Naombeni ushauri! Mwanangu wa kike kaniambia Mambo yaliyonichanganya sana

Sisi wakati ni wadogo tulikuwa tunauliza hivi mtoto anazilowajie unajibiwa eti anatoka kwenye mapaja unatafakari hupati jibui sahihi muda unavyoenda unasahau kuulizi tena ama kufuatilia hahaha utoto bana natamani kurudi utotoni ili nipange upya , (back to the future) vijana wa kizazi tafuteni move,(filamu) inayoitwa back the future
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…