Naombeni ushauri! Mwanangu wa kike kaniambia Mambo yaliyonichanganya sana

Naombeni ushauri! Mwanangu wa kike kaniambia Mambo yaliyonichanganya sana

Naombeni ushauri, namuokoa vipi mwanangu wa miaka minne na kumkinga katika Hali hiii. Ni hivi, Leo nilikuwa nyumbani, na toka asubuhi nilikuwa nae nikicheza nae .

Sasa katika ongea ongea kaniambia Jambo lililonishtua kidogo. Ameniambia watoto wadogo wawili wa pale mtaani wamedakana. Na nilipouuliza kudakana ndio Nini akasema walienda kwenye migomba wakavua nguo na kudakana.

Kwa jinsi alivyoongea,Mimi nimeelewa kuwa hao watoto walifanya mapenzi japo yeye anasema walidakana. Haraka haraka nimejua kuwa lazima Kuna mtu kamwambia kitendo kile ni kudakana .

Kinachonitisha zaidi watoto anaosema wamedakana ni watoto wadogo wachekechea.

Kwa umri wake kuanza kuongea au kusikia Mambo Kama hayo naona Kama sio sawa.

Naombeni ushauri katika mazingira Kama haya namsaidia vipi mwanangu , na pili namweka vipi mbali na hao watoto wengine pasipo kuleta athari. Japo najua kumtenga sio dawa, maana hawezi kuishi ndani peke yake. Tushauriane katika malezi,kwenye Jambo Kama hili unafanyaje kumuokoa mwanao wa kike.
Malezi siku hizi ni changamoto sana watoto wana too much information.
Mimi watoto wangu watu wengne wanadai nawafungia sana ila sina namna ni shule, getin wachezee ndani.
Hao wanaonisema chini kwa chini siku moja nimekuta wanagombana mmoja akidai mtoto wa mwenzake kambaka mtoto wake. Na mama wa mtoto anayedaiwa kubaka akasema eeh mwanangi kidume. Aliyebakwa ni la nne aliyebaka la sita.
 
Mkuu hiyo ni kawaida! Kama sikosei katika umri huo wako kwenye kipindi cha foolish age! Hata wewe ulipitia stage hiyo,tuliita hiyo ni Michezo ya watoto au michezo ya Baba na Mama. Ni kipindi kila wanachokiona hata kama hawajui maana yake watataka wakiige.
Hata hivyo kwa nyakati tulizonazo ni kukemea wakue wakijua ni vibaya mpaka watakapokuwa watu wazima.
 
Hii Dunia ni Ngumu sana katika swala zima la malezi, mtaani sio salama, shulen sio salama katika nyumba za ibada nako sio Salama.

Jambo ni kuongea na watoto wetu mara kwa mara na kuwa sikiliza.

Pia kuwaombea kulingana na imani zetu.

Linapokuja swala la mtoto usimwamini mtu yoyote.
 
Acha watoto wadakane, Hata sisi tulidakana na tukakua tukaaacha yasiotufaa tukadumu na yaliyotupendeza. Ni hatua tu za ukuaji wala haina shida ningestaajabu ingekua watoto wanadakwa na watu wazima.

Yani nikwambie tu hutoboi utamtesa tu Mwache akue Muombee tum
Naombeni ushauri, namuokoa vipi mwanangu wa miaka minne na kumkinga katika Hali hiii. Ni hivi, Leo nilikuwa nyumbani, na toka asubuhi nilikuwa nae nikicheza nae .

Sasa katika ongea ongea kaniambia Jambo lililonishtua kidogo. Ameniambia watoto wadogo wawili wa pale mtaani wamedakana. Na nilipouuliza kudakana ndio Nini akasema walienda kwenye migomba wakavua nguo na kudakana.

Kwa jinsi alivyoongea,Mimi nimeelewa kuwa hao watoto walifanya mapenzi japo yeye anasema walidakana. Haraka haraka nimejua kuwa lazima Kuna mtu kamwambia kitendo kile ni kudakana .

