Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Aondoke kwenda wapi?Thread ya ngapi hiii bora uondoke tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aondoke kwenda wapi?Thread ya ngapi hiii bora uondoke tu
Kwenye kila thread au comment ya huyu mwamba, lazima umkumbushe kuondoka 😅😅😅Thread ya ngapi hiii bora uondoke tu
sikujui ila nadhani utakua ni mtu fulani kapimbi hivi (Mfupi), huwa mnaishi kwa kupaparikaNi mtu mwenye Mambo mengi
kilivoaga kilitegemea kitaenda wapiAondoke kwenda wapi?
😄😄😄😄😄sikujui ila nadhani utakua ni mtu fulani kapimbi hivi (Mfupi), huwa mnaishi kwa kupaparika
Wana wivu na makasiriko kwani jf ya baba yao😄😄😄🙏Kwenye kila thread au comment ya huyu mwamba, lazima umkumbushe kuondoka 😅😅😅
hahahahahahahaha wewe huna akili cjui wanao watakuajeí ½í¸í ½í¸í ½í¸í ½í¸í ½í¸
Nimezikumbuka harakati za pimbi
Makasiriko mengine ukiulizwa tatizo Nini eti aliaga kuondoka mbona aondoki😄 Kuna wanaume Kam mash....... Aliimbaga jide🤔😄kilivoaga kilitegemea kitaenda wapi
Comedian 😄😄hahahahahahahaha wewe huna akili cjui wanao watakuaje
🙏🙌Hongera Baba kijacho
Ila mkuu uliaga, sio kosa la wadau kutukumbusha ahadi yako😅😅😅Wana wivu na makasiriko kwani jf ya baba yao😄😄😄🙏
Ujausoma Ila umekuja kureply😄😄😄jf Kuna mamboMnaomshauri huyu mwamba hv mnajielewa kweli, uzi wake wala cjasoma najua ni chai tupu
hahahahahahaMnaomshauri huyu mwamba hv mnajielewa kweli, uzi wake wala cjasoma najua ni chai tupu
Wanaume wengine bwana; kwa hiyo wewe ulikuwa unakula tu mzigo bila kujua kuwa Mimba itaingia?Habari muda huu Wana Jf poleni na majukumu mbalimbali na ramdhani Kareem kwa ndugu zangu waislamu.
Juzi siku ya jumamosi mke wangu alianza kutapika uku akilalamika anajisikia uchovu,leo Imebidi nimpeleke hospital kwa ajili ya vipimo Mana Hali iliendelea vilevile.baada ya vipimo imegundulika ana mimba ya mwezi mmoja hiyo taarifa imenishtua Sana Ila nilivyomuangalia mama N yupo kawaida nahisi alishajigundua Hali yake tokea muda.
Njiani wakati tunarudi hakuna mtu aliomuongelesha mwezake.
kitu kinacho Nipa mawazo tuna mtoto mdogo ana mwaka na miezi 4 na mke wangu mimba ikifika miezi 5 ni kuumwa kila siku je mtoto atapata malezi Bora au nimpeleke kwa Bibi yake.
Niliona dalili kitu kidogo akikosea mtoto anamkaripia wakati hakuwa hivo nyuma.
naombeni Ushauri Wana Jamii forum.
Ntaondoka soon mkuu ntawaachia wenye jf yao Shunie Half american To yeye na wezaoIla mkuu uliaga, sio kosa la wadau kutukumbusha ahadi yako😅😅😅
Sawaa mkuu 🙌🙌🙌Mimi na kaka yangu tunapishana miaka miwili. Sasa huyo mtoto ana mwaka na miezi minne jumlisha miezi nane ya mimba atakuwa tayari na miaka miwili na miezi kadhaa. Lea mimba mkuu.