Kuteka na kuua wakosoaji kamwe haiwezi kuwa suluhisho la matatizo.Kama unajiamini sana na hi jf utaumia peke hao wanao kupa likes hutawaona popote.
Wa kambo, Hana cheti Cha NDOA.Mali za baba ako ni za mke wake na watoto chini ya miaka 18, Tafuta zako....
Kwani harogeki?Iko hivi mimi ni mtoto wa katikati katika familia yetu, baba alirithi mali kutoka kwa mababu zetu, ingawa baadhi ya mababu zetu wengine walivuja sana mali za marehemu babu, ingawa wengine walishakufa na wawili wangali hai.
Baba yangu mzazi na mimi yeye alikuwa na uchungu sana na mali za baba yake yaani babu yangu na mimi, bahati mbaya kafariki mwaka juzi katika mazingira ya kutatanisha.
Sasa kikao cha familia kilimuamini mama ili aweze kushikilia mali za ukoo, mpaka atakapopatikana mrithi kamili. Kuja kustuka nahisi mama anauza mali za familia akishirikiana na madalali hapa mtaani, na kibaya mama siyo kabila moja na baba na wala siyo wa huu mkoa.
Tunahisi akishamaliza kuuza atatutelekeza arudi kwao zenji atuache mikono mitupu.
Naombeni ushauri tufanye nini?
Una maanisha Baba yako ni Magofuni na kaka zake baba yako walio hai ni Kiwembe na Mvinywi? na Mama yako wa Kambo ndio Huyu aliyeko sasa. wanaonunua Mali zenu ni pantoja na waarabu? Sasa fanya hivi hapo mama yako wa kambo na yeye anapelekwa pelekwa tu na hao ndgu za babako. Hizo mali zotauzwa tu labda umuue hyo ndgu mmoja yaan kiwembe. Bila kufa huyu mji wenu hautakaa utulie.Iko hivi mimi ni mtoto wa katikati katika familia yetu, baba alirithi mali kutoka kwa mababu zetu, ingawa baadhi ya mababu zetu wengine walivuja sana mali za marehemu babu, ingawa wengine walishakufa na wawili wangali hai.
Baba yangu mzazi na mimi yeye alikuwa na uchungu sana na mali za baba yake yaani babu yangu na mimi, bahati mbaya kafariki mwaka juzi katika mazingira ya kutatanisha.
Sasa kikao cha familia kilimuamini mama ili aweze kushikilia mali za ukoo, mpaka atakapopatikana mrithi kamili. Kuja kustuka nahisi mama anauza mali za familia akishirikiana na madalali hapa mtaani, na kibaya mama siyo kabila moja na baba na wala siyo wa huu mkoa.
Tunahisi akishamaliza kuuza atatutelekeza arudi kwao zenji atuache mikono mitupu.
Naombeni ushauri tufanye nini?
Ilivyotajwa Zenji tu nikaunga dots🤣🤣🤣 dah watu wana mambo.... tu code tudogo wanashindwa kung'amua
Caveat ,hebu ieleze kwa urefu,unaweka vipi,na wapi,na inachukuwa mda gani kuwepo?Na inasaidi nini na vipipia usisahau kama ni ardhi kuwekea caveat hizo nyumba/ardhi.
Kimbia kwa mwanasheria leo au kesho asubuhi. la sivyo.
Huwa Kuna kikao Cha familia Cha kutengua msimamizi wa mirathi.Iko hivi mimi ni mtoto wa katikati katika familia yetu, baba alirithi mali kutoka kwa mababu zetu, ingawa baadhi ya mababu zetu wengine walivuja sana mali za marehemu babu, ingawa wengine walishakufa na wawili wangali hai.
Baba yangu mzazi na mimi yeye alikuwa na uchungu sana na mali za baba yake yaani babu yangu na mimi, bahati mbaya kafariki mwaka juzi katika mazingira ya kutatanisha.
Sasa kikao cha familia kilimuamini mama ili aweze kushikilia mali za ukoo, mpaka atakapopatikana mrithi kamili. Kuja kustuka nahisi mama anauza mali za familia akishirikiana na madalali hapa mtaani, na kibaya mama siyo kabila moja na baba na wala siyo wa huu mkoa.
Tunahisi akishamaliza kuuza atatutelekeza arudi kwao zenji atuache mikono mitupu.
Naombeni ushauri tufanye nini?