Naombeni msaada wenu kimawazo, pesa ama kazi ndugu zangu

Naombeni msaada wenu kimawazo, pesa ama kazi ndugu zangu

Mkuu umewahi kuomba kwenye hizi kampuni za auditing? Au kampuni zingine related?

USHAURI WANGU
Kama unaweza pata mtaji hata wa 100k jaribu shughuli hizi ndogo ndogo ndogo wanaita shughuli za kijasiliamali uweze kwanza kupata ela ya kula na kulipa kodi, kwa sasa ondoa kabisaaaaa mawazo yakumiliki biashara kubwa kubwa target yako kwanza ni kuwa na uhakika wakula na kulipa kodi na vocha yakuingia JF kusoma nondo za GT,

Way back niliwahi kuishi kwa shughuli hizi na wateja unawapata mtandaoni trust me hukosi 10k faida kwa siku bila kuchoka
At least nimekutana na comment yenye akili
 
Unafanya kazi kwa siku unalipwa elfu 25, unaondoa matumizi na kubaki na elfu 14 lakini bado unaona haitoshi? Unaujua mshahara wa mwalimu kweli?

Una masihara na maisha wewe, unataka maisha mazuri ilhali kipato chako ni cha chini. Watu hampendi kuambiwa ukweli, najua hautonielewa.
 
Unafanya kazi kwa siku unalipwa elfu 25, unaondoa matumizi na kubaki na elfu 14 lakini bado unaona haitoshi? Unaujua mshahara wa mwalimu kweli?

Una masihara na maisha wewe, unataka maisha magumu ilhali kipato chako ni cha chini. Watu hampendi kuambiwa ukweli, najua hautonielewa.
Before nilitaka nimwambie ivoivo sema kwa anavoonekana hafanyi kazi apate mtaji ajitegemee anataka kazi yenye mshahara mkubwa aishi nao

Mfano kuna mtu kamwambia atafute security guard kwa mwezi 400k kakubali lakn 25k kwa siku anaona ndogo wakati 25,000×30 ni 750k kuna tatizo mahari kwenye hustle zake
 
Unajibu shortcut elezea unaagiza wapi Ali Express au Ali Baba? TOA maelezo ya kutosha umfungue jamaa apate ramani umekaa unajibu mstari mmoja wakati kule juu unanipiga unajaza paragraph mbili mpaka 3, unaagiza kwa nani unamtuma mtu una mtu una nini unafanyaje mzigo ukufikie au unaenda kuchukua kwa wachina wa K/koo? TOA ramani
Broh unatumia nguvu nyingi sana kujua biashara ninayofanya kwa kutumia wazo la mtoa uzi kamwe utabaki dilemma 🤣
We badala ya kumshauri mtoa mada nini cha kufanya unaanza kuwapiga vijembe wachangiaji we jamaa bure kabisa
 
Broh unatumia nguvu nyingi sana kujua biashara ninayofanya kwa kutumia wazo la mtoa uzi kamwe utabaki dilemma 🤣
We badala ya kumshauri mtoa mada nini cha kufanya unaanza kuwapiga vijembe wachangiaji we jamaa bure kabisa
Acha uchoyo
 
Hata idea ya biashara uliyonayo n mtaji Tosha wengine Wana mitaji lakini hawajui cha kufanya
 
Unafanya kazi kwa siku unalipwa elfu 25, unaondoa matumizi na kubaki na elfu 14 lakini bado unaona haitoshi? Unaujua mshahara wa mwalimu kweli?

Una masihara na maisha wewe, unataka maisha magumu ilhali kipato chako ni cha chini. Watu hampendi kuambiwa ukweli, najua hautonielewa.
Kasema iyo ela anaweza akaipata leo, halafu wiki kadhaa mbelee akawa hana uhakika wa kupata kazi ya kumuingizia hyo pesa, so hapo mambo lazma yataendelea kua magumu tuu
 
Before nilitaka nimwambie ivoivo sema kwa anavoonekana hafanyi kazi apate mtaji ajitegemee anataka kazi yenye mshahara mkubwa aishi nao

Mfano kuna mtu kamwambia atafute security guard kwa mwezi 400k kakubali lakn 25k kwa siku anaona ndogo wakati 25,000×30 ni 750k kuna tatizo mahari kwenye hustle zake
Iyo kazi inayompa iyo pesa ni Leo, then wiki kadhaa mbelee haipatii iyo kazi, so sio kama hivyo ulivyoandika hapo mkuu
 
Before nilitaka nimwambie ivoivo sema kwa anavoonekana hafanyi kazi apate mtaji ajitegemee anataka kazi yenye mshahara mkubwa aishi nao

Mfano kuna mtu kamwambia atafute security guard kwa mwezi 400k kakubali lakn 25k kwa siku anaona ndogo wakati 25,000×30 ni 750k kuna tatizo mahari kwenye hustle zake
Hata yeye mleta mada ana matatizo mkuu.
 
