pesa nzuri kwa kuanzia
Unaweza kua Mbwa wewe?Me mwenyewe nahitaji mzee kama una connection nipatie.0683850450
Ni zaidi nyoko sana ni kuna ukandamizaji huko Dunia nzima hakuna, alafu wanawachukulia Mbwa wote walionona ni maboya hawana akili km una ndugu yako kamwe usije ukamshauri aingie hukoDooh!!. Maisha nyoko sana hayaa.
Usije ukathubutu ukapeleka ndugu yako huko,Kwa mwezi?? Na je kuna benefit zozote nje ya hiyo pay?
Usije ukathubutu kuingia huko, utanikumbukaAsante nalifanyia kazi
Simshauri mtu aingie huko, vijana komaeni na mtaa mtaani kuna neema nyingi sana kuliko mnavyofikiriaHayo makampuni tajwa hapo unaweza kuingia hata kama hujapita jkt ilimradi uwe na cheti cha kuhitimu elimu ya secondary na wazamini wawili pia kuna short training ya darasani na vitendo (eneo la wazi) ukifuzu hiyo mitihani unapewa mkataba unavikwa gwanda unaingia kazini
sasa kama ulishindwa wewe unataka wote washindwe?Unaweza kua Mbwa wewe?
Sikio la kufa halisikii Dawa, peleka mtoto wako akawe Mbwasasa kama ulishindwa wewe unataka wote washindwe?
Zaa upeleke watoto wako huko, Mama Mbwasasa kama ulishindwa wewe unataka wote washindwe?
Zaa wako uwapeleke,sasa kama ulishindwa wewe unataka wote washindwe?
Hapanq ..nilikua nauliza tu mkuu, maana japo mi ni mjasiriamali wa kawaida tu ila nalipa vijana wangu zaid ya hiyo pesa plus breakfast n lunch. Sasa kwann kaz ngum kama hiyo na ya hatar malipo yanakua duni namna hiyo?Usije ukathubutu ukapeleka ndugu yako huko,
Ni nomaaNi zaidi nyoko sana ni kuna ukandamizaji huko Dunia nzima hakuna, alafu wanawachukulia Mbwa wote walionona ni maboya hawana akili km una ndugu yako kamwe usije ukamshauri aingie huko
Mpe kaz bas mkuuUsije ukathubutu kuingia huko, utanikumbuka
Una passportHabari za muda huu ndugu zangu.
Napenda kuandika ujumbe huu kwenu kuomba MSAADA wa mawazo, pesa ama kazi.
Mm Ni kijana wa kiume( msukuma), mhitimu wa chuo, course ya bachelor of science in taxation(TRA tax officer). Nmemaliza mwaka huu Bado Niko hapa dar kuzunguka kujikwamua kiuchumi.
HISTORIA YANGU YA UTAFUTAJI.
° wakati nikiwa primary, secondary nilikuwa nafanya kazi za ujenzi, kubeba mizigo kwenye magodown, na nying sana za kufanana na hizo(kufupisha story)ili kulea familia yangu huku nikiendelea na masomo yangu, ambapo mzee wangu alikuwa mgonjwa so jukumu la kulea familia ya watoto sita ikawa kwangu.
° hivyo hivyo mpaka chuo nimefanya the same thing. Wakati wa chuo maisha hayakuwa magumu sana maana nilikuwa napata boom na huku napata pesa zangu binafsi kupitia kazi km hizo nilizofanya awali,
° kwa Sasa yamekuwa magumu mno, kazi hzo Tena zmekuwa ngumu mtaani nafanya Ila pesa haitoshi, ukipata Leo unakaa wiki hata tatu hamna kazi, ndipo nikaamua kwenda kariakoo kubeba mizigo kwenye ofisi za kusafirisha mizigo kazi niliipenda maana napenda kufanya kazi hata bila kulala huwa sioni shida kabsa, lakini malipo yake sikuweza kulidhika nayo ndipo nikaamua kuachana nayo maana nafanya kazi kutwa nzima naunganisha usiku mpaka asubuhi KIFUPI naamkia kazini nalala kazini lakin unalipwa 25 na hapo tumepiga kazi, nimekunywa maji, kula chakula unajikuta unarudi na elf 14 nyumbani ambapo siku inayofuata hamuendi wanaenda kikosi kingne ambacho kilikuwa kimepumzika wakati nyie mnafanya kazi, ile elf14 haiongozeki Tena unaitumia hyo siku ambayo unapumzika, Sasa inaniwia ugumi sana mpaka nmeamua kuachana nayo.
°nasema kipato hakitoshi walau hata kidogo kwakuwa nimepanga, nyumbani siwez kurudi kwa Sababu hakuna Cha maana Cha kufanya hatuna mifugo, mashamba Wala asset yoyote.
