Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli wanaume tumebaki wachache sana.Ameomba ushauri si ndo huo mmojawapo.
Sasa mtu anajua kabisa alonaye ni kicheche mpaka mimba kabeba na hajui ya nani bado anakuambia anampenda tumshaurije sasa[emoji3]
Ni nomaaaaMbanga zinaendelea.
Kati ya wewe na huyo mwanaume mwingine, mchepuko ni nani?Nina mtu nilikuwa naishi nae bila ndoa tulikutana tu nikajitambulisha kwao nikajulikana na kwetu akajulikana ila wazazi walikuwa hawajui kwamba tunaishi pamoja na malengo yetu ilikuwa kuoana.
li nampenda sana huyo mwanamke ila ndio hivo nahofia pia mimba hiyo isiwe ya kwangu ushauri wenu jamani.
Nashauri kwamba tulia kama unampenda naye annataka kubadilika, kwa kuwa hata wewe hukuwa mume wake. Kwa sababu jadilieneni kwa upana wake. Huenda ukamtaa kumbe ni mtoto wako, na kama itatoke si mtoto wako, mtapata ufumbuzi kwa wewe kumuasili huyo mtoto au kumrudisha kwa huyo aliyempa mimba. Tulia nna tafakari juu ya uamuzi wako. Usikurupuke baadaye uakijlaumu.Nina mtu nilikuwa naishi nae bila ndoa tulikutana tu nikajitambulisha kwao nikajulikana na kwetu akajulikana ila wazazi walikuwa hawajui kwamba tunaishi pamoja na malengo yetu ilikuwa kuoana.
Sasa tukawa tunaishi mwenzangu akaniwekekea password kwenye kila kona ya simu yake nikawa napata wasiwasi nilichoamua nilimtegea simu ikipigwa ajirekodi.
Baada siku kadhaa bahati nzuri nilikuta kaweka nyimbo kwenye audio player mimi nilichofanya nika-add zile record bila yeye kujua kwenye audio player nikasikiliza watu wote alokuwa anawasiliana naye nikagundua alikuwa ana mtu mwingine na alikuwa anafika kwake.
Basi tuligombana sana mpaka kufikia hatua yakutengana baada ya wiki mbili yule mwanamke alinambia ana ujauzito wangu ila baada yakumbana sana mana tulikuwa wawili akanambia hajui baba wa mtoto ni nani kati ya mimi na huyo mchepuko na yeye hana uwezo wakulea hiyo mimba sababu hata mchepuko wake kaikataa sasa.
Ushauri wenu nitafanyaje mana kweli nampenda sana huyo mwanamke ila ndio hivo nahofia pia mimba hiyo isiwe ya kwangu ushauri wenu jamani.
Ungekuwa unampenda hivyo ungemuia kuliko kumtumia kukata haja zako za ngono.Nina mtu nilikuwa naishi nae bila ndoa tulikutana tu nikajitambulisha kwao nikajulikana na kwetu akajulikana ila wazazi walikuwa hawajui kwamba tunaishi pamoja na malengo yetu ilikuwa kuoana.
Sasa tukawa tunaishi mwenzangu akaniwekekea password kwenye kila kona ya simu yake nikawa napata wasiwasi nilichoamua nilimtegea simu ikipigwa ajirekodi.
Baada siku kadhaa bahati nzuri nilikuta kaweka nyimbo kwenye audio player mimi nilichofanya nika-add zile record bila yeye kujua kwenye audio player nikasikiliza watu wote alokuwa anawasiliana naye nikagundua alikuwa ana mtu mwingine na alikuwa anafika kwake.
Basi tuligombana sana mpaka kufikia hatua yakutengana baada ya wiki mbili yule mwanamke alinambia ana ujauzito wangu ila baada yakumbana sana mana tulikuwa wawili akanambia hajui baba wa mtoto ni nani kati ya mimi na huyo mchepuko na yeye hana uwezo wakulea hiyo mimba sababu hata mchepuko wake kaikataa sasa.
Ushauri wenu nitafanyaje mana kweli nampenda sana huyo mwanamke ila ndio hivo nahofia pia mimba hiyo isiwe ya kwangu ushauri wenu jamani.
mi nakuona kama huna akili achana na huyo mwanamke subiri mtoto azaliwe upime DNANina mtu nilikuwa naishi nae bila ndoa tulikutana tu nikajitambulisha kwao nikajulikana na kwetu akajulikana ila wazazi walikuwa hawajui kwamba tunaishi pamoja na malengo yetu ilikuwa kuoana.
Sasa tukawa tunaishi mwenzangu akaniwekekea password kwenye kila kona ya simu yake nikawa napata wasiwasi nilichoamua nilimtegea simu ikipigwa ajirekodi.
Baada siku kadhaa bahati nzuri nilikuta kaweka nyimbo kwenye audio player mimi nilichofanya nika-add zile record bila yeye kujua kwenye audio player nikasikiliza watu wote alokuwa anawasiliana naye nikagundua alikuwa ana mtu mwingine na alikuwa anafika kwake.
Basi tuligombana sana mpaka kufikia hatua yakutengana baada ya wiki mbili yule mwanamke alinambia ana ujauzito wangu ila baada yakumbana sana mana tulikuwa wawili akanambia hajui baba wa mtoto ni nani kati ya mimi na huyo mchepuko na yeye hana uwezo wakulea hiyo mimba sababu hata mchepuko wake kaikataa sasa.
Ushauri wenu nitafanyaje mana kweli nampenda sana huyo mwanamke ila ndio hivo nahofia pia mimba hiyo isiwe ya kwangu ushauri wenu jamani.
nampenda ya nyokonampenda sana
Toka juzi nipo humu nacheka 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ukinijibu hili swali ndo nitakushauri vizuri!
Wewe una akili sawasawa???
One man downNina mtu nilikuwa naishi nae bila ndoa tulikutana tu nikajitambulisha kwao nikajulikana na kwetu akajulikana ila wazazi walikuwa hawajui kwamba tunaishi pamoja na malengo yetu ilikuwa kuoana.
Sasa tukawa tunaishi mwenzangu akaniwekekea password kwenye kila kona ya simu yake nikawa napata wasiwasi nilichoamua nilimtegea simu ikipigwa ajirekodi.
Baada siku kadhaa bahati nzuri nilikuta kaweka nyimbo kwenye audio player mimi nilichofanya nika-add zile record bila yeye kujua kwenye audio player nikasikiliza watu wote alokuwa anawasiliana naye nikagundua alikuwa ana mtu mwingine na alikuwa anafika kwake.
Basi tuligombana sana mpaka kufikia hatua yakutengana baada ya wiki mbili yule mwanamke alinambia ana ujauzito wangu ila baada yakumbana sana mana tulikuwa wawili akanambia hajui baba wa mtoto ni nani kati ya mimi na huyo mchepuko na yeye hana uwezo wakulea hiyo mimba sababu hata mchepuko wake kaikataa sasa.
Ushauri wenu nitafanyaje mana kweli nampenda sana huyo mwanamke ila ndio hivo nahofia pia mimba hiyo isiwe ya kwangu ushauri wenu jamani.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ila wee jamaa umejua kufunga huu uzi mapemaUkinijibu hili swali ndo nitakushauri vizuri!
Wewe una akili sawasawa???