Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Mmemsagia kunguni Mo mp5 mpaka anakimbia 😅Nipo apa [emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmemsagia kunguni Mo mp5 mpaka anakimbia 😅Nipo apa [emoji1787]
Nyie kama wajumbe, mpo kwa ajili ya kusimamia maneno yake 😅😅😅Eenh ni lazima nimkumbushe si alituaga mwenyewe [emoji1787]
Habari muda huu Wana JF poleni na majukumu mbalimbali na ramdhani Kareem kwa ndugu zangu waislamu.
Juzi siku ya jumamosi mke wangu alianza kutapika uku akilalamika anajisikia uchovu, leo Imebidi nimpeleke hospital kwa ajili ya vipimo Mana Hali iliendelea vilevile, baada ya vipimo imegundulika ana mimba ya mwezi mmoja hiyo taarifa imenishtua Sana Ila nilivyomuangalia mama N yupo kawaida nahisi alishajigundua Hali yake tokea muda.
Njiani wakati tunarudi hakuna mtu aliomuongelesha mwezake, kitu kinachonipa mawazo tuna mtoto mdogo ana mwaka na miezi 4 na mke wangu mimba ikifika miezi 5 ni kuumwa kila siku je mtoto atapata malezi Bora au nimpeleke kwa Bibi yake.
Niliona dalili kitu kidogo akikosea mtoto anamkaripia wakati hakuwa hivo nyuma.
Naombeni Ushauri Wana JamiiForums.
Ujue tangu jf waanzishe utaratibu wa kutoa zawadi kwa members wenye michango mikubwa kwenye majukwaa mbalimbali wameibuka wajinga wajinga wengi sana kulazimisha umaarufu humu, akiwemo mtoa madaThread ya ngapi hiii bora uondoke tu