To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
🤣🤣🤣🤣🙌Thread ya ngapi hiii bora uondoke tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🙌Thread ya ngapi hiii bora uondoke tu
Shukrani mkuu 🙏 Be blessedJifunze kutumia njia za uzazi wa mpango .
Either kwa kuzingatia tarehe zake za hatari .
Au pata sindano za uzazi wa mpango au vidonge
Kuhusu mwanao kwa umri huo sio shida kwa mkeo kubeba mimba ila nachoweza kukushauri ikiwa bibi wa mwanao ni mwelewa na ni mlezi aliye bora mpeleke mwanao ili ubaki na mkeo .
Ikiwa bibi yake sio mzuri kwenye malezi basi jitahidi kuwa karibu ili uonyeshe upendo kwa mwanao maana mama yake atakuwa katika transition period ili mtoto asije dhurika .
Asante.
Sawa Mkuu ntafanya hivo be blessed Sana 🙌🙏Mtafutie dada wa kazi, na boresha lishe kwa mtoto ili asinyonye tena
Inawezekana mkuu, nashukuru kwa ushauri wako, ubarikiwe 🙌🙏Wewe jamaa unahitaji msaada wa kisaikolojia. Una kila dalili ya mtu mpweke mno.
Nahisi umegubikwa na wingu la jitimai kuhisi maisha yako hayana muelekeo kiasi cha kujaribu kuyapa thamani kwa kutafuta attention JF.
Kuwa makini usije ukajinyonga. Tafuta msaada wa tiba ya akili.
Ushauri wa nn wakati mmefanya!?Habari muda huu Wana Jf poleni na majukumu mbalimbali na ramdhani Kareem kwa ndugu zangu waislamu.
Juzi siku ya jumamosi mke wangu alianza kutapika uku akilalamika anajisikia uchovu,leo Imebidi nimpeleke hospital kwa ajili ya vipimo Mana Hali iliendelea vilevile.baada ya vipimo imegundulika ana mimba ya mwezi mmoja hiyo taarifa imenishtua Sana Ila nilivyomuangalia mama N yupo kawaida nahisi alishajigundua Hali yake tokea muda.
Njiani wakati tunarudi hakuna mtu aliomuongelesha mwezake.
kitu kinacho Nipa mawazo tuna mtoto mdogo ana mwaka na miezi 4 na mke wangu mimba ikifika miezi 5 ni kuumwa kila siku je mtoto atapata malezi Bora au nimpeleke kwa Bibi yake.
Niliona dalili kitu kidogo akikosea mtoto anamkaripia wakati hakuwa hivo nyuma.
naombeni Ushauri Wana Jamii forum.
Mmedunyana kizani afu unaomba ushauri upenuniHabari muda huu Wana Jf poleni na majukumu mbalimbali na ramdhani Kareem kwa ndugu zangu waislamu.
Juzi siku ya jumamosi mke wangu alianza kutapika uku akilalamika anajisikia uchovu,leo Imebidi nimpeleke hospital kwa ajili ya vipimo Mana Hali iliendelea vilevile.baada ya vipimo imegundulika ana mimba ya mwezi mmoja hiyo taarifa imenishtua Sana Ila nilivyomuangalia mama N yupo kawaida nahisi alishajigundua Hali yake tokea muda.
Njiani wakati tunarudi hakuna mtu aliomuongelesha mwezake.
kitu kinacho Nipa mawazo tuna mtoto mdogo ana mwaka na miezi 4 na mke wangu mimba ikifika miezi 5 ni kuumwa kila siku je mtoto atapata malezi Bora au nimpeleke kwa Bibi yake.
Niliona dalili kitu kidogo akikosea mtoto anamkaripia wakati hakuwa hivo nyuma.
naombeni Ushauri Wana Jamii forum.
Sawaa mkuuUshauri wa nn wakati mmefanya!?
Mmedunyana kizani afu unaomba ushauri upenuni
Nampenda Sana mke wangu sio mtu wa vitu hivyo mkuukwa nini hukua na mchepuko haya yote yasingekukuta ndugu
sasa kwa nini hukumjali katika kupangilia uzazi acha unafiki kuwa na mchepuko si kutokumpenda mke bali ni kumsaidiaNampenda Sana mke wangu sio mtu wa vitu hivyo mkuu
🙌🙌🙏Imesha Tokea Likabiri
Sawa niunganishe ata na mchepuko mmoja huko😄sasa kwa nini hukumjali katika kupangilia uzazi acha unafiki kuwa na mchepuko si kutokumpenda mke bali ni kumsaidia
zunguka nchi hutokosa loose goatSawa niunganishe ata na mchepuko mmoja huko😄
Lea, mimba, mtoto na mkeo Acha kulialia mtoto wa kiume.Habari muda huu Wana Jf poleni na majukumu mbalimbali na ramdhani Kareem kwa ndugu zangu waislamu.
Juzi siku ya jumamosi mke wangu alianza kutapika uku akilalamika anajisikia uchovu,leo Imebidi nimpeleke hospital kwa ajili ya vipimo Mana Hali iliendelea vilevile.baada ya vipimo imegundulika ana mimba ya mwezi mmoja hiyo taarifa imenishtua Sana Ila nilivyomuangalia mama N yupo kawaida nahisi alishajigundua Hali yake tokea muda.
Njiani wakati tunarudi hakuna mtu aliomuongelesha mwezake.
kitu kinacho Nipa mawazo tuna mtoto mdogo ana mwaka na miezi 4 na mke wangu mimba ikifika miezi 5 ni kuumwa kila siku je mtoto atapata malezi Bora au nimpeleke kwa Bibi yake.
Niliona dalili kitu kidogo akikosea mtoto anamkaripia wakati hakuwa hivo nyuma.
naombeni Ushauri Wana Jamii forum.
Ni mtu mwenye Mambo mengiMuone daktari wa afya ya akili, inaonekana haupo sawa, mara uage, mara ulete story yako ya kuhisiwa jambazi, mara mimba, mara mtoto wa jirani yani kila kitu ni wewe. We ni mtu wa namna gani?