Naombeni ushauri, mwanamke wangu ana ujauzito lakini hajui baba wa mtoto ni nani

Kosa la kwanza ,,umechitiwa kosa la pili mimba,,,kakataliwa upande wa pili ndo mana kaja kwako ,,ushafanywa boya unaonekana unampenda sana huyo mwanamke hata tukikushauri hapa ukikutana naye ukilegezewa sauti unakuwa mdogo na mbususu utaomba,,,,,utajua mwenyewe [emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Msaidie kulea la sivyo anaweza kutoa mimba.
 
Nyie wote ni michepuko Hanna mwenye mke ila kama unampenda Lea tu hiyo mimba huwezi jua huenda akawa rais nani ajuaye?
 
Yaani bado unamuita mwanamke wako.

Maajabu hayataisha
 
Kama alikuwa anagawa kwa watu wawili simultaneously siyo rahisi kujua mimba ya nani. Maana kuna mademu wengine usiku anatoa kwa jamaaa no. 1 asubuhi kwa jamaa no. 2 mchana kwa mwingine
 
Mwambie akaflash, asimlete mtoto akateseka na uchumi wenyewe Huu, mama mpumbavu Bora abaki mgumba๐Ÿ˜

Wema anajuta kuuflash ya kanumba,aangalie asije juta akamtamani hata aliyoiflash.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