Sina stress Mzee hapa nipo napigwa na kiyoyozi,

Pole
kwanini una dharau watu wanaotaka kufanya kazi za ulinzi wakati wewe huwezi au hutaki kuwasaidia? Mtu kafanya hiyo kazi then kaacha now anafanya ishu ingine..unahoji kwanini aliacha? (hapa reasoning capacity yako inaleta ukakasi)
 
Hata yeye mleta mada ana matatizo mkuu.
Matatizo yako wapi, sema huwez kuzuia watu kukuchallenge ningepata hyo 25k kila siku nisingekuwa na haja ya kulalamikia malipo hayo Ila unapata hyo alaf unakaa muda Tena kuipata hyo au ambacho hukuelewa na kunifanya nionekane nna matatizo Ni nn, weka wazi matatizo hayo pengne ndo MSAADA wangu niliokuwa nausubir
 
Matatizo yako wapi, sema huwez kuzuia watu kukuchallenge ningepata hyo 25k kila siku nisingekuwa na haja ya kulalamikia malipo hayo Ila unapata hyo alaf unakaa muda Tena kuipata hyo au ambacho hukuelewa na kunifanya nionekane nna matatizo Ni nn, weka wazi matatizo hayo pengne ndo MSAADA wangu niliokuwa nausubir
Tagambaga lulu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nimefatilia michango mbalimbali ya wadau, lakini ngoja nikwambie kitu mtoa mada. Kwenye Aya maisha kabala ujafanya maamuzi angalia kwanza wewe mwenyewe unataka kufanya Nini. Kuna mchangiaji hapo juu ameongea Jambo zuri sana, ukiwa katika utafutaji usipende kutanguliza elimu katika Dunia hii, hivi unajua ni watu wangapi walioko mtaani na elimu kama Yako lakini hawana kazi?.

Fata ushauri wa mdau hapo juu, Nenda kwenye kama Gad world, SGA, G4S, usiende kwenye kampuni tofauti na hizo nilizokutajia, Peleka maombi endapo utachaguliwa kujiunga. Ukiwa katika hatua za mwisho kupangiwa sites mwambie kiongozi akupeleke Zanzibar Kuna siku utanishukuru, ukisikia kiongozi anasema wanaotaka kwenda zanzbar mwambie akuweke kwenye list.Ukipata nafasi ya kwenda Zanzbar ni poa sana maana kule site nyingi ni mahotel makubwa ya kitalii, kwaiyo unakaa Camp Bure, unakula Hotel NK. Pesa Yako unatunza, ukipambana mwaka mzima umepata mtaji. Wanao kwambia siju mshahara ni 120000. ni ungo kabisa, Zanzbar milinzi wa G4S, Gad world SGA analipwa Hadi laki 4 ukubali ukatae Mimi nilipita uko.

Kingine ni kwanini ukomalie Dsm tu?, Ni kwanini vijana wengi mkmaliza vyuo hamtaki kutoka kwenye Hilo jiji? Kama vipi badili mazingira njoo hata mikoani ucheki furusa nyingine, Fact ni kwamba jiji la Dar limeshabana Yani kutoboa ni kipengele kikubwa. Walio nacho wataendelea kuwa nacho na asie nacho anabaki patupu. Badili mtazamo Rudi Hata mkoa upambane. Kwani dar pekee ndo Kuna maisha tu? Yangu ni hayo ukiambiwa kitu changanywa na zako. Maisha hayana huruma, sio Kila mtu anakushauri hapa ana huruma na Wewe, mwambie basi hata uende kwakwe ukale ugali kama atakubari.
Yes yes yes
 
Unafanya kazi kwa siku unalipwa elfu 25, unaondoa matumizi na kubaki na elfu 14 lakini bado unaona haitoshi? Unaujua mshahara wa mwalimu kweli?

Una masihara na maisha wewe, unataka maisha mazuri ilhali kipato chako ni cha chini. Watu hampendi kuambiwa ukweli, najua hautonielewa.
Kwa kazi ya ukuli na mda anao utumia iyo ni hela ndogo
 
Unatumia 11,000 na unajua una hali ngumu?

Aisee maisha hayajakubana vizuri..

Karibu mtaani
 
Nyie wasukuma Magufuli aliwapa ajira sana, tena alikuwa na project maalum ya kuhakikisha wasukuma wote mnakuwa mnarun Tz, Asante Mungu,
Uzi wako nimesoma title mana title Inahusisha yaliyomo.
 
Nyie wasukuma Magufuli aliwapa ajira sana, tena alikuwa na project maalum ya kuhakikisha wasukuma wote mnakuwa mnarun Tz, Asante Mungu,
Uzi wako nimesoma title mana title Inahusisha yaliyomo.
MSAADA
 
Nyie wasukuma Magufuli aliwapa ajira sana, tena alikuwa na project maalum ya kuhakikisha wasukuma wote mnakuwa mnarun Tz, Asante Mungu,
Uzi wako nimesoma title mana title Inahusisha yaliyomo.
Msaada plz
 
Back
Top Bottom