° kwa kipindi hiki nasaidiwa na mwanadada ambaye Ni mpenzi wangu ambaye naye maisha ya nyumbani kwao hatutofautiani na kwetu hivyo anazijua shida ( nimesoma naye darasa moja hapa chuoni), Ila yeye aliwahi kupata kazi lakin licha ya kunipush kidogo anachopata Kuna dalili zote kabsa za kuachana maana amebadilika sana, Sasa ananiweka kwenye wakati mgumu ndiyo maana namm nahitaji nipate kitu Cha kufanya niondokane na mawazo yasiyo ya msingi,
° Cha msingi nahitaji kazi yoyote hata kazi ngumu, ama za ofisini zote hizo nitafanya (ambazo nitafanya kila siku) nitafanya kwa bidii zote hakika.
° kwa upande wangu nataman sana nifungue ofisi yangu Yan tatizo Sina mtaji
°naomba KUSAIDIWA kwa yeyote atakayewiwa (Ila huwa sifanyi kazi siku ya jumamosi) namba ya simu Ni 0764847468
NATANGULIZA SHUKRANI ZA DHATI
Hakuna meal allowanceHapanq ..nilikua nauliza tu mkuu, maana japo mi ni mjasiriamali wa kawaida tu ila nalipa vijana wangu zaid ya hiyo pesa plus breakfast n lunch. Sasa kwann kaz ngum kama hiyo na ya hatar malipo yanakua duni namna hiyo?
Nimefatilia michango mbalimbali ya wadau, lakini ngoja nikwambie kitu mtoa mada. Kwenye Aya maisha kabala ujafanya maamuzi angalia kwanza wewe mwenyewe unataka kufanya Nini. Kuna mchangiaji hapo juu ameongea Jambo zuri sana, ukiwa katika utafutaji usipende kutanguliza elimu katika Dunia hii, hivi unajua ni watu wangapi walioko mtaani na elimu kama Yako lakini hawana kazi?.Habari za muda huu ndugu zangu.
Napenda kuandika ujumbe huu kwenu kuomba MSAADA wa mawazo, pesa ama kazi.
Mm Ni kijana wa kiume( msukuma), mhitimu wa chuo, course ya bachelor of science in taxation(TRA tax officer). Nmemaliza mwaka huu Bado Niko hapa dar kuzunguka kujikwamua kiuchumi.
HISTORIA YANGU YA UTAFUTAJI.
° wakati nikiwa primary, secondary nilikuwa nafanya kazi za ujenzi, kubeba mizigo kwenye magodown, na nying sana za kufanana na hizo(kufupisha story)ili kulea familia yangu huku nikiendelea na masomo yangu, ambapo mzee wangu alikuwa mgonjwa so jukumu la kulea familia ya watoto sita ikawa kwangu.
° hivyo hivyo mpaka chuo nimefanya the same thing. Wakati wa chuo maisha hayakuwa magumu sana maana nilikuwa napata boom na huku napata pesa zangu binafsi kupitia kazi km hizo nilizofanya awali,
° kwa Sasa yamekuwa magumu mno, kazi hzo Tena zmekuwa ngumu mtaani nafanya Ila pesa haitoshi, ukipata Leo unakaa wiki hata tatu hamna kazi, ndipo nikaamua kwenda kariakoo kubeba mizigo kwenye ofisi za kusafirisha mizigo kazi niliipenda maana napenda kufanya kazi hata bila kulala huwa sioni shida kabsa, lakini malipo yake sikuweza kulidhika nayo ndipo nikaamua kuachana nayo maana nafanya kazi kutwa nzima naunganisha usiku mpaka asubuhi KIFUPI naamkia kazini nalala kazini lakin unalipwa 25 na hapo tumepiga kazi, nimekunywa maji, kula chakula unajikuta unarudi na elf 14 nyumbani ambapo siku inayofuata hamuendi wanaenda kikosi kingne ambacho kilikuwa kimepumzika wakati nyie mnafanya kazi, ile elf14 haiongozeki Tena unaitumia hyo siku ambayo unapumzika, Sasa inaniwia ugumi sana mpaka nmeamua kuachana nayo.
°nasema kipato hakitoshi walau hata kidogo kwakuwa nimepanga, nyumbani siwez kurudi kwa Sababu hakuna Cha maana Cha kufanya hatuna mifugo, mashamba Wala asset yoyote.
° kwa kipindi hiki nasaidiwa na mwanadada ambaye Ni mpenzi wangu ambaye naye maisha ya nyumbani kwao hatutofautiani na kwetu hivyo anazijua shida ( nimesoma naye darasa moja hapa chuoni), Ila yeye aliwahi kupata kazi lakin licha ya kunipush kidogo anachopata Kuna dalili zote kabsa za kuachana maana amebadilika sana, Sasa ananiweka kwenye wakati mgumu ndiyo maana namm nahitaji nipate kitu Cha kufanya niondokane na mawazo yasiyo ya msingi,
° Cha msingi nahitaji kazi yoyote hata kazi ngumu, ama za ofisini zote hizo nitafanya (ambazo nitafanya kila siku) nitafanya kwa bidii zote hakika.
° kwa upande wangu nataman sana nifungue ofisi yangu Yan tatizo Sina mtaji
°naomba KUSAIDIWA kwa yeyote atakayewiwa (Ila huwa sifanyi kazi siku ya jumamosi) namba ya simu Ni 0764847468
NATANGULIZA SHUKRANI ZA DHATI
Hapana sinaUna passport