Naombeni ushauri kuhusu nyumba yangu niliyoijenga Maramba Mawili

Naombeni ushauri kuhusu nyumba yangu niliyoijenga Maramba Mawili

Usiuze ifanyie ukarabati pandisha kodi km hawezi ahame, nyumba ni asset nzuri inapanda bei kila siku.!!
Huyo mpangaji atakuwa anakufanyia jambo sio bure miaka miwili usiende kukagua nyumba yako??!
 
Tafuta namna uigeuze guest uwe unalaza si chini ya 50 kila day
Labda badae kwa sasa nina ptojects kibao nikianzisha mchakato wa kuigeuza guesz nitakufa kwa stress sbb napenfa kusimamia mambo.yangu mwenyewe na pia ikiwa guest huko ni mbali kufuatilia.Labda badae
 
Usiuze ifanyie ukarabati pandisha kodi km hawezi ahame, nyumba ni asset nzuri inapanda bei kila siku.!!
Huyo mpangaji atakuwa anakufanyia jambo sio bure miaka miwili usiende kukagua nyumba yako??!
Hanilogi sema zamani nilikua na vihela sahivi nimefulia kwa hiyo ndo naitumbulia macho.😁

Ila ushauri wako na wengine walioshsuri nidiuze nimeupokea🙏🙏

Nitafanya hivyo mdogo wangu
 
Hanilogi sema zamani nilikua na vihela sahivi nimefulia kwa hiyo ndo naitumbulia macho.😁

Ila ushauri wako na wengine walioshsuri nidiuze nimeupokea🙏🙏

Nitafanya hivyo mdogo wangu
Pesa ilikusahulisha 😂😂😂
Usiuze na kijichi ulikosema kuko poa sana, tena kule ndio kuko hot ss hivi.
Na mimi nitafutie plot kijichi napapenda sana.!! Si utanichangia dada mkubwa!!😜
 
Maramba mawili ipii? Km kuanzia Msikitini, yaan kibozone kuja huku mbezi na nyumba iko karibu na Lami, bas usiuze ila ikarabati iwe ktk hali nzuri.

Kodi weka Affordable, upige mapene na ufaidi maishaa.
Usinambie wewe ni jirani yangu bestie

Iko maeneo karibu na kituo kinaitwa MAKUTI
 
Daah wamekutaimu ndugu yangu! Wamekuroga 100% kuna kitu wamekufanyia ndo maana kila ukitaka kwenda unaona uvivu hiyo siyo hali ya kawaida umerogwa. Hiyo ndo mbinu nyingi zinafanyika kwa wapangaji wengi kwa wenye nyumba..! Usipoweka jitihada hutakaa uwende hapo.
 
X
Ni Maramba sehemu gani, kama ni karibu na njia kuu pana hela. Maramba ni karibu na Mbezi Luis hivyo kodi inapanda kila siku, shida yake napo pamejengwa kiholela tu kama maeneo mengi ya Daslam.
Okay.
Iko karibu na kituo kinaitwa MAKUTI mkuu.
 
Daah wamekutaimu ndugu yangu! Wamekuroga 100% kuna kitu wamekufanyia ndo maana kila ukitaka kwenda unaona uvivu hiyo siyo hali ya kawaida umerogwa. Hiyo ndo mbinu nyingi zinafanyika kwa wapangaji wengi kwa wenye nyumba..! Usipoweka jitihada hutakaa uwende hapo.
Naenda soon aisee watagombana na wachawi wao safari hii.Nimeamua kwa kweli
 
Usinambie wewe ni jirani yangu bestie

Iko maeneo karibu na kituo kinaitwa MAKUTI
Sasa MAKUTI si ndo town center ya maramba, iko upande upi?

Maramba Sec au shule ya msingi? Km iko upande wa njia hii ya zege inayoenda had kwa msuguli, bas ifanyie ukarabati, hiyo Sehemu iko vizuri sana kwa sasa.

Ikarabati afu pandisha kodi, wapangaji wapo na utatambaa nao.
 
Back
Top Bottom