Mlatino Zeshalo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2014
- 2,130
- 3,599
Kwani ukisema ni wewe ndio mpangaji kuna shida gani mpaka umsingizie rafiki yako?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baba mwenyenyumba na wewe lenu moja.View attachment 2414420
Nahisi baba mwenye nyumba yupo hatua 5 mbele zaidi kuliko rafiki yangu.
Ipo hivi, rafiki yangu kapangisha kanyumba kadogo anaishi na mke wake, kwenye kiwanja kuna nyumba ndogo mbili, nyumba nyingine kuna mpangaji mwengine ila hua anasafiri sana.
sasa mke wa rafiki yangu alijifungua kama wiki 2 hivi zilizopita, miezi hii kumekuwa na shida kubwa sana ya maji, baba mwenye nyumba aliposikia mke wa rafiki kajifungua aliwapa hongera sana na aliahidi kuchimba kisima na kweli ahadi ikatekelezwa baada ya siku chache.
Katoa ofa watumie maji bure kwa miezi mitatu.
Rafiki yangu alifurahi sana lakini kwa upande wangu nimelitazama hili jambo kwa kina nimeliona tofauti,
Huku kujali kote nimeona kuna mchezo unafanyika huenda rafiki kageuzwa house boy wa kulea mtoto ambae si wake.
Ni vipi naweza kumu approach rafiki nimwambie kwamba mtoto anaweza asiwe wake ?
Ni vipi anaweza kuhakikisha mtoto ni wake bila mke wake kujua ?
Halafu kwa mtiririko Mkuu yaani kuanzia comment ya kwanza mpaka hapa kila mmoja anampa ya kwake. 😀Daaah, mmemchamba jamaa kinoma[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wanampelekea moto mpaka kakimbia uzi wake[emoji23][emoji23]Daaah, mmemchamba jamaa kinoma[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Atakua anataka waachane ili aolewe yeyeKwa mfano,,, huyo jamaa akagombana na mke wake kwa unafiki wako we utapata faida gani???
Mchizi kaupalamia mtumbwi [emoji23][emoji23][emoji23]
Wadau wanataka kumtoa roho[emoji1787][emoji1787]Mchizi kaupalamia mtumbwi [emoji23][emoji23][emoji23]