username required
JF-Expert Member
- Apr 28, 2024
- 343
- 1,069
Inategemea .Unakopesha?
Uzi bila picha, ni chai!!Naombeni sapoti yenu.
Nimefungua pub yangu kinyerezi mahakamani (mnadani) inaitwa Run way pub.
Kwa Mawasiliano ma ushauri , ninaomba mnitafute 0757720362.
Asanteni
Pia karibuni sana.
Misambwanda ipoLocal beer ni Tsh elfu 2 tu.
Ukisema tu ni member wa JF inatosha, sio lazima useme username yako.Tukija tujitambulisheje na je tutapata punguzo?
Asante. Pia karibu sana.Hongera all the best.
International beer shngapLocal beer ni Tsh elfu 2 tu.
Dooh kusema kweli kwangu mm itakuwa changamotoHaipo.
Kikubwa ninachoomba ni sapoti yako.
Sawa nitalizangitia hilo .aiseh hongera sana zingatia kuweka pisi kali hili tupate huduma safi na huduma safi
Wahudumu wakoje?Local beer ni Tsh elfu 2 tu.
Kama ipi?International beer shngap
Wapo vizuri.Wahudumu wakoje?