Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo sawaYan mim kaka sio kwamba nadharau hiyo laki mbili hapana ila nikaona maisha yang hayawez kuendelea kwa laki mbil hizo ndo maana nikajiongeza kivingne
Umeona mtoto wa hom kabisa...Tena kingani pale ndo hom kabisa
😂😂kashesheUnakuta mtu ana cheti Cha diploma afu anataka alipwe milion1😁😁..hii ni maajabu
Kumbe na wewe umepiga hii medical lab...Mi mwenyewe mbeya hio lab alio soma yeye Mimi nimesoma
😂😂😂Danganyika uache chuo... Danganyika bodaboda wanaingiza pesa kuliko mtumish wa umma... Danganyika utakuja kufa vbaya wew
😁😁 Bro ki ujumla ni kupambana😂😂kasheshe
Kila kitu nia malengo na subra unajua so kila anaesoma atapata kaz na so kila aliekuwa na kaz amesoma maisha ni vile mwenyw utakavyoamua kuishi we km umeamua kusomea kombi hyo basi ipoganie hyo hyo ujui ni wap utakuja kutoboa bado ni kijana na umri wako unastaili kabisa uwo ishu kubwa cheza na akil yako pambania unachokitaj so kitu cha tofaut na hko ambo kinawrz kikakupeleka njia ambayo si sahihMimi kijana umri miaka 22,
Nipo chuo mwaka wa pili, nasoma shahada ya kwanza ya ualimu sayansi biology na geography.
Naomba ushauri kwa umri huu, na Hali ya ajira ya taifa letu ni fanye mambo yapi na nizingatie nini ili niweze kufika hatima bora ya maisha yangu na familia Yangu kwa ujumla.
Karibuni waku
Mambo ya kusoma sa hiv yamekua kama kamariKumbe na wewe umepiga hii medical lab...
Na si wa biotechnology and medical y je tusemeje ahahahaha nyie maisha haya
Biotechnology sio unyama kabisa..mi naangalia namna naweza kwenda ughaibuni bongo tunarogwa sanaKumbe na wewe umepiga hii medical lab...
Na si wa biotechnology and medical y je tusemeje ahahahaha nyie maisha haya
Kwa njiaa yoyote mnaona chiefgodlov kapita zake njia ya mkato sa hiv anasumbua😁😁 Bro ki ujumla ni kupambana
Mwanangu njoo pm unipe namba zako nyie wanyumban kabisaBiotechnology sio unyama kabisa..mi naangalia namna naweza kwenda ughaibuni bongo tunarogwa sana
Kubet duuh...Mambo ya kusoma sa hiv yamekua kama kamari
Ndio hivo mzee, Chiefgodlove anazingua japo anaongea ukweliKwa njiaa yoyote mnaona chiefgodlov kapita zake njia ya mkato sa hiv anasumbua
Ndio alaf sio mchawi kama watu wanavosemaNdio hivo mzee, Chiefgodlove anazingua japo anaongea ukweli
NAKAZIA,soma tena hii commentUsiendekeze mapenzi
Sio mchawi ila anajua kacheza na bongo za wabongo...wale ni wazee WA madili Makali,wengi wanajificha kwenye kichaka Cha ufreemasonNdio alaf sio mchawi kama watu wanavosema
Biotechnology sio unyama kabisa..mi naangalia namna naweza kwenda ughaibuni bongo tunarogwa sana
eKubet duuh...
Dating sites ndo kila kitu ma credit card ma coding na maishu mengine wanayo fanya wapopo wenzetuSio mchawi ila anajua kacheza na bongo za wabongo...wale ni wazee WA madili Makali,wengi wanajificha kwenye kichaka Cha ufreemason