Naombeni ushauri kuhusu nyumba yangu niliyoijenga Maramba Mawili

Naombeni ushauri kuhusu nyumba yangu niliyoijenga Maramba Mawili

Sasa MAKUTI si ndo town center ya maramba, iko upande upi?

Maramba Sec au shule ya msingi? Km iko upande wa njia hii ya zege inayoenda had kwa msuguli, bas ifanyie ukarabati, hiyo Sehemu iko vizuri sana kwa sasa.

Ikarabati afu pandisha kodi, wapangaji wapo na utatambaa nao.
Unanitia mori sijui kwanini naipuuzia nyumba yangu
Niache uzembe sasa.
Napuuzia maokoto utadhani nimejipata kumbe bado najitafuta.
Si mbali na maeneo hayo hayo

unayotaja
 
Sawa mkuu.
Naomba unisaidie kukadiria kodi kwa nyumba ya hayo maelezo coz huyo mpangaji nilimpa taarifa kuwa nataka kukarqbqti nipandishe kodi akanukatushq tamaa eti kule hapapendwi na wapangaji sbb ya shida ya maji.
Yeye mbona anakaa 😂😂, au ana ubia na dawasko.

Bibie unaonekana unatongozeka kirahisi sana, mpangaji amekutongoza umeingia kingi.

Jaribu kua unaitembelea nyumba yako, hawachelewi kuiuza au kuipangisha tena mtu anakula cha juuu tu kwa jasho lako.

Ikarabati weka dau hilo ulilolikataa mwanzo.
 
Ofcoz yale maeneo changamoto yake kubwa ni maji but hilo sio tatizo coz utawawekea tank kuuuubwa ili wawe wanajisevia wenyewe.... 350k
Nilijengega kisima cha tofali kinavuna maji.ya mvua kikubwa wanatumia hadi bomba ya mvua.Wananunua ya kunywa tu
 
Asante mkuu.
Hiyo kampuni ya valuation naomba jina kuna kajengo nataka kukatia bima ya moto nimeambiwa nigharamie zoezi la kuthaminisha jengo.
Mkopo hapana, sijawahi na sitajaribu naiogopa nitajidu nduliza polepole tu Extra miles
 
Boss naishi karibu na Malamba Mawili, Aiseee chonde chonde usipauze. Maeneo ya Mbezi watu wanahamia Malamba. Segerea na Kinyerezi wanahamia Kifuru. Nyumba zina Bei nzuri sana ukipangisha. Bei ya kupangisha ukiikarabati haiwezi kupungua Laki 5. Kuna kaeneo Malamba nilikachukua Milioni 9 mwaka Jana, sasa hivi kuna Jamaa anataka kunitoa kwa Milioni 20. USIPAUZE.
We jamaa ndio kusema nyumba yangu nitapangisha laki 7 kama ndio hivyo.

Malamba ni Hoti Keki.
Mku uko hapo kwa Mzalendo?
 
Boss naishi karibu na Malamba Mawili, Aiseee chonde chonde usipauze. Maeneo ya Mbezi watu wanahamia Malamba. Segerea na Kinyerezi wanahamia Kifuru. Nyumba zina Bei nzuri sana ukipangisha. Bei ya kupangisha ukiikarabati haiwezi kupungua Laki 5. Kuna kaeneo Malamba nilikachukua Milioni 9 mwaka Jana, sasa hivi kuna Jamaa anataka kunitoa kwa Milioni 20. USIPAUZE.
Asante kwa ushauri huu mkuu.
Sitapauza.
Ila huyo mpangaji jamani anapaponda anasema.watu hawapati wapangaji sbb shida ya maji eti
 
Back
Top Bottom