Naombeni ushauri kuhusu nyumba yangu niliyoijenga Maramba Mawili

Naombeni ushauri kuhusu nyumba yangu niliyoijenga Maramba Mawili

Hi JF.

Ndugu zangu naomba mawazo yenu.

Ni hivi, kuna nyumba iko hapo Mbezi Maramba mawili naona kama nilipoteza muda na hela zangu bure coz haina faida yeyote kwangu tokea nimeijenga.

Ilipokamilika nilimpa uncle wangu na wife wake wakae. Baada ya miaka 3 ndugu akajiongoza akaenda panga 2 rooms then akaleta mpangaji kwa 200K kwa mwezi. Ikawa ile kodi anatumia kulipia zile 2 rooms inayobaki anatumia.

Ikaenda hivyo for two years nikiwa sijui kitu coz baada ya kuwakabidhi sikuwahi tena kwenda huko hadi siku jirani mmoja kunipigia akilalamika kuhusu wapangaji wangu.Nikashangaa ikabidi niende kwa lengo lakuwatimua hao waliopangishwa bila idhini yangu.

Kufika Maramba, nilijicheka kumebadilika, kumejengwa hata njia ya kufika kwangu nimeisahau😁😁 ila nilifika nikakuta nyumba imechoka baadhi ya vioo vimevunjwa, vitasa hakuna, rangi ndo usiseme ila wapangaji walinipokea vizuri na walikua watu wastaarabu sana.

Nikajitambulisha na wakashangaa coz kwa 2 yrs wanajua ndugu yangu ndo mama mwenye nyumba wao wakaanza kulalamika kutapeliwa.

Nikawaambia hakijaharibika kitu endeleeni kukaa ila nikawaomba wanipe 300k kwa mwezi sababu nyumba imechoka coz 200K ni ndogo sana.

Hiyo 300K kwa mwezi walilipa miezi 6 tu then Covid 19 ikaja wakaomba 200k coz imempozea baba kazi, nikakubali nikiwa naplan nikaikarabati then niweke mpangaji atakayenipa hela yakuridhika.

Cha ajabu nina hiyo plan tokea enzi za Covid ila kila nikifikiria kwenda Maramba kufanya huo mchakato naona uvivu na mind you marekebisho makubwa hapo ni rangi tu na toka nilipoenda kujitambulisha sijarudi tena Maramba so mpaka leo wananipa 200K kwa mwezi ila nahisi ni ndogo sana.

Ninawaza niiuze hiyo nyumba then nikajenge kwenye moja ya plots zangu zilizoko Mtoni Kijichi.Kijichi kuna kodi nzuri.

Au niikarabati then niongeze kodi ila hapa nashindwa kuamua coz sijui soko la nyumba za kupanga likoje hapo Maramba Mawili.

So majirani zangu wa Maramba Mawili hebu niambieni eti kajumba ka 3 bedrooms,big living room,dinning,jiko,choo cha master na public,alluminium window,tiles,umeme ikiwa kwenye hali nzuri halali yake kwa mwezi ni bei gani kupangisha kwa sasa?Enzi hizo kabla wakati nampatia uncle wangu alipatikana mpangaji wa 350K kwa mwezi kwa kila miezi 4.

Na je nikisema niuze nitapata kiasi gani eti majirani zangu wapendwa(Kwa kukadiria)

Natanguliza shukrani zangu Majirani zangu wapendwa.Sisi ni ndugu tusaidiane🙏🙏
Mimi naishi malamba naomba tuwasiliane unipangishie hyo nyumba
 
Maramba sehem gani, mboan bado kupo potential kiufupiiii nendaa kairekebishe iwe ktk hali nzuri kabisa kila kitu yani iwe kama mpya kabisa then ndo uanze kupandisha iyo kodi yako
Fanya kila chumba 50k×3 ni 150k living room 50k, apo 200k eneo+ vyoo+jiko na mengineyo 50k kodi wafanyie 250k maximum acha tamaa
Sawa mkuu.
Ila ina maana nikiifanya mpya hata 350K sipati?
 
Sawa mkuu.
Ila ina maana nikiifanya mpya hata 350K sipati?
Inategemeana na location pia.

Kama iko malamba mawili mwisho karibu na hizo Boda boda na bajaji pale barabarani unapata hadi 400k au zaidi.

Lakini kama iko kule kwa mzalendo kodi itapungua
 
😄😄 mwenyewe na imagine na zile.swaga zake.
Huo mtaa utakuwa no kununa 😂😂
Na mimi ntakuwa nazidi kumpatia vitu vyake pendwa, mzigo ukishuka tu wa kwanza yeye kuchagua.!!
 
Coz. Coz coz,namashaka mtu awe na shumba Malamba mawili halafu awe anaandika coz coz kama kiform two🤣🤣chai
 
Hanilogi sema zamani nilikua na vihela sahivi nimefulia kwa hiyo ndo naitumbulia macho.😁

Ila ushauri wako na wengine walioshsuri nidiuze nimeupokea🙏🙏

Nitafanya hivyo mdogo wangu
usiuze ndugu kwani hao wapangaji wanakwambia hakuna thamani kwakuwa wanataka ganda la ndizi tu,wewe ndio mwenyewe na usiwasikilize wanufaika na eneo lako
 
Usiuze wewe karabati tu then weka mtu... maramba ni moja ya maeneo ambayo yanaenda kuwa ghari sana so kama huna shida yoyote ifanyie ukarabati weka wapangaji... kodi ni makubaliano na wewe ndio unatakiwa upange kwa kushirikiana na dalali.
Hara sasa Maramba ni ghali,ongea n na madalali Wa hu ko.
 
Hi JF.

Ndugu zangu naomba mawazo yenu.

Ni hivi, kuna nyumba iko hapo Mbezi Maramba mawili naona kama nilipoteza muda na hela zangu bure coz haina faida yeyote kwangu tokea nimeijenga.

Ilipokamilika nilimpa uncle wangu na wife wake wakae. Baada ya miaka 3 ndugu akajiongoza akaenda panga 2 rooms then akaleta mpangaji kwa 200K kwa mwezi. Ikawa ile kodi anatumia kulipia zile 2 rooms inayobaki anatumia.

Ikaenda hivyo for two years nikiwa sijui kitu coz baada ya kuwakabidhi sikuwahi tena kwenda huko hadi siku jirani mmoja kunipigia akilalamika kuhusu wapangaji wangu.Nikashangaa ikabidi niende kwa lengo lakuwatimua hao waliopangishwa bila idhini yangu.

Kufika Maramba, nilijicheka kumebadilika, kumejengwa hata njia ya kufika kwangu nimeisahau😁😁 ila nilifika nikakuta nyumba imechoka baadhi ya vioo vimevunjwa, vitasa hakuna, rangi ndo usiseme ila wapangaji walinipokea vizuri na walikua watu wastaarabu sana.

Nikajitambulisha na wakashangaa coz kwa 2 yrs wanajua ndugu yangu ndo mama mwenye nyumba wao wakaanza kulalamika kutapeliwa.

Nikawaambia hakijaharibika kitu endeleeni kukaa ila nikawaomba wanipe 300k kwa mwezi sababu nyumba imechoka coz 200K ni ndogo sana.

Hiyo 300K kwa mwezi walilipa miezi 6 tu then Covid 19 ikaja wakaomba 200k coz imempozea baba kazi, nikakubali nikiwa naplan nikaikarabati then niweke mpangaji atakayenipa hela yakuridhika.

Cha ajabu nina hiyo plan tokea enzi za Covid ila kila nikifikiria kwenda Maramba kufanya huo mchakato naona uvivu na mind you marekebisho makubwa hapo ni rangi tu na toka nilipoenda kujitambulisha sijarudi tena Maramba so mpaka leo wananipa 200K kwa mwezi ila nahisi ni ndogo sana.

Ninawaza niiuze hiyo nyumba then nikajenge kwenye moja ya plots zangu zilizoko Mtoni Kijichi.Kijichi kuna kodi nzuri.

Au niikarabati then niongeze kodi ila hapa nashindwa kuamua coz sijui soko la nyumba za kupanga likoje hapo Maramba Mawili.

So majirani zangu wa Maramba Mawili hebu niambieni eti kajumba ka 3 bedrooms,big living room,dinning,jiko,choo cha master na public,alluminium window,tiles,umeme ikiwa kwenye hali nzuri halali yake kwa mwezi ni bei gani kupangisha kwa sasa?Enzi hizo kabla wakati nampatia uncle wangu alipatikana mpangaji wa 350K kwa mwezi kwa kila miezi 4.

Na je nikisema niuze nitapata kiasi gani eti majirani zangu wapendwa(Kwa kukadiria)

Natanguliza shukrani zangu Majirani zangu wapendwa.Sisi ni ndugu tusaidiane
uza nyumba ya urithi ukale bata.... umejenga nyumba usijue ukiuza utapata nn jf bhana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
ukitaka nyumba ya biashara tengeneza room kubwa za self au frem. au gesti au AirBnB

tofauti na hapo ni hasara.
Kuna mtu pia alinishauri hiyp.ya room selfcontained ila naona uzito kudeal na watu wengi
Yeye mbona anakaa 😂😂, au ana ubia na dawasko.

Bibie unaonekana unatongozeka kirahisi sana, mpangaji amekutongoza umeingia kingi.

Jaribu kua unaitembelea nyumba yako, hawachelewi kuiuza au kuipangisha tena mtu anakula cha juuu tu kwa jasho lako.

Ikarabati weka dau hilo ulilolikataa mwanzo.
Nilivyo mwehu eti namuombaga yeye ushauri na anavyonikatisha tamaa sasa.
Kuna wkt alinishauri nimuuzie ila hiyo bei alitajia nilichoka
 
Back
Top Bottom