Naombeni ushauri kabla hili halijaniua

Mh!
 
potezea kaka kuchapiwa ni siri ya ndani walishasemaga wazee wa zamani.

Sahau hayo ni mapito tu focus na mambo ya maana, muonye mkeo aache mambo ya kijinga yanayo vunja heshima ya ndoa yenu.
Hongera sana kwa hii busara Mkuu,kuchapiwa kupo tu.
 
Labda humkunagi vzr, huyo mkune nyuma, mbele, alivopata chansi kaona akakunwe vzr, nenda umpakie mkongo umkune sawasawa geuza na nyuma Kuna mpaka umtie majeraha pande zote, afu uone kama atakuja wahi kukusaliti Tena. Hapo ndo atajua Kuna mwanaume ndani

Sasa wewe legea uone wenzako ndo watamkuna mbele nyuma mpaka wamtie majeraha.
 
Mleta mada ishi hapa.
 
Jamaa anayemtongoza, akaongozana naye kwenda kwake, ila hawakufanya mapenzi....
Nimecheka sana
 
Huyo mkeo si kweli kwamba hakuliwa, jamaa amepiga siku nzima japo unaonekana ni kama umeelewa utetezi wa mkeo kuwa alipotea alipokuwa anaenda msibani ndo akakutana na jamaa.

Hiyo alidhamiria kabisa kwenda kupakatwa chukua tu maamuzi unayoona yatakupa furaha ya moyo pia jamaa aliyekutonya mtunzie siri usithubutu kumtaja hata kama utakuwa umefurahishwa vipi na mkeo. Ni watu wachache sana wanaoweza kukupa siri kama hizo so muhimu ni kumlinda sana jamaa juu ya kujulikana na mkeo.
 
Funga duka tafuta mfanya kazi pisi Kali kumzidi mkeo mwajiri dukani halafu punguza kuwepo home sana, safari saa 12 asubui kurudi saa nne usiku. usiombe mbususu yake akiikupa Kwa lazima tumia Kinga... Tumia kanunu ya "Nyoka akiingia shimoni mwaga maji ya moto"
 
Kama umekubali hàjatombwa ubàtafuta nini tena humu jf?
 
Jambo zito sana hili
Fimbo ya mbali haiui nyoka,
Kama unaona linakulemea shirikisha watu wa karibu zaidi kwako mfano wazazi, wakwe, ndugu na viongozi wa dini yako wa karibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…