Kinachonitisha zaidi watoto anaosema wamedakana ni watoto wadogo wachekechea.

Kwa umri wake kuanza kuongea au kusikia Mambo Kama hayo naona Kama sio sawa.

Naombeni ushauri katika mazingira Kama haya namsaidia vipi mwanangu , na pili namweka vipi mbali na hao watoto wengine pasipo kuleta athari. Japo najua kumtenga sio dawa, maana hawezi kuishi ndani peke yake. Tushauriane katika malezi,kwenye Jambo Kama hili unafanyaje kumuokoa mwanao wa kike.
Bado hujasema, Na utasema @15old
 
Naombeni ushauri, namuokoa vipi mwanangu wa miaka minne na kumkinga katika Hali hiii. Ni hivi, Leo nilikuwa nyumbani, na toka asubuhi nilikuwa nae nikicheza nae .

Sasa katika ongea ongea kaniambia Jambo lililonishtua kidogo. Ameniambia watoto wadogo wawili wa pale mtaani wamedakana. Na nilipouuliza kudakana ndio Nini akasema walienda kwenye migomba wakavua nguo na kudakana.

Kwa jinsi alivyoongea,Mimi nimeelewa kuwa hao watoto walifanya mapenzi japo yeye anasema walidakana. Haraka haraka nimejua kuwa lazima Kuna mtu kamwambia kitendo kile ni kudakana .

Kinachonitisha zaidi watoto anaosema wamedakana ni watoto wadogo wachekechea.

Kwa umri wake kuanza kuongea au kusikia Mambo Kama hayo naona Kama sio sawa.

Naombeni ushauri katika mazingira Kama haya namsaidia vipi mwanangu , na pili namweka vipi mbali na hao watoto wengine pasipo kuleta athari. Japo najua kumtenga sio dawa, maana hawezi kuishi ndani peke yake. Tushauriane katika malezi,kwenye Jambo Kama hili unafanyaje kumuokoa mwanao wa kike.
HAMA MTAA
 
Wao kwa wao ni fresh tu acha waendelee kudakana sababu bikra zao hazitapasuka.
(tumboro twao ni tudogo na vilevile tukuma twao ni tudogo)
 
Wamebakana, ndiyo ilikuwa maana yake, utoto ndo aliweza kusema tu vile.

Hapa nafundisha watoto wa chekechea mpaka class 2, mashtaka ya kubakana naletewa kila siku, mpaka naogopa

Wengine walimbaka bata, inatia huzuni, wazazi ongeeni na watoto
 
Wamebakana, ndiyo ilikuwa maana yake, utoto ndo aliweza kusema tu vile.

Hapa nafundisha watoto wa chekechea mpaka class 2, mashtaka ya kubakana naletewa kila siku, mpaka naogopa

Wengine walimbaka bata, inatia huzuni, wazazi ongeeni na watoto
Inaonekana hili ni tatizo la nchi nzima
 
Angalia kwanza chanzo Cha hayo ni Nini
Kuna kesi kma hizo na chanzo kilikua malezi watoto wawili walisema wanaona wazaziwao nyumbani wanafanya hivo naamini hata Hao chanzo ni mazingira na malezi huenda hata wako anajua kitendo kinachoendelea ni kubakana kama hakuwahi kushiriki basi mazingira ya television na mazungumzo ya watu wazima yamemruhusu kuelewa

Solution muulize mwanao alimuona nani mwingine anafanya hivo n je yeye kawahi kufanyiwa hivo mpe na madhara yake pia mwambie aliambiwa chochote akwambie ,wafate wazazi wa wahusika waanze kuchukua hatua punguza kuangalia movie na tamthilia nyumbani zenye maudhui ya kimapenzi
Watoto wa umri huo ni wadadisi kupita kiasi na wanapenda kujaribu kuthibitisha udadisi wao
 
Back
Top Bottom