Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Usiondoke mkuu 😅
Uwepo wako ni wa muhimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiondoke mkuu 😅
Sawa Mkuu nimekulewa Sana be blessed 🙏🙌🙌🙌Wanaume wengine bwana; kwa hiyo wewe ulikuwa unakula tu mzigo bila kujua kuwa Mimba itaingia?
Kwa nini hukujadili na mkeo mkapata ushauri wa namna ya kuzuia Mimba hadi mtoto akue?
Hata hivyo sio mbaya sana kwani mkeo anaweza kuendelea kunyonyesha kwa miezi mingine hata 5 hivi ambapo dogo atakaribia miaka miwili ambayo ndio umri sahihi unatakiwa kumuachisha kunyonya.
Sana...wenzake ilikua 6mthsHuyo mtoto ni mkubwa sana kuwa na mdogo wake
kilivoaga kilitegemea kitaenda wapi
Uwepo wangu sio muhimu mkuu tupo jf kuburudika na kujifunzaUsiondoke mkuu 😅
Uwepo wako ni wa muhimu
Shunie njoo kuna habari zako hukuUwepo wangu sio muhimu mkuu tupo jf kuburudika na kujifunza
Kuanzia kesho ntakuwa mute nikaanze majukumu yangu nilikuwa Nina likizo ya wiki kwa ajili ya kuaga.
Respect sana Half american utamsalimia Shunie mwambie nishaondoka nimemuachia jf yake😁
mimi wakati naquit kutumia FB 2016 sikuaga mtu, nilideactivate account kimyakimya.Kumbe kiliaga!!! Hizo huwa attention seeking syndrome tu. Wanaoagaga huwa hawaondoki jf.
Hapana,mi nakupenda...Baki nasi
Auntie aliaga anatoka jf mpaka leo kutuwekea thread tu tena aliaga kwa mbwembwe sanaAondoke kwenda wapi?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
Eenh ni lazima nimkumbushe si alituaga mwenyewe [emoji1787]Kwenye kila thread au comment ya huyu mwamba, lazima umkumbushe kuondoka [emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji1787] Ulituaga mwenyewe na ukirudi utupe taarifa umerudi
Kweli auntie wengi walioweka thread za kuaga jf mpaka leo tupo naoKumbe kiliaga!!! Hizo huwa attention seeking syndrome tu. Wanaoagaga huwa hawaondoki jf.
[emoji1787] Ila nitakumiss ujue nakuombea sana unapoenda uende salama urudi salamaUwepo wangu sio muhimu mkuu tupo jf kuburudika na kujifunza
Kuanzia kesho ntakuwa mute nikaanze majukumu yangu nilikuwa Nina likizo ya wiki kwa ajili ya kuaga.
Respect sana Half american utamsalimia Shunie mwambie nishaondoka nimemuachia jf yake[emoji16]
Habari muda huu Wana JF poleni na majukumu mbalimbali na ramdhani Kareem kwa ndugu zangu waislamu.
Juzi siku ya jumamosi mke wangu alianza kutapika uku akilalamika anajisikia uchovu, leo Imebidi nimpeleke hospital kwa ajili ya vipimo Mana Hali iliendelea vilevile, baada ya vipimo imegundulika ana mimba ya mwezi mmoja hiyo taarifa imenishtua Sana Ila nilivyomuangalia mama N yupo kawaida nahisi alishajigundua Hali yake tokea muda.
Njiani wakati tunarudi hakuna mtu aliomuongelesha mwezake, kitu kinachonipa mawazo tuna mtoto mdogo ana mwaka na miezi 4 na mke wangu mimba ikifika miezi 5 ni kuumwa kila siku je mtoto atapata malezi Bora au nimpeleke kwa Bibi yake.
Niliona dalili kitu kidogo akikosea mtoto anamkaripia wakati hakuwa hivo nyuma.
Naombeni Ushauri Wana JamiiForums.
Ulidhani utashauriwa muitoe?Sahau.Nashukuru mkuu kwa ushauri wako 🙌
Wanajitafutiaga tu umuhimu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kweli auntie wengi walioweka thread za kuaga jf mpaka leo tupo nao