Naombeni ufafanuzi wa hii picha

Naombeni ufafanuzi wa hii picha

Kuluwani inayosema jua linazama kwenye matope!?
Naam, na hiyo aya ni hii hapa:

Qur'an 18:86. Hata alipo fika machwea-jua aliliona linatua katika checmchem yenye matope meusi. Na hapo akawakuta watu. Tukasema: Ewe Dhul-Qarnaini! Ama uwaadhibu au watwae kwa wema. 86


Ili kukufundisha hiyo aya upate kuielewa, unafahamu maana ya neno "lexicon" kwa Kiswahili? Mimi silifahamu kwa Kiswahili lakini ntakufahamisha utanielewa tu; Wakati nasikiliza mpira nasikia, hatari pale lakini Kagere nanlambishwa vumbi, anakata mtama wa kimo cha mbuzi, mpira unakuwa mrefu unatoka nje...".

Umeelewa nini hapo?

Nnauhakika sasa umeelewa ni nini maana ya "lexicons", kma hujaelewa sema tu, ntakufahamisha.

Au ile "lexicon" ya Yesu kwenye biblia, Ya boriti na banzi la macho umeielewa vipi?


Upo hapo ulipo kijana? Usiwe na shaka ukisikia "jua limezama matopeni" hiyo ni "lexicon", sasa ukitaka kuielewa kakisome kisa kwenye hiyo reference niliyokuwekea uione raha yake, utaelewa tu, kama hujaelewa rudi hapa nikuendelezee darsa.
 
Mimi muislamu ,nataka battle lolote lile kama unataka elimu na hata kejeli yaani maudhi nipo fresh.
Ndio nimekwambia hivi nichagulie Muislam mmoja tu nipe battle nitakaa kwenye red corner yeye achukue blue corner au umejichagua wewe tuanzishe battle mpaka kupambazuke no sleep
 
Ndio nimekwambia hivi nichagulie Muislam mmoja tu nipe battle nitakaa kwenye red corner yeye achukue blue corner au umejichagua wewe tuanzishe battle mpaka kupambazuke no sleep
Nimejichangua mimi nipo tayar ,sijawahi kushindwa ndo maana tupime ubavu ...Niko fresh vyote hata ukitaka kejeli na mambo ya kuudhi fresh tu .!!
 
We bwana ni MPUMBAVU na umejawa na chuki na dini ya kiislam tena zisizo na sababu. Kabla huja-criticize uma au dini na imani ya watu kaa chini usome, uchimbue na upekue kisha ndo uje na hitimisho.

Kwa taarifa yako sasa THE BIGGEST & SAD SECRET BEHIND ADVANCED TECHNOLOGY AND EVERY INNOVATION UNAYOIONA IPO KWENYE QURAN NA WAGUNDUZI NA WAANZILISHI WA YOTE HAYO WALIKUWA NI WAISLAM..., WALIISHIA KUUWAWA! HISTORIA ZIKAFICHWA NA KUGEUZWA WAKAONEKANA WAZUNGU NDO WAMEFANYA HAYO. KABLA HUJABISHANA NA KULETA UPUMBAVU WAKO HAPA KASOME, UPEKUE, UCHIMBUE!
Mkuu, ofcourse kwenye sayansi kuna miamba kadhaa ya arabuni ambayo ilikua vizuri, ila point ya kuuwawa na historia kufichwa mm binafsi hua naiona kama advantage kwa aliyefanya hivo kwa sababu ni uwezo ametumia so nayenyewe tuwape hongera zao tu kama kupambana kuweka historia yao basi wameweza
 
We nenda kajiuze huko na kaombeombe hela kwenye PM za watu, kauze biryan hiyo huko... humu hapakufai
Naona hoja imekushinda, umeliona handsome la Kiarabu lipo kwenye space shuttle linasoma Qur'an, linswali na lipo kwenye swaum, hiyo ni mwaka 1985.

Sasa waone vijana huyu wa sasa:

Hapa wa kiwa na mmiliki wa DP World:

1693337791006.png


Na hapa mmojawao akiwa kituo cha anga za juu (space station):

1693337919554.png



DP World hoyee.
 
Elimu yote kubwa ya sasa hivi chanzo chake ni Uislam kwa ushahidi kabisa na tafiti.

Hawa watu hawasomi wanadanganyana vichochoroni ivijijini huko. Hivi kanisani watafundishwa nini zaidi ya kumuabudu mzungu?
Statistics za elimu hapa tanzania zinakinzana na unachosema kwa hapa kwetu
 
Statistics za elimu hapa tanzania zinakinzana na unachosema kwa hapa kwetu
Hapa bongo 😅😅elimu zipo nyingi na tunasoma mabaki ya mzungu ,kuna mpaka international school na English medium kwa weny pesa .

Bahati mbaya wasomi wetu mafanikio ni kufanya kazi ulaya na NGO's za kimataifa ila sio kuleta tija na ugunduzi .

Kielimu hata keny wapo mbali sana ...
 
Hapa bongo 😅😅elimu zipo nyingi na tunasoma mabaki ya mzungu ,kuna mpaka international school na English medium kwa weny pesa .

Bahati mbaya wasomi wetu mafanikio ni kufanya kazi ulaya na NGO's za kimataifa ila sio kuleta tija na ugunduzi .

Kielimu hata keny wapo mbali sana ...
Unajua haya mambo mwisho wa siku tunaishia kushindanisha mzungu na muarabu sisi tunajisahau
 
Unajua haya mambo mwisho wa siku tunaishia kushindanisha mzungu na muarabu sisi tunajisahau
😅😅Mfano hapo yaani watu wanajitoa akili mtu anajikuta mambo ya mzungu au mwarabu ni yake.

Analeta mada kwa kusifia ila sisi waafrica wote wanatujua kama nyani ,kama maendeleo wenzetu wana mengi sana.

Na sisi eliku yetu inafuata ya mzungu yale yote mazuri ya mzungu, hata kama tungetawaliwa na mchina tungefuata ya tamaduni za mchina.
 
Statistics za elimu hapa tanzania zinakinzana na unachosema kwa hapa kwetu
Ndugu yangu dhulma tuliyofanyiwa Waislam Tanganyika, mpaka wazee wetu wakajitolea kwa hali na mali kuudai uhuru wakati wakristo walikuwa kanisani na wazungu wakiombea uhuru usipatikane, mpaka tulipoupata tukajuwa sasa mambo mazuri, tukasalitiwa "live". Kilio chetu Tanzania hakina mfano.

Wala usitusemeshe mengi, wewe chukulia kuwa Waislam tu wajinga tu.
 
Ndugu yangu dhulma tuliyofanyiwa Waislam Tanganyika, mpaka wazee wetu wakajitolea kwa hali na mali kuudai uhuru wakati wakristo walikuwa kanisani na wazungu wakiombea uhuru usipatikane, mpaka tulipoupata tukajuwa sasa mambo mazuri, tukasalitiwa "live". Kilio chetu Tanzania hakina mfano.

Wala usitusemeshe mengi, wewe chukulia kuwa Waislam tu wajinga tu.
Dhulma ni kitu kilichopita, tusikizingatie sana maana hata wadhulumati they make it na ndo mpaka tunasema wale wamebadilisha historia na vile na vile..


Neno wajinga sijalitumia, lakini madhari umelitaja acha nilichukue Waislamu (wa Tanzania) muda wa kuamka ndo huu ushapotea muda mwingi sana kwenye kupuuza dunia, ni jambo la ajabu kupuuza dunia wakati tunaishi duniani, umetaja mambo ya uhuru hakika wale watu walikua na uelewa (unaweza ita wameelimika)

Tofauti na asilimia nyingi iliyopo kwa sasa kikubwa ni kuongeza maarifa na mapambano (sio ngumi)

Naweka nukuu ya mufti ya hivi karibuni, alitoa maneno yenye busara na mntiki kubwa sana


View: https://twitter.com/ufmradiotz/status/1695784094284529924?s=20
 
😅😅Mfano hapo yaani watu wanajitoa akili mtu anajikuta mambo ya mzungu au mwarabu ni yake.

Analeta mada kwa kusifia ila sisi waafrica wote wanatujua kama nyani ,kama maendeleo wenzetu wana mengi sana.

Na sisi eliku yetu inafuata ya mzungu yale yote mazuri ya mzungu, hata kama tungetawaliwa na mchina tungefuata ya tamaduni za mchina.
Japan angeshinda bita ya pili ile hadi sasa na imani angekua kashatufikia tupiga kijapani muda huu
 
Dhulma ni kitu kilichopita, tusikizingatie sana maana hata wadhulumati they make it na ndo mpaka tunasema wale wamebadilisha historia na vile na vile..


Neno wajinga sijalitumia, lakini madhari umelitaja acha nilichukue Waislamu (wa Tanzania) muda wa kuamka ndo huu ushapotea muda mwingi sana kwenye kupuuza dunia, ni jambo la ajabu kupuuza dunia wakati tunaishi duniani, umetaja mambo ya uhuru hakika wale watu walikua na uelewa (unaweza ita wameelimika)

Tofauti na asilimia nyingi iliyopo kwa sasa kikubwa ni kuongeza maarifa na mapambano (sio ngumi)

Naweka nukuu ya mufti ya hivi karibuni, alitoa maneno yenye busara na mntiki kubwa sana


View: https://twitter.com/ufmradiotz/status/1695784094284529924?s=20

Wewe sema usemayo, huyajuwi. Lakini all in all AlhamduliLlah tunafanya vyema sana. Unaongelea bakwata? kweli hautujuwi Waislam wa Tanzania.

Chama kilichoasisiwa na mtu wa kanisa katoliki unakiita cha Kiislam au cha Waislam? wengi tunaijuwa lakini hatuitambui. Jisomee:

 
Naam, na hiyo aya ni hii hapa:

Qur'an 18:86. Hata alipo fika machwea-jua aliliona linatua katika checmchem yenye matope meusi. Na hapo akawakuta watu. Tukasema: Ewe Dhul-Qarnaini! Ama uwaadhibu au watwae kwa wema. 86


Ili kukufundisha hiyo aya upate kuielewa, unafahamu maana ya neno "lexicon" kwa Kiswahili? Mimi silifahamu kwa Kiswahili lakini ntakufahamisha utanielewa tu; Wakati nasikiliza mpira nasikia, hatari pale lakini Kagere nanlambishwa vumbi, anakata mtama wa kimo cha mbuzi, mpira unakuwa mrefu unatoka nje...".

Umeelewa nini hapo?

Nnauhakika sasa umeelewa ni nini maana ya "lexicons", kma hujaelewa sema tu, ntakufahamisha.

Au ile "lexicon" ya Yesu kwenye biblia, Ya boriti na banzi la macho umeielewa vipi?


Upo hapo ulipo kijana? Usiwe na shaka ukisikia "jua limezama matopeni" hiyo ni "lexicon", sasa ukitaka kuielewa kakisome kisa kwenye hiyo reference niliyokuwekea uione raha yake, utaelewa tu, kama hujaelewa rudi hapa nikuendelezee darsa.
Watu, hawajui vitabu hufumba.
 
Back
Top Bottom