Hamza Nsiha
JF-Expert Member
- Jul 25, 2022
- 221
- 197
- Thread starter
- #21
DaaaaaaahHakuna mwenye jibu zaidi yako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DaaaaaaahHakuna mwenye jibu zaidi yako.
Google naona itanipa ushaur wa kizungu
Thanks nadhani hili nalo nenoTafuta mwanamke ambae unaweza kuishi nae na yeye anaweza kuishi na wew.
Aiseee kweli mambo ni magumuuuMkuu zingatia hilo
Kama anajua nyimbo nyingi za bongofleva afu wewe hujui basi acha.
Kama haendi kanisani au msikitini bila fulani acha.
Karibu kwenye chama kubwa.
Hawa wanawake wa sasa sidhan kama wataweza kukaa miaka mingi ktk uchumbaMwangalie Ronaldo na wengine, inatakiwa mkae kwenye uchumba muda mrefu na mzae kabisa.
Siunajua ukioa unaoa familia yote na matatizo yao yote, akiwa mchumba tu anakua na heshima kidogo.
Kwanza wewe dini gani?Ndugu wana JamiiForums ninapenda kuomba ushauri hivi nikitaka kuoa nizingatie sifa zipi (characteristics)
Kwasababu hivi sasa hakuna ndoa imekuwa ni complex organization ambayo inaundwa na vipengele vidogo vidogo vingi.
Unaweza oa kwa kuangalia hiki, then mkashindwana kwa kile.
Hivyo basi, mwenye anaona certain characteristics ndio excellent kwenye ndoa anieleze kidogo ili nijue kama ni kabila, rangi ya ngozi, shepu n.k
Sasa weka kiswahili translateGoogle naona itanipa ushaur wa kizungu
Umeandika kirahisi sana mahusianonl ya Sasa kama umeme muda wote unakatika leo ukonaye kesho kakuachaUwe na mchumba ambae mtakaa mda mrefu mkichunguzana.
Hawa wanawake wa sasa sidhan kama wataweza kukaa miaka mingi ktk uchumba
Hii namba 2 alikuwa anafanya mpenz wangu alikuwa anaenda kanisani siku za nyuma ikafika muda akapunguza tena baada ya muda akaanza kwenda yan unaweza ona hata kama jana alikuwa na ratiba zingine naona anapanga gafla anaenda kanisan had najiuliza vp shetan ndo kamuachia now au me ndo shetan 😀 nilivyokuja kugundua alikuwa kumbe akiwasiliana na mshikaji ndo anaenda nae asipoenda nae haend nkaamua tu kumfanya awe mpenzi wetu 😀Mkuu zingatia hilo
Kama anajua nyimbo nyingi za bongofleva afu wewe hujui basi acha.
Kama haendi kanisani au msikitini bila fulani acha.
Karibu kwenye chama kubwa.
Ndugu wana JamiiForums ninapenda kuomba ushauri hivi nikitaka kuoa nizingatie sifa zipi (characteristics)
Kwasababu hivi sasa hakuna ndoa imekuwa ni complex organization ambayo inaundwa na vipengele vidogo vidogo vingi.
Unaweza oa kwa kuangalia hiki, then mkashindwana kwa kile.
Hivyo basi, mwenye anaona certain characteristics ndio excellent kwenye ndoa anieleze kidogo ili nijue kama ni kabila, rangi ya ngozi, shepu n.k
Kwa macho na akili vinaweza kushirikiana vikamuona mtu yuko sahihi kulingana na maigizo kabla ya ndoa ila uhalisia sio sahihiKuoa sio lelemama hasa sisi ambao tupo ndani ya ndoa unasema na kujiuliza why i choose this woman to be my wife [emoji3531] forever as long tuna watoto unaendelea tu kuvuta muda children wakue CHAGUA MTU SAHIHI
Duuh wanawake ni balaaHii namba 2 alikuwa anafanya mpenz wangu alikuwa anaenda kanisani siku za nyuma ikafika muda akapunguza tena baada ya muda akaanza kwenda yan unaweza ona hata kama jana alikuwa na ratiba zingine naona anapanga gafla anaenda kanisan had najiuliza vp shetan ndo kamuachia now au me ndo shetan 😀 nilivyokuja kugundua alikuwa kumbe akiwasiliana na mshikaji ndo anaenda nae asipoenda nae haend nkaamua tu kumfanya awe mpenzi wetu 😀
Kabsa yan sema ukishamjua unaenda nae kwa akili maana mnafiki anapelekwa kinafiki vilevile 😀Duuh wanawake ni balaa