Naombeni ushauri, Mke wangu ana mimba nyingine

Shukrani mkuu πŸ™ Be blessed
 
Wewe jamaa unahitaji msaada wa kisaikolojia. Una kila dalili ya mtu mpweke mno.

Nahisi umegubikwa na wingu la jitimai kuhisi maisha yako hayana muelekeo kiasi cha kujaribu kuyapa thamani kwa kutafuta attention JF.

Kuwa makini usije ukajinyonga. Tafuta msaada wa tiba ya akili.
 
Inawezekana mkuu, nashukuru kwa ushauri wako, ubarikiwe πŸ™ŒπŸ™
 
Ushauri wa nn wakati mmefanya!?
Mmedunyana kizani afu unaomba ushauri upenuni
 
Ni hali ya kawaida Wala usiwe na mawazo sana kila kitu kitaenda sawa muhimu kuziangalia majukumu yenu vizuri
Baba kijacho Mo mp5
 
Lea, mimba, mtoto na mkeo Acha kulialia mtoto wa kiume.
 
Muone daktari wa afya ya akili, inaonekana haupo sawa, mara uage, mara ulete story yako ya kuhisiwa jambazi, mara mimba, mara mtoto wa jirani yani kila kitu ni wewe. We ni mtu wa namna gani?
 
Muone daktari wa afya ya akili, inaonekana haupo sawa, mara uage, mara ulete story yako ya kuhisiwa jambazi, mara mimba, mara mtoto wa jirani yani kila kitu ni wewe. We ni mtu wa namna gani?
Ni mtu mwenye Mambo mengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…