Naombeni ushauri kumuokoa rafiki yangu, Huu ukarimu wa baba mwenye nyumba umepitiliza, nahisi kamzalisha mke wa rafiki.

Naombeni ushauri kumuokoa rafiki yangu, Huu ukarimu wa baba mwenye nyumba umepitiliza, nahisi kamzalisha mke wa rafiki.

View attachment 2414420

Nahisi baba mwenye nyumba yupo hatua 5 mbele zaidi kuliko rafiki yangu.

Ipo hivi, rafiki yangu kapangisha kanyumba kadogo anaishi na mke wake, kwenye kiwanja kuna nyumba ndogo mbili, nyumba nyingine kuna mpangaji mwengine ila hua anasafiri sana.

sasa mke wa rafiki yangu alijifungua kama wiki 2 hivi zilizopita, miezi hii kumekuwa na shida kubwa sana ya maji, baba mwenye nyumba aliposikia mke wa rafiki kajifungua aliwapa hongera sana na aliahidi kuchimba kisima na kweli ahadi ikatekelezwa baada ya siku chache.

Katoa ofa watumie maji bure kwa miezi mitatu.

Rafiki yangu alifurahi sana lakini kwa upande wangu nimelitazama hili jambo kwa kina nimeliona tofauti,

Huku kujali kote nimeona kuna mchezo unafanyika huenda rafiki kageuzwa house boy wa kulea mtoto ambae si wake.

Ni vipi naweza kumu approach rafiki nimwambie kwamba mtoto anaweza asiwe wake ?

Ni vipi anaweza kuhakikisha mtoto ni wake bila mke wake kujua ?
Wivu tu Lione😅😅😅
 
View attachment 2414420

Nahisi baba mwenye nyumba yupo hatua 5 mbele zaidi kuliko rafiki yangu.

Ipo hivi, rafiki yangu kapangisha kanyumba kadogo anaishi na mke wake, kwenye kiwanja kuna nyumba ndogo mbili, nyumba nyingine kuna mpangaji mwengine ila hua anasafiri sana.

sasa mke wa rafiki yangu alijifungua kama wiki 2 hivi zilizopita, miezi hii kumekuwa na shida kubwa sana ya maji, baba mwenye nyumba aliposikia mke wa rafiki kajifungua aliwapa hongera sana na aliahidi kuchimba kisima na kweli ahadi ikatekelezwa baada ya siku chache.

Katoa ofa watumie maji bure kwa miezi mitatu.

Rafiki yangu alifurahi sana lakini kwa upande wangu nimelitazama hili jambo kwa kina nimeliona tofauti,

Huku kujali kote nimeona kuna mchezo unafanyika huenda rafiki kageuzwa house boy wa kulea mtoto ambae si wake.

Ni vipi naweza kumu approach rafiki nimwambie kwamba mtoto anaweza asiwe wake ?

Ni vipi anaweza kuhakikisha mtoto ni wake bila mke wake kujua ?
Usiongee kitu usicho na uhakika nacho
 
Yaani kwa kisima tu ndio unaona hivyo au Kuna lingine?

Yaani mtu kuchimba kisima tena kwake ndo unaona Kazaa na shemeji yako?

Aisee Kuna watu mnajua kuishi kwa kujipa mateso dah! Yaani wewe kila kitu unaamua kukichukulia negative ili uteseke. Aisee huo moyo wako umejaa sumu hadi inatisha
Nashangaa maana mimi nimewachimbia kisima wapangaji wangu na wala siwachaji cho chote. Nilichowaambia walipie umeme (wajipange wenyewe).
 
Mwenye nyumba kafanya customer care/customer service.Kizabizabina weye umeanza uchonganishi!Leta ushahidi.
 
ukilima shamba la bwana kheri bila ruhusa yake basi mazao ni ya bwana kheri, acha kimbele mbele
 
View attachment 2414420

Nahisi baba mwenye nyumba yupo hatua 5 mbele zaidi kuliko rafiki yangu.

Ipo hivi, rafiki yangu kapangisha kanyumba kadogo anaishi na mke wake, kwenye kiwanja kuna nyumba ndogo mbili, nyumba nyingine kuna mpangaji mwengine ila hua anasafiri sana.

sasa mke wa rafiki yangu alijifungua kama wiki 2 hivi zilizopita, miezi hii kumekuwa na shida kubwa sana ya maji, baba mwenye nyumba aliposikia mke wa rafiki kajifungua aliwapa hongera sana na aliahidi kuchimba kisima na kweli ahadi ikatekelezwa baada ya siku chache.

Katoa ofa watumie maji bure kwa miezi mitatu.

Rafiki yangu alifurahi sana lakini kwa upande wangu nimelitazama hili jambo kwa kina nimeliona tofauti,

Huku kujali kote nimeona kuna mchezo unafanyika huenda rafiki kageuzwa house boy wa kulea mtoto ambae si wake.

Ni vipi naweza kumu approach rafiki nimwambie kwamba mtoto anaweza asiwe wake ?

Ni vipi anaweza kuhakikisha mtoto ni wake bila mke wake kujua ?
Acha uchonganishi....
 
View attachment 2414420

Nahisi baba mwenye nyumba yupo hatua 5 mbele zaidi kuliko rafiki yangu.

Ipo hivi, rafiki yangu kapangisha kanyumba kadogo anaishi na mke wake, kwenye kiwanja kuna nyumba ndogo mbili, nyumba nyingine kuna mpangaji mwengine ila hua anasafiri sana.

sasa mke wa rafiki yangu alijifungua kama wiki 2 hivi zilizopita, miezi hii kumekuwa na shida kubwa sana ya maji, baba mwenye nyumba aliposikia mke wa rafiki kajifungua aliwapa hongera sana na aliahidi kuchimba kisima na kweli ahadi ikatekelezwa baada ya siku chache.

Katoa ofa watumie maji bure kwa miezi mitatu.

Rafiki yangu alifurahi sana lakini kwa upande wangu nimelitazama hili jambo kwa kina nimeliona tofauti,

Huku kujali kote nimeona kuna mchezo unafanyika huenda rafiki kageuzwa house boy wa kulea mtoto ambae si wake.

Ni vipi naweza kumu approach rafiki nimwambie kwamba mtoto anaweza asiwe wake ?

Ni vipi anaweza kuhakikisha mtoto ni wake bila mke wake kujua ?
Hivi hauna kwako..?
 
View attachment 2414420

Nahisi baba mwenye nyumba yupo hatua 5 mbele zaidi kuliko rafiki yangu.

Ipo hivi, rafiki yangu kapangisha kanyumba kadogo anaishi na mke wake, kwenye kiwanja kuna nyumba ndogo mbili, nyumba nyingine kuna mpangaji mwengine ila hua anasafiri sana.

sasa mke wa rafiki yangu alijifungua kama wiki 2 hivi zilizopita, miezi hii kumekuwa na shida kubwa sana ya maji, baba mwenye nyumba aliposikia mke wa rafiki kajifungua aliwapa hongera sana na aliahidi kuchimba kisima na kweli ahadi ikatekelezwa baada ya siku chache.

Katoa ofa watumie maji bure kwa miezi mitatu.

Rafiki yangu alifurahi sana lakini kwa upande wangu nimelitazama hili jambo kwa kina nimeliona tofauti,

Huku kujali kote nimeona kuna mchezo unafanyika huenda rafiki kageuzwa house boy wa kulea mtoto ambae si wake.

Ni vipi naweza kumu approach rafiki nimwambie kwamba mtoto anaweza asiwe wake ?

Ni vipi anaweza kuhakikisha mtoto ni wake bila mke wake kujua ?
Inaonesha Kuna sehemu panakuwasha
 
Back
Top Bottom