Naombeni ushauri ndugu zangu

Naombeni ushauri ndugu zangu

Ukiwa wewe ni shujaa na mwenye nguvu UTASAMEHE na KUSAHAU.

Ukiwa wewe ni mwerevu na una hekima UTAPUUZA na KUSONGA MBELE.

Ukiwa wewe ni dhaifu na hujitambui
UTAENDELEA KUUMIA na kufikiria Kulipiza KISASI.

Chaguo ni lako.
 
Mlevi, mtoto au mwenye hasira akikuambia neno zingatia sana.

Ukiwa na hasira kali jitahidi sana kuchuja unachoongea.

Sina cha kukushauri.
Duh..mwenzetu kavuruga sana. Haya mambo unakufa nayo rohoni. Ilibidi atengeneze ndoa yake mpaka hana wa kumzidi mume wake, wengine wote aone walikuwa wanampaka shombo
 
Duh..mwenzetu kavuruga sana. Haya mambo unakufa nayo rohoni. Ilibidi atengeneze ndoa yake mpaka hana wa kumzidi mume wake, wengine wote aone walikuwa wanampaka shombo
Anamwambia kidude chake kinaelea tu hakimtoshi km cha ex wake
 
Kijana ambae bado hujaoa Jamani kama mchumba sio bikra usioe, acha kabisa achaaa, siku moja utakuja kuelewa tunamaanisha nini tukisema ivo.
Kupata bikra enzi hizi ni ngumu sana, wapo wachache sana siku hizi wasichana wanaanza mapenzi ktk umri mdogo sana, ukisubiri kupata bikra utazeeka tu
 
mimi nikijana nina amri wa miaka 26 nimeona na nimejaliwa kupata mtoto wa kike ila ninatatizo Fulani ambalo linanitatiza kipindi naoa mke wangu kuna siku kulitokea misunderstanding Kati yangu na mke wangu mwenzangu kwa Asira akanilinganisha na ex wake kwa kumsifia ex wake kuwa yupo vizuri kitandani kuliko mimi

Kwa bahati nzuri tukaombana msamaha ila kiukweli ya pita sasa mwaka mmoja na nusu bado neno ilo lipo kichwani mwangu lina nipa stress kuna mda najikuta namchukia sana mke wangu na wakati mwingine tukiwa tunafanya tendo la Ndoa nikikumbuka neno lile hapo hapo mzee analala kuna mda natamani ni mfukuze kabisa ila nikicheki binti yangu wa miezi Miwili najikuta nashindwa kuchukuwa maamuzi magumu
Nashindwa kujua nitaondokanaje na hali hii naombeni ushauri
😆😆😆😆
 
Back
Top Bottom