Naombeni ushauri, mwanamke wangu ana ujauzito lakini hajui baba wa mtoto ni nani

Na wewe ni kenge tu sema umekosa mkia

Muambie akaitoe au akiamua azae at her own risky

Let her do her homework and your own man
 
Sema mwanamke wetu. Duu kuna watu mnajua kupenda kindezi kweli
 
Uzi bila picha ni uzushi mtupu[emoji41][emoji41]
 
kuna watu hawa stahili kuishi tanzania kabisa ungetakiwa uwe ukraine huko unapambana na vita.
 
Mkuu kataaaa katakata tena kaza jicho hakuna kulea miuno ya wenzio mtoto akizaliwa pima ila arudi kwaooo
 
Huyo ni malaya,mzinzi na muasherati. Hatobadilia ni tabia.

Fukuza kama mwizